Kama mtu anakopa benki 5 tofauti za Tanzania na akaweza kukimbia nchi bila kugundulika ni ishara kwamba TISS na vyombo vingine vimelala

Ni kwamba regulator wa mabenki, BOT, hana uwezo wa ku-monitor loans hizo? Mtu akikopa, au kabla ya kukopa basi jina lake lisomeke moja kwa moja BOT, akitaka kukopa benki nyingine tena BOT watoe alert kwa hiyo Benki nyingine, kwa Siri. Pia iwe na idara ya kuchunguza loans na dhamana zake.
 
Na hapo ndipo tunakosea.

Regulator hutakiwa kuwa huru yaani masuala yote ya kibenki ikiwemo BOT wanakuwa wako chini ya uangalizi wa Independent Financial Regulator ambae akigundua umefanya upuuzi akuchapa faini.

Hivyo benki zilizokwapuliwa hizo fedha zinawajibika kwa kutoa maelezo IFR na kisha kuangalia wapi wamekosea na hupigwa faini, ili wasirudie makosa kama hayo.
 
Issue sio mimi,bali kauli za kuitukana TISS waga zina matokeo yake.ID fake haikufichi usijulikane.
 
Issue sio mimi,bali kauli za kuitukana TISS waga zina matokeo yake.ID fake haikufichi usijulikane.
Sasa huko ni kutishana ingawa mimi wakija hao TISS hapa Kibaigwa watafahamu waongea na nani na ntawapa chai ya mkandaa au kahawa na kashata na ntawapa somo kuhusu J. Edgar Hoover aliwezaje kuunda FBI na yataisha.
 
Sasa huko ni kutishana ingawa mimi wakija hao TISS hapa Kibaigwa watafahamu wanongea na nani na ntawapa chai ya mkandaa au kahawa na kashata na ntawapa somo kuhusu J. Edgar Hoover aliwezaje kuunda FBI na yataisha.
Ok mkuu mwambie aendelee kutukana taasisi za serikali.
 
Waanze na CEOs wa hizo Bank, huwezi kumkopa mtu mabilioni na hujui utazipataje au kuwa na risk management ya kuzuia uhuni kama huu, hizi ni Bank private inabidi shareholders watambae na wakurugenzi waliowakabidhi kuziendesha, uhamiaji au TISS wanaweza kusaidia lakini wenye Bank lazima wafanye kazi yao pia kuzuia huu uhuni wa mchana
 
Litakuwa ni jambo la uzuri sana benki hizi zikijulikana.
 
Nilishasema Hakuna TISS TZ kuna waganga njaa tu watu mkabisha
 
Hiyo ya mikopo mitano mikubwa ya mabillions itakuwa ni syndicate hatari mno. Siyo ya kitoto hiyo na itakuwa ilipangwa. Ukizingatia wapo pia watu wanaojiandaa na uchaguzi mwaka 2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…