Fine Wine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 595
- 1,686
4? [emoji3][emoji3]
Haya kapachike sasa hiyo 4 pale kwenye X uone mashikolo mageni
[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
4? [emoji3][emoji3]
Haya kapachike sasa hiyo 4 pale kwenye X uone mashikolo mageni
Asikutishe bro. ... HIZO competency based curriculum zinazomsaidia kulipua kazi za watu harakaharaka awahi kunako bia na kitimoto zinahitaji 'precision tools' ambazo wanaomdanganya asome juujuu hawataki wawe na mshindani sokoni!Mimi hizi equestion zime nisaidia na zina nisaidia mpaka sasa pia nina uhakika zitaendelea kunisaidia ndio maana hata baada ya kumaliza shule niliendelea kusolve ,
Labda nikwambie tu sio kila topic au somo utakutana nayo directly kwenye life ,
Yani utegemee uambiwe kua Aljebra hii apa ina kupa pesa au inakusaidia kupata hiki/kile in life , sio possible
Kuna vitu tulifundishwa hata in life havipo ili kukujenga kifikra ,kukuongezea uwezo wa kutatua changamoto , ndio maana utatuaji wa changamoto wa msomi na asie msomi hauwezi kufanana , hata kama hiyo changamoto haina uhusiano na masuala ya shule ,
Ume gusia mitaala mimi huko siwezi kugusia nachotaka u solve swali na nimeweka hapa kwa ajiri yabwanao weza kujaribu au kufanya sio mnao complicate lila kitu kutaka kiwasaidie kupata pesa [emoji16]
😂😂😂😂😂😂😂😂Wewe na AI yako, wote mmeingia chaka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna hii mathpapa, nayo imechemka si mchezo kabisa.View attachment 2803895
Ilianza Calculator ikaja Google sasa imefika AI binadamu wanageuka mazombie wasiokua na uwezo wa kufikiri, robotics competition ndio inaenda ku-take over Ila binadamu anaweza kurekebisha errors mwenyewe robot haweziLakn inarahisisha baadhi ya mambo nakusave muda
PowerUnajua maana ya hichi kialama ^
Na hapa piaView attachment 2806355
Ai majibu ya mchongo,Nimeuliza swali ninalolijua wameenda Op kabisaaDogo tumia AI acha kutujazia servers humu
Tumia hiyo AI ipo accurate sana hutojutaAi majibu ya mchongo,Nimeuliza swali ninalolijua wameenda Op kabisaa
Achana na hiyo AI kuna wakati inatoa majibu ya uongo, ngoja tukusaidieDogo tumia AI acha kutujazia servers humu
Nimempa link ipo vizuri kwelikweli mkuu.Achana na hiyo AI kuna wakati inatoa majibu ya uongo, ngoja tukusaidie
Hapa tumia venn diagram kwa kuingiza hizo data.Na hapa piaView attachment 2806355
Hii sijaitumia nitaijaribuNimempa link ipo vizuri kwelikweli mkuu.
![]()
Sizzle - Learn Anything - Apps on Google Play
Practice for tests, get HW help & learn any topic fast for school, work or fun.play.google.com
Nimelijaribu Sana naona Kuna kitu nimeshindwa kukitafsiri .Nasubiri hio solutionHapa tumia venn diagram kwa kuingiza hizo data.
Chora venn diagram ambayo ina maduara matatu ambayo yana-intersect kisha jibu utapata kwa wepesi, usipopata jibu unisitue asubuhi nikuwekee solution ya maswali yako
SawaNimelijaribu Sana naona Kuna kitu nimeshindwa kukitafsiri .Nasubiri hio solution