Kama mtu anakopa benki 5 tofauti za Tanzania na akaweza kukimbia nchi bila kugundulika ni ishara kwamba TISS na vyombo vingine vimelala

Kama mtu anakopa benki 5 tofauti za Tanzania na akaweza kukimbia nchi bila kugundulika ni ishara kwamba TISS na vyombo vingine vimelala

Kuilaumu TISS ni kupoteza muda. Mtu hawezi kopa mabilioni gavana asijue. Na isitoshe ukikopa benki yoyote ile lazima benki zingine watajua ukienda kukopa kwao kwasababu kabla ya kukupa hela lazima waangalie kama una deni kwingine. Hizo dhamana za kukopa mabilioni zilithibitishwa na nani? Idara ya uhamiaji iliwezaje kumpa vibali vya kuishi hadi kuweza kukopa? Kimsingi hapo kuna wazito wengi sana wamedaka mpunga tangu ile siku huyo mtu anaingia nchini. Akamatwe ili tuwajue walioko nyuma ya huo mpango wake. Lakini je hatutangaziwa msiba wake kabla ya yeye kukamatwa? TUSUBIRI HAPAHAPA JF.
Umempa elimu nzuri. Hapa tatizo liko benki alizokopa. Mbona sisi watu wa kawaida kukopa benki ni mlolongo wenye vielelezo vingi sana mpaka size ya sehemu nyeti wanakuuliza?
 
Jana, raisi wa Jamhuri ya ya Muungano na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama Tanzania kaeleza kwamba kuna mtu amekopa benk 5 au 6 tofauti za Tanzania na hajulikani alipo, yaani amekimbia na kutoka nchini.

Sasa huu ni mtihani kwa TISS, vyombo vya fedha, uhamiaji na wizara ya mambo ya ndani kwa ujumla.

Haiwezekani mtu mmoja akafanya jambo hilo zito na asepe kilaini hivyo hiyo ni ishara tosha kwamba idara yetu ya usalama na vyombo vingine vimelala au vimejiruhusu kupwaya kupita kiasi.

Lakini mimi ntaikosoa zaidi idara ya usalama kwani yenyewe ndio yaweza kuchagiza shughuli zote za ulinzi na usalama wa nchi.

Natambua idara hii ina uwezo mkubwa tu ina maofisa mahiri tu ambao wamepata mafunzo ndani na nje ya nchi hivyo wana ueledi, umahiri, uerevu na kila aina ya mbinu za kimkakati na kimedani kuhakikisha nchi yetu ipo salama.

Leo hii shirika la ujasusi wa ndani la Russia la FSB limetangaza kumshikilia mwandishi wa jarida la Wall Street Journal kwa madai ya kujihusisha na ujasusi wa ndani yaani kwa kiingereza twasema "Espionage".

Hiyo ni kazi ya majasusi wa ndani ya Russia yaani "Counter Espionage Agents" ambao wapo macho masaa 24 kulinda nchi, mali zake au "Assets" na miundombinu yake na wananchi kwa ujumla.

Sasa ni wakati wa idara yetu ya usalama wa Taifa kujipambanua kumtafuta huyu mwizi wa fedha zetu ambazo zimehifadhiwa kwenye mabenki zikiwa ni akaunti zatu na mitaji pia. Ni wakati wa kushirikiana na vyombo ya ulinzi na usalama vya nchi jirani na pia ni wakati wa kumtambua mtu huyo ambae ni wazi atakuwa alikuwa na pasi ya kusafiria, makabrasha mbalimbali yanoonyesha anuani zake na kadhalika hata kama ni "fake documents".

Kuhusu mabenki yetu nina imani kwa wana taratibu zote kali ambazo ni lazima mkopaji azifuate na kwenye hili ni lazima iwe ni "inside job" wafanyakazi walohusika ni lazima wapatikane kabla ya Jumaa.

