Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

Mimi hizi equestion zime nisaidia na zina nisaidia mpaka sasa pia nina uhakika zitaendelea kunisaidia ndio maana hata baada ya kumaliza shule niliendelea kusolve ,

Labda nikwambie tu sio kila topic au somo utakutana nayo directly kwenye life ,

Yani utegemee uambiwe kua Aljebra hii apa ina kupa pesa au inakusaidia kupata hiki/kile in life , sio possible

Kuna vitu tulifundishwa hata in life havipo ili kukujenga kifikra ,kukuongezea uwezo wa kutatua changamoto , ndio maana utatuaji wa changamoto wa msomi na asie msomi hauwezi kufanana , hata kama hiyo changamoto haina uhusiano na masuala ya shule ,

Ume gusia mitaala mimi huko siwezi kugusia nachotaka u solve swali na nimeweka hapa kwa ajiri yabwanao weza kujaribu au kufanya sio mnao complicate lila kitu kutaka kiwasaidie kupata pesa [emoji16]
Asikutishe bro. ... HIZO competency based curriculum zinazomsaidia kulipua kazi za watu harakaharaka awahi kunako bia na kitimoto zinahitaji 'precision tools' ambazo wanaomdanganya asome juujuu hawataki wawe na mshindani sokoni!
Ukichanganya UPE, ya Mzee mchonga, hii COMPETENCY BASED CURRICULUM inaenda kuimaliza kabisa elimu iliyouwawa ya Bongo.
COMPETENCY BASED CURRICULUM INAVIPA VYUO COMPETENCY YA KUTUJAZIA VILAZA!
NB: Kama ni nyama choma, COMPETENCY BASED CURRICULUM, ni sawa na nyama iliyobabuliwa harakaharaka na unatengewa huku bado inavuja damu!
 
Siku nyingine niwe ninaitwa kwenye mambo haya.


Njia bora na simple ni kuchora graph ya eqns 2 kisha ukaangalia intersections point, wale waliopata 3.2... wako sahihi.


Ukianza kuapply "log au ln" unaingia kwenye chaka haufiki mwisho.

K11
 
Msaada watabe,Mayombya namna alivyojaza hizo data.Halafu akisema those who are taking Chemistry are also taking Mathematics and physics anamaanisha Nini katika venn diagram?
Screenshot_20231106-200121.jpg
 
recent pool of 500 men and 500 women,it was observed that a total of 650 were married.of those married,275 were men and 500 claimed to be happy. Out of 750 claimed to be happy. 400 were men of which 200 were married. Represent this information in a venn diagram and find
(a)the number of married people who are happy
(b)the number of unmarried people who are not happy
 
Lakn inarahisisha baadhi ya mambo nakusave muda
Ilianza Calculator ikaja Google sasa imefika AI binadamu wanageuka mazombie wasiokua na uwezo wa kufikiri, robotics competition ndio inaenda ku-take over Ila binadamu anaweza kurekebisha errors mwenyewe robot hawezi
 
Hapa tumia venn diagram kwa kuingiza hizo data.


Chora venn diagram ambayo ina maduara matatu ambayo yana-intersect kisha jibu utapata kwa wepesi, usipopata jibu unisitue asubuhi nikuwekee solution ya maswali yako
Nimelijaribu Sana naona Kuna kitu nimeshindwa kukitafsiri .Nasubiri hio solution
 
Back
Top Bottom