Kama mmefikia kuwa na hoja duni kama hizi, mtapata nafasi ya kupata sapoti tena toka kwa wananchi?

Kama mmefikia kuwa na hoja duni kama hizi, mtapata nafasi ya kupata sapoti tena toka kwa wananchi?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Sasa huku ni kukengeuka au kutokuwa na watu makini maana mnashupalia hoja zisizo na mashiko kabisa na kuonekana kama majuha.

Hivi rais wa JMT kupanda dege la Emirates ni hoja ya kuishupalia ili mpate kick?

Sakata la Ngorongoro je? Mbona mnalielezea vingine kabisa? Sakata la Ngorongoro nalo mlidhania litawapa kick?

Naona mnapoelekea ni pabaya, ipo siku mtajadili hadi mavazinya viongozi.
 
Inategemea msikilizaji na mpokea habari unachukuliaje hali!Kila lisemwalo unataka ulichambue kama nyani anamchagua chawa nyani mwenzie?😝😝😝😝
 
Kwa hiyo kwako watu kujadili Samia kusafiri na Emirates ya kukodi wakati tuna bombardier na dreamliners za kutosha na nyingine mmetoa oda zinaendelea kutengenezwa kwako ni ujinga?

Una mtindio wa ubongo.
Wewe nae una akili ndogo sana. Kwa hiyo alikodi dege zima la Emirate?
 
..what happened?

..hiyo emirates alipanda yeye na ujumbe wake ktk safari za kawaida za shirika hilo?

..au alikodi ndege ya emirates ikampeleka France, Belgium, na kumrudisha?
Ndio wanaopiga kelele zisizo na mashiko watuambie. Kwani hakukuwa na abiria wengine tofauti na msafara wa rais Samia? Au ndio kukariri na kushoboka tu?
 
Hata kama alikodi siti yake pekee, zile dreamliners zipo kwa kazi gani? au zote mbovu ziko service?
Kwa kwa sababu unamiliki ndege la kubwa la kubeba watu mia mbili kama una ujumbe wa watu hamsini unakurupuka nalo?
 
Back
Top Bottom