Niliwahi kutoa mapendekezo huko nyuma kuhusu kuifanyia mabadiliko idara ya usalama wa taifa Mapendekezo: Serikali ipitie upya Sheria ya Usalama wa Taifa na TISS iundwe upya kwa maslahi ya taifa na nikzaeleza kwa upana wake.

Pia niliwahi kueleza kwamba wapo watu watembea na wallet tu Mtu anaesafiri kwenda nje kila siku lakini anabeba wallet na passport tu, utamfikiriaje? na hawa huenda ni wale ambao huenda sehemu kufanya machafuko kama uporaji fedha katika taasisi za fedha bila kugundulika na hii ni hatari kwa taifa.

Na pia nikawahi kutoa wazo kama nchi yetu ipo tayari kwa vita vya kijasusi wa uchumi katika mada hii Ujasusi wa Kiuchumi na Kiteknolojia unakuwa kwa kasi, Je Tanzania iko tayari ambapo yawezekana kabisa huyu mtu aliefanya wizi huu wa kughushi ni wale akina Carlos Jackal ambae alikuwa na uwezo wa kuingia katika nchi yoyote na kumaliza kazi kisha kujiondokea asijulikane.

Carlos alikuwa ni jasusi ambae alifunzwa kulelewa na kuwa alipwa ujira na idara ya kijasusi ya Russia ya wakati huo KGB na kazi zake hazikuwa na mfano.

Lakini mtu huyu ambae amehusika na wizi wa mabilioni ya shilingi si wa aina ya Carlos Jackal lakini anaweza kuwa ni mhalifu wa kimataifa na huenda akarudi tena.

Hivyo Idara yetu ya TISS iamke isijisahau kwani majukumu yake si ya kisiasa bali ni ulinzi madhubuti wa nchi yetu vikiwemo vyombo vyetu vya fedha ambavyo kwa kushirikiana na vyombo vingine kama Uhamaji na hata huko nje Interpol tayari mtu huyu angekuwa yupo kwenye "Wanted List".
Ingekuwa kuwafuatilia CHADEMA hapo ndo ungeona maajabu ya TISD
 
Watanzania tusiwe mazuzu hivyo kila kinachosemwa tunameza bila tafakari. Kuna Interpol ambayo mwalifu atarudishwa kujibu mashtaka popote alipo kati ya nchi 194 zilizo wanachama!!
Wewe ndo zuzu. Kukopa hela ni uhalifu? Interpol wanaendaje kumkamata mtu kisa mnamdai mtu hela ambayo mlimpa kwa makubaliano? Tafuteni njia mmalizane nae.
 
Mkuu hapo tunawatuhumu vipi kama TISS haikufanya kazi?

Hili suala linategemea na utashi wa head of the state kama akiwa lege lege ndiyo mambo kama haya, unakumbuka tulivyokuwa na head of the state makini singa singa mzee wa IPTL alikamatiwa AIRPORT alikuwa anataka kutoroka.

Fikiria report ya CAG watu wamepiga pesa dhahiri shahiri, anawambia ajitathmini kama wana tosha, Tupo serious kweli?
I'm with you uko right.

Kwahiyo (kwa mfano wako wa Singasinga) ndo maana nasema huenda sasa imelala, hivyo mambo kama hilo la mtu kutokomea kusikojulikana ni ishara hizo kuwa wamelala.

Wakati wa yule mzee, walikuwa wamekumbushwa wajibu wapo na wakawa macho na mambo mengi yakawa yavumbuliwa.

Hata mimi nina mfano hai, kuna siku nilitua TZ (wakati wa utawala wa JPM) na hapohapo nikaona jamaa amebanwa aeleze amepataje pasi ya kusafiria ya TZ aliyo nayo ilhali yeye ni Mnigeria.

Hiyo yaonyesha jamaa wa uhamiaji aliwaita mazee washughulike na jamaa ili wapate kutambua kama kuna gorgery au la.

Jamaa walikuwa wapo macho na wanafanya kazi pale ambayo ni moja ya kazi muhimu sana kuangalia mgeni anaeingia nchini.

Kwahiyo ni kuwakumbusha tu kwamba kulala kwaweza kuleta maafa mengine makubwa kuliko hayo ya mamikopo.
 
