Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Theists logic
 

Attachments

  • 1436560011736.jpg
    1436560011736.jpg
    58.4 KB · Views: 220
Kwa akili yako fupi, hakuna jambo lolote unaweza kulikubali kuhusu existence ya Mungu naamini baada ya muda mfupi atakufikia tu na utajua kuwa yeye yupo!Otherwise endelea kufanya utafiti wako hapa na kukusanya maoni ya watu umalizie paper yako then usubmit kwa Supervisor wako maana kwa akili yako unaelekea kufeli final yako mpaka unatia huruma!

Sawa akili yang fupi.

Yako ndefu?

Mbona hujaweza kuthibitisha kwamba mugu yupo?
 
Kwani wewe ulichoandika kimethibitisha wapi

That is beside the question. Unasema mungu yupo, unaweza kuthibitisha?

Anayebisha hahitaji kuthibitisha.

Anayesema mungu hayupo jawezi kithibitisha, kwa sababu visibyopo havithibitishiki, kwa sababubhavipo iki kuthibitishika.

Wewe unayesema mungu yupo, unaweza kuthibitisha?
 
Nikugeuzie kibao kidogo.
Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hajaumbwa na mungu mwingine kaumbwa na nani? Au kajileta mwenyewe hapa duniani/ulimwenguni? Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Waamini, walokole, wakristo,waislam wanaosema mungu hajaumbwa wamejitahidi sana kueleza asili ya Mungu na vitu vingine. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya Mungu sio mwanadamu. Ni kweli muumbaji wa huyo mungu aliyemuumba huyu mungu wanayesema kaumba vitu vingine anaweza akawa hayupo je? Mungu kaumbwa na nani? Uje na lengo la kuelimishana. Nawasilisha.

Mtazamo wa AKILIhuru.

Ukijiangalia wewe pamoja na mazingira yanayokuzunguka ukastaajabu sana isiwe kigezo cha kusema mungu yupo kisa tu umekosa majibu ya baadhi ya vitu!
Kwanini usimtazame huyo mungu na mazingira yake unayoyasoma kwenye vitabu????
Kwa mujibu wa maandiko ujuzi wa maisha ya mwanadamu na mazingira yake haujafikia hata nusu ya ujuzi wa maisha ya huyo mungu.
Sasa jiulize hivi...kwanini ukijiangalia wewe ukastaajabu unasema umeumbwa, lakini ukimuangalia huyo mungu unastaajabu zaidi lakini unasema hajaumbwa. Hii ikoje? Tatizo ni imani za ovyo zimewaharibu.

Bro mungu achunguzwi siri yake anajua mwenyw ukitaka kuamin mungu jarbu kuwa unawaza hizi nguvu za kichawi nazo ni by nature o kuna kitu behind cpend tumjadili muumba na yy hapendi xo tuyaache ka yalivo cku ukifa ndo utaamini yupo au hayupo we c kiburi
 
Bro mungu achunguzwi siri yake anajua mwenyw ukitaka kuamin mungu jarbu kuwa unawaza hizi nguvu za kichawi nazo ni by nature o kuna kitu behind cpend tumjadili muumba na yy hapendi xo tuyaache ka yalivo cku ukifa ndo utaamini yupo au hayupo we c kiburi

1. Kusema "mungu hachunguzwi, siri yake anajua mwenyewe" ni "a priori" proposition. Hujathibitisha mungu yupo, umerahisisha jambo kwa kujubali tu bila kuthibitisha. Kibaya zaidi, ushajikubalisha kwamba hamna njia ya kumchunguza mungu.

2. Nguvu za kichawi ni zipi? Muandishi wa hekaya za kisayansi wa Kiingwreza, Arthur C. Clarke, alikuwa na kanuni yake moja inayosema "Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic". Sasa wewe utahuaje kwamba unachofikiri ni uchawi leo si kitu ambacho kinaelezeka tu bila haja ya uchawi? Babu zetu wa miaka mia tano iliyopita wangekutana na marubanibwa leo wanaorusha nxege na kuambiwa huu ni uchawi, wangekubali kwamba ni uchawi na hilo lingetisha kuoneaha kwamba mungu yupo?

Na hata kama uchawi upo, kwa nininiwe lazima kwamba kuwepoblwa uchawi kuwe uthibitisho wa kuwepo kwa mungu?
 
kwani #Kiranga unamatatizo gani?

Kwa nini unafikiri nina matatizo?

Je kufikiri nina matatizo na kuniuliza nina matatizo gani bila hata kuna haja ya kuhalalisha swali lako kwamba nina matatizo gani si tatizo?

Nani ana matatizo sasa kati yangu mimi na wewe?
 
Kwa nini unafikiri nina matatizo?

Je kufikiri nina matatizo na kuniuliza nina matatizo gani bila hata kuna haja ya kuhalalisha swali lako kwamba nina matatizo gani si tatizo?

Nani ana matatizo sasa kati yangu mimi na wewe?

unataka ushahidi gani wa kuthibitisha uwepo wa mungu?
 
Kama upi nikuthibitishie?

Mimi nakuomba wewe unipe ushahidi wa kuwapo mungu halafu wewe unaniuliza mimi kama upi tena?

Unaelewa ulichoandika hapo?

Nimekupa nafasi unipe ushahidi wa kuwapo kwa mungu usioweza kuoneshwa kwamba umepwaya wala kupingika.

Unaujua ushahidi wa aina hiyo?
 
Mimi nakuomba wewe unipe ushahidi wa kuwapo mungu halafu wewe unaniuliza mimi kama upi tena?

Unaelewa ulichoandika hapo?

Nimekupa nafasi unipe ushahidi wa kuwapo kwa mungu usioweza kuoneshwa kwamba umepwaya wala kupingika.

Unaujua ushahidi wa aina hiyo?

Ushahidi upo ila kwa mgumu kuelewa kama wewe itachukua muda mrefu kujua wapi umekwama ili nikueleweshe kwa ushahidi ndio maana nikakuuliza unahitaji kama ushahidi upi? acha kukoroga maneno nataka nikusaidie leo
 
Umbo la binadam ukilitafakali kwa kina tu unaweza tambua yakuwa kuna muumbaji na si mwengine bali yule alieuweka usiku na pia mchana sasa ni kweri hauamin tu
 
Kuna mambo ya kubishana ila sio yamhusuyo MUNGU, MUUMBA WA VYOTE
 
Umbo la binadam ukilitafakali kwa kina tu unaweza tambua yakuwa kuna muumbaji na si mwengine bali yule alieuweka usiku na pia mchana sasa ni kweri hauamin tu

Hapa unakubali kwamba ukijiangalia unajishangaa/kustaajabu na kukubali kwamba umeumbwa! Kwanini sasa unajitoa ufahamu kwa kusema mungu wako hajaumbwa wakati yeye ndio wa utata kuliko binadamu? Wewe wasema umeumbwa, lakini unasema huyo mungu hajaumbwa kisa tu ukisikia jina mungu unaogopa. Lini mtafunguka nyie wapumbavu?
 
Back
Top Bottom