Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

HIVI INAWEZEKANA VP KUSEMA KABISA KUWA KITU FULANI HAKIPO KWA KUJIAMINI(sio una mashaka) HALAFU USIWE NA CHA KUTHIBITISHA KUTOKUWEPO KWA HICHO KITU?
 
HIVI INAWEZEKANA VP KUSEMA KABISA KUWA KITU FULANI HAKIPO KWA KUJIAMINI(sio una mashaka) HALAFU USIWE NA CHA KUTHIBITISHA KUTOKUWEPO KWA HICHO KITU?

Kisichokuwepo hakithibitishiki!
 
Hizi sio zama za kuuliza uwepo wa Yehova Mungu ni zama za kujiuliza kama umeokoka!
 
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hayupo huyu binadamu aliyemuumba ni nani? au kajileta mwenyewe hapa duniani. Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Wanasayansi wanaopinga uwepo wa mungu wamejitahidi kueleza sana asili ya dunia na vitu vingine vingi. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya mwanadam sio mungu. ni kweli mungu anaweza akawa hayupo je binadamu wa kwanza alimuumba nani? uje na lengo la kuelimishana. nawasilisha.

Hizi sio zama za kuuliza uwepo wa Yehova Mungu ni zama za kujiuliza kama umeokoka!
 
Kisichokuwepo hakithibitishiki!

Uhakika wa kuwa hicho kitu hakipo ndiyo uthibitisho wenyewe,maana bila kuwa na uhakika huwezi kusema kuwa kitu fulani hakipo. Labda uwe unatumia hisia tu,kwahiyo kile kilichokufanya hadi useme kitu fulani hakipo ndiyo uthibitisho wako.
Sasa ukisema huwezi kuthibitisha basi maana yake huna sababu zilizokufanya useme hicho kitu hakipo.
 
ha haa haaa aaaah.... ... .. . huyu hajui kuwa ata bwana yesu aliwaambia inabidi wamtafute na kumjua Jehovah/Mungu. ila sio kosa lake, ni kosa la mwalimu/mchungaji wake#

Wanakera sana yani
 
Binadamu wa kwanza ndiye aliyemuumba mungu kichwani mwake! Hata wewe ukijenga dhana kwamba jiwe linaweza kukusaidia basi litakusaidia. Kwa hiyo mungu ni kitu chochote unachokiamini chenye nguvu ya kukusaidia.
 
Back
Top Bottom