Jana, raisi wa Jamhuri ya ya Muungano na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama Tanzania kaeleza kwamba kuna mtu amekopa benk 5 au 6 tofauti za Tanzania na hajulikani alipo, yaani amekimbia na kutoka nchini.

Sasa huu ni mtihani kwa TISS, vyombo vya fedha, uhamiaji na wizara ya mambo ya ndani kwa ujumla.

Haiwezekani mtu mmoja akafanya jambo hilo zito na asepe kilaini hivyo hiyo ni ishara tosha kwamba idara yetu ya usalama na vyombo vingine vimelala au vimejiruhusu kupwaya kupita kiasi.

Lakini mimi ntaikosoa zaidi idara ya usalama kwani yenyewe ndio yaweza kuchagiza shughuli zote za ulinzi na usalama wa nchi.

Natambua idara hii ina uwezo mkubwa tu ina maofisa mahiri tu ambao wamepata mafunzo ndani na nje ya nchi hivyo wana ueledi, umahiri, uerevu na kila aina ya mbinu za kimkakati na kimedani kuhakikisha nchi yetu ipo salama.

Leo hii shirika la ujasusi wa ndani la Russia la FSB limetangaza kumshikilia mwandishi wa jarida la Wall Street Journal kwa madai ya kujihusisha na ujasusi wa ndani yaani kwa kiingereza twasema "Espionage".

Hiyo ni kazi ya majasusi wa ndani ya Russia yaani "Counter Espionage Agents" ambao wapo macho masaa 24 kulinda nchi, mali zake au "Assets" na miundombinu yake na wananchi kwa ujumla.

Sasa ni wakati wa idara yetu ya usalama wa Taifa kujipambanua kumtafuta huyu mwizi wa fedha zetu ambazo zimehifadhiwa kwenye mabenki zikiwa ni akaunti zatu na mitaji pia. Ni wakati wa kushirikiana na vyombo ya ulinzi na usalama vya nchi jirani na pia ni wakati wa kumtambua mtu huyo ambae ni wazi atakuwa alikuwa na pasi ya kusafiria, makabrasha mbalimbali yanoonyesha anuani zake na kadhalika hata kama ni "fake documents".

Kuhusu mabenki yetu nina imani kwa wana taratibu zote kali ambazo ni lazima mkopaji azifuate na kwenye hili ni lazima iwe ni "inside job" wafanyakazi walohusika ni lazima wapatikane kabla ya Jumaa.

Niliwahi kutoa mapendekezo huko nyuma kuhusu kuifanyia mabadiliko idara ya usalama wa taifa Mapendekezo: Serikali ipitie upya Sheria ya Usalama wa Taifa na TISS iundwe upya kwa maslahi ya taifa na nikzaeleza kwa upana wake.

Pia niliwahi kueleza kwamba wapo watu watembea na wallet tu Mtu anaesafiri kwenda nje kila siku lakini anabeba wallet na passport tu, utamfikiriaje? na hawa huenda ni wale ambao huenda sehemu kufanya machafuko kama uporaji fedha katika taasisi za fedha bila kugundulika na hii ni hatari kwa taifa.

Na pia nikawahi kutoa wazo kama nchi yetu ipo tayari kwa vita vya kijasusi wa uchumi katika mada hii Ujasusi wa Kiuchumi na Kiteknolojia unakuwa kwa kasi, Je Tanzania iko tayari ambapo yawezekana kabisa huyu mtu aliefanya wizi huu wa kughushi ni wale akina Carlos Jackal ambae alikuwa na uwezo wa kuingia katika nchi yoyote na kumaliza kazi kisha kujiondokea asijulikane.

Carlos alikuwa ni jasusi ambae alifunzwa kulelewa na kuwa alipwa ujira na idara ya kijasusi ya Russia ya wakati huo KGB na kazi zake hazikuwa na mfano.

Lakini mtu huyu ambae amehusika na wizi wa mabilioni ya shilingi si wa aina ya Carlos Jackal lakini anaweza kuwa ni mhalifu wa kimataifa na huenda akarudi tena.

Hivyo Idara yetu ya TISS iamke isijisahau kwani majukumu yake si ya kisiasa bali ni ulinzi madhubuti wa nchi yetu vikiwemo vyombo vyetu vya fedha ambavyo kwa kushirikiana na vyombo vingine kama Uhamaji na hata huko nje Interpol tayari mtu huyu angekuwa yupo kwenye "Wanted List".
Waache walale tu wTu walambe 🍯🍯🍯
 
I'm with you uko right.

Kwahiyo (kwa mfano wako wa Singasinga) ndo maana nasema huenda sasa imelala, hivyo mambo kama hilo la mtu kutokomea kusikojulikana ni ishara hizo kuwa wamelala.

Wakati wa yule mzee, walikuwa wamekumbushwa wajibu wapo na wakawa macho na mambo mengi yakawa yavumbuliwa.

Hata mimi nina mfano hai, kuna siku nilitua TZ (wakati wa utawala wa JPM) na hapohapo nikaona jamaa amebanwa aeleze amepataje pasi ya kusafiria ya TZ aliyo nayo ilhali yeye ni Mnigeria.

Hiyo yaonyesha jamaa wa uhamiaji aliwaita mazee washughulike na jamaa ili wapate kutambua kama kuna gorgery au la.

Jamaa walikuwa wapo macho na wanafanya kazi pale ambayo ni moja ya kazi muhimu sana kuangalia mgeni anaeingia nchini.

Kwahiyo ni kuwakumbusha tu kwamba kulala kwaweza kuleta maafa mengine makubwa kuliko hayo ya mamikopo.
Kabisa mkuu

Wa juu akiwa lege lege, tutavilaumu taasisi nyingine zimefeli kumbe kiongozi wa juu.

Mfano mwingine Mwakyembe ana majina ya wakurugenzi wa mashoga, unataka kusema serikali nimeshindwa kutambua hadi atambue Mwakyembe?
 
Kama ni hivyo kwanini mkuu wa nchi aliongelee ikiwa kila kitu chajulikana?

Atupa faida gani?
Ngoja nikupe mfano, aliyewahi Kuwa DG TISS Dr. H.K aliwahi danganya kuwa mkewe anaumwa uingereza na bill zikawa zinakwenda lakini jasusi junior BCM akia ikulu akang'amua kuwa mke wa bosi wake Si mgonjwa bali yupo Canada anapiga buku kipindi hicho balozi wa tz huko alikuwa BWM hivyo Hela zinazotumwa huko zinaliwa, BCM akamtonya Rais kipind hicho mwl JK Nyerere.

Sasa mwl Akala bati mara muda mfupi DG TISS Dr. HK akanunua Benz new model ndipo Nyerere akamwita na kumhoji mwisho akamfuta kazi baadae Dr HK akamfuata BCM na kumwambia wewe ndo umechomoa betri hivyo ama zako ama ZANGU dogo BCM akarudi Kwa Rais na kumwambia Kuwa katishiwa na mbobezi JK akamwita Dr. HK na kumwambia ole Wako nisikie KIJANA kang'atwa na nyigu nitakunyonga hadharani ndipo Hali ikatulia hivyo Rais kudanganywa na Hawa wajomba hasa usalama ni kawaida sana
 
Ngoja nikupe mfano, aliyewahi Kuwa DG TISS Dr. H.K aliwahi danganya kuwa mkewe anaumwa uingereza na bill zikawa zinakwenda lakini jasusi junior BCM akia ikulu akang'amua kuwa mke wa bosi wake Si mgonjwa bali yupo Canada anapiga buku kipindi hicho balozi wa tz huko alikuwa BWM hivyo Hela zinazotumwa huko zinaliwa, BCM akamtonya Rais kipind hicho mwl JK Nyerere.

Sasa mwl Akala bati mara muda mfupi DG TISS Dr. HK akanunua Benz new model ndipo Nyerere akamwita na kumhoji mwisho akamfuta kazi baadae Dr HK akamfuata BCM na kumwambia wewe ndo umechomoa betri hivyo ama zako ama ZANGU dogo BCM akarudi Kwa Rais na kumwambia Kuwa katishiwa na mbobezi JK akamwita Dr. HK na kumwambia ole Wako nisikie KIJANA kang'atwa na nyigu nitakunyonga hadharani ndipo Hali ikatulia hivyo Rais kudanganywa na Hawa wajomba hasa usalama ni kawaida sana
Na walipatana baadae maana walikuwa wakinywa moja moto moja baridi pale Palm Beach Hotel na BWM alipapenda sana pale.

Kazi kwelikweli.
 
Jana, raisi wa Jamhuri ya ya Muungano na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na Usalama Tanzania kaeleza kwamba kuna mtu amekopa benk 5 au 6 tofauti za Tanzania na hajulikani alipo, yaani amekimbia na kutoka nchini.

Sasa huu ni mtihani kwa TISS, vyombo vya fedha, uhamiaji na wizara ya mambo ya ndani kwa ujumla.

Haiwezekani mtu mmoja akafanya jambo hilo zito na asepe kilaini hivyo hiyo ni ishara tosha kwamba idara yetu ya usalama na vyombo vingine vimelala au vimejiruhusu kupwaya kupita kiasi.

Lakini mimi ntaikosoa zaidi idara ya usalama kwani yenyewe ndio yaweza kuchagiza shughuli zote za ulinzi na usalama wa nchi.

Natambua idara hii ina uwezo mkubwa tu ina maofisa mahiri tu ambao wamepata mafunzo ndani na nje ya nchi hivyo wana ueledi, umahiri, uerevu na kila aina ya mbinu za kimkakati na kimedani kuhakikisha nchi yetu ipo salama.

Leo hii shirika la ujasusi wa ndani la Russia la FSB limetangaza kumshikilia mwandishi wa jarida la Wall Street Journal kwa madai ya kujihusisha na ujasusi wa ndani yaani kwa kiingereza twasema "Espionage".

Hiyo ni kazi ya majasusi wa ndani ya Russia yaani "Counter Espionage Agents" ambao wapo macho masaa 24 kulinda nchi, mali zake au "Assets" na miundombinu yake na wananchi kwa ujumla.

Sasa ni wakati wa idara yetu ya usalama wa Taifa kujipambanua kumtafuta huyu mwizi wa fedha zetu ambazo zimehifadhiwa kwenye mabenki zikiwa ni akaunti zatu na mitaji pia. Ni wakati wa kushirikiana na vyombo ya ulinzi na usalama vya nchi jirani na pia ni wakati wa kumtambua mtu huyo ambae ni wazi atakuwa alikuwa na pasi ya kusafiria, makabrasha mbalimbali yanoonyesha anuani zake na kadhalika hata kama ni "fake documents".

Kuhusu mabenki yetu nina imani kwa wana taratibu zote kali ambazo ni lazima mkopaji azifuate na kwenye hili ni lazima iwe ni "inside job" wafanyakazi walohusika ni lazima wapatikane kabla ya Jumaa.

Niliwahi kutoa mapendekezo huko nyuma kuhusu kuifanyia mabadiliko idara ya usalama wa taifa Mapendekezo: Serikali ipitie upya Sheria ya Usalama wa Taifa na TISS iundwe upya kwa maslahi ya taifa na nikzaeleza kwa upana wake.

Pia niliwahi kueleza kwamba wapo watu watembea na wallet tu Mtu anaesafiri kwenda nje kila siku lakini anabeba wallet na passport tu, utamfikiriaje? na hawa huenda ni wale ambao huenda sehemu kufanya machafuko kama uporaji fedha katika taasisi za fedha bila kugundulika na hii ni hatari kwa taifa.

Na pia nikawahi kutoa wazo kama nchi yetu ipo tayari kwa vita vya kijasusi wa uchumi katika mada hii Ujasusi wa Kiuchumi na Kiteknolojia unakuwa kwa kasi, Je Tanzania iko tayari ambapo yawezekana kabisa huyu mtu aliefanya wizi huu wa kughushi ni wale akina Carlos Jackal ambae alikuwa na uwezo wa kuingia katika nchi yoyote na kumaliza kazi kisha kujiondokea asijulikane.

Carlos alikuwa ni jasusi ambae alifunzwa kulelewa na kuwa alipwa ujira na idara ya kijasusi ya Russia ya wakati huo KGB na kazi zake hazikuwa na mfano.

Lakini mtu huyu ambae amehusika na wizi wa mabilioni ya shilingi si wa aina ya Carlos Jackal lakini anaweza kuwa ni mhalifu wa kimataifa na huenda akarudi tena.

Hivyo Idara yetu ya TISS iamke isijisahau kwani majukumu yake si ya kisiasa bali ni ulinzi madhubuti wa nchi yetu vikiwemo vyombo vyetu vya fedha ambavyo kwa kushirikiana na vyombo vingine kama Uhamaji na hata huko nje Interpol tayari mtu huyu angekuwa yupo kwenye "Wanted List".
Wenye power ndo wanafanya hayo.
 
TISS my ass ,kuna TISS au mavi ya popo ,wasemg£ wanaotumika kama ndomu na chama cha ccm ? , Africa nzima ni uozo , angalia mitandao ya ufisadi na utakatishaji pesa wa kutisha hii ni Zimbabwe ila huu mtandao wanafanya huu umafia mpaka Tanzania na nchi zote za jirani , Africa yote majizi .
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake manina




Pitieni hiyo makala muone jinsi corrupt nchi zetu zilivyo , stupid Africa and it's people , Halafu mnalia mabeberu wakati mabeberu ni nyie wenyewe mnaoharibu nchi zenu
Cheki hiyo pesa anayotaka tosha huyo mhindi na genge lake , na huyo ni mtu mmoja ,just imagine

Hilo genge la huyo Khan ni kubwa sana na limetapakaa Afrika nzima.
 
Ni kwasababu Putin ni mtaalam wa "Counter Espionage" hivyo ni lazima mifano iwe dhahiri.

Wanafunzi wake hawawezi kukosea hata kidogo wakikudaka huwa ni asilimia 101 una kosa.

Au vipi mkuu 🙂🙂
Wewe umejuaje mkuu????? Kwa kusoma kwenye mitandao????????? Mbona hawakumdaka Boriss yelstin na mpunga aliokomba benki kuu ya urusi miaka ile??
 
TISS my ass ,kuna TISS au mavi ya popo ,wasemg£ wanaotumika kama ndomu na chama cha ccm ? , Africa nzima ni uozo , angalia mitandao ya ufisadi na utakatishaji pesa wa kutisha hii ni Zimbabwe ila huu mtandao wanafanya huu umafia mpaka Tanzania na nchi zote za jirani , Africa yote majizi .
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake manina




Pitieni hiyo makala muone jinsi corrupt nchi zetu zilivyo , stupid Africa and it's people , Halafu mnalia mabeberu wakati mabeberu ni nyie wenyewe mnaoharibu nchi zenu
Cheki hiyo pesa anayotaka tosha huyo mhindi na genge lake , na huyo ni mtu mmoja ,just imagine

Dogo umeongea kwa dhiaka kuhusu TISS ila be wise,usitukane mamba wakati mto ungalipo..Be wise hii platform ya JF ni ya mpito na kuna leo na kesho.
 
Ila hujaingia frontline kudhibitisha ubora wao.
No kufanya analysis kwatosha kusaidia shughuli zozote muhimu kwa taifa.

Wachambuzi huwa hawaingii frontline wapo nyuma wakisaidia kwa info, data na uchambuzi wa adui amekaaje, ana nini yuko vipi kivifaa anajeshi kiasi gani, atumia mbinu zipi na kadhalika.

Ila ni kazi very risky.
 
Back
Top Bottom