Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

kuna watu walikua wanaongelea mambo haya haya,walikula vibao na hawakuona siku 3,wote wameongoka sasa hvi
 
Nikugeuzie kibao kidogo.
Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hajaumbwa na mungu mwingine kaumbwa na nani? Au kajileta mwenyewe hapa duniani/ulimwenguni? Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Waamini, walokole, wakristo,waislam wanaosema mungu hajaumbwa wamejitahidi sana kueleza asili ya Mungu na vitu vingine. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya Mungu sio mwanadamu. Ni kweli muumbaji wa huyo mungu aliyemuumba huyu mungu wanayesema kaumba vitu vingine anaweza akawa hayupo je? Mungu kaumbwa na nani? Uje na lengo la kuelimishana. Nawasilisha.

Mtazamo wa AKILIhuru.

Ukijiangalia wewe pamoja na mazingira yanayokuzunguka ukastaajabu sana isiwe kigezo cha kusema mungu yupo kisa tu umekosa majibu ya baadhi ya vitu!
Kwanini usimtazame huyo mungu na mazingira yake unayoyasoma kwenye vitabu????
Kwa mujibu wa maandiko ujuzi wa maisha ya mwanadamu na mazingira yake haujafikia hata nusu ya ujuzi wa maisha ya huyo mungu.
Sasa jiulize hivi...kwanini ukijiangalia wewe ukastaajabu unasema umeumbwa, lakini ukimuangalia huyo mungu unastaajabu zaidi lakini unasema hajaumbwa. Hii ikoje? Tatizo ni imani za ovyo zimewaharibu.

Mimi ningekubaliana na ww kwamba hakuna Mungu Kama; Katika kupinga kwako huku kwa kujiaminisha, ungekuwa na uwezo wa kuvuka ile mipaka ambayo mwanadamu amewekewa, hasa kifo maradh na vitu vyote ambavyo vinatubanaga hasa unakuta hata kuongea huwez hapo ungeniamisha kwamba Mungu yupo, kiukwel sisi ujanja hatuna, ukubali usikubal wote tuko chini ya mamlaka fulan ambayo lazima utatii ili uishi, Kama utakataa kutii bas ni lazima uadibishwe, ukikataa kumtii Mungu bas utawatii wanadam katika mifumo ambayo imewekwa, na kwa namna yeyote ile lazima uende kichwa umeinama..hatuna ujanja mzee, fanya ufanyavyo huvuki ile mipaka ilowekwa....hata sayansi na fikra huru haziwez kukuvukisha mipaka hiyo...sema ndio hivyo tunajifanya vibur hatutak kutii

Science inajaribu kuprove vitu na kutuwezesha kutatuwa changamoto katika mazingira complex tuliyo yakuta Lakin hatachembe haiwez kuprove kivip Mungu hayupo wakati research zinafanyika within the parameters zote ambazo ameziumba au kufanywa na Mungu anayetafitiwa, huku watafiti na malighafi zote zikiwa ni resources zake huyo Mungu ...hivyo inakuwa kama unajitafit mwenyewe, tafit hizo zingefanyika outside the parameters ambazo Mungu hajafanya tungekuwa na majibu..lakini nikitu ambacho hakiwezekaniki

Na Kama hakiwezekaniki bas tuna conclude kwamba Mungu yupo, kwasababu tafsiri yenyewe inatufunga kwamba Mungu, kiingereza kinatupa maana Nzuri zaid kwamba "HE is Superior Being"
 
Imebid nicheke tu huwez shinda hoja kwa style hii, kama ni somo hapa umedisco.
mkuu amenitukana huyo -----.na sababu hoja zimemshinda tuamie basi upande wa pili.au kwako kutusiwa ni kushindana pia.
 
Mimi ningekubaliana na ww kwamba hakuna Mungu Kama; Katika kupinga kwako huku kwa kujiaminisha, ungekuwa na uwezo wa kuvuka ile mipaka ambayo mwanadamu amewekewa, hasa kifo maradh na vitu vyote ambavyo vinatubanaga hasa unakuta hata kuongea huwez hapo ungeniamisha kwamba Mungu yupo, kiukwel sisi ujanja hatuna, ukubali usikubal wote tuko chini ya mamlaka fulan ambayo lazima utatii ili uishi, Kama utakataa kutii bas ni lazima uadibishwe, ukikataa kumtii Mungu bas utawatii wanadam katika mifumo ambayo imewekwa, na kwa namna yeyote ile lazima uende kichwa umeinama..hatuna ujanja mzee, fanya ufanyavyo huvuki ile mipaka ilowekwa....hata sayansi na fikra huru haziwez kukuvukisha mipaka hiyo...sema ndio hivyo tunajifanya vibur hatutak kutii

Science inajaribu kuprove vitu na kutuwezesha kutatuwa changamoto katika mazingira complex tuliyo yakuta Lakin hatachembe haiwez kuprove kivip Mungu hayupo wakati research zinafanyika within the parameters zote ambazo ameziumba au kufanywa na Mungu anayetafitiwa, huku watafiti na malighafi zote zikiwa ni resources zake huyo Mungu ...hivyo inakuwa kama unajitafit mwenyewe, tafit hizo zingefanyika outside the parameters ambazo Mungu hajafanya tungekuwa na majibu..lakini nikitu ambacho hakiwezekaniki

Na Kama hakiwezekaniki bas tuna conclude kwamba Mungu yupo, kwasababu tafsiri yenyewe inatufunga kwamba Mungu, kiingereza kinatupa maana Nzuri zaid kwamba "HE is Superior Being"

Kumbe unayachukulia matatizo kama Mungu?
Mr Jiff tunatawaliwa na ujinga na sio mungu.
 
Last edited by a moderator:
Dunia haipo peke yake kwani kuna other planets na other solar systems hivyo basi uwezekano wa kuwa kuna viumbe kama sisi au tofauti sio ngumu. Watoto wa mungu hawatakubaliana na mimi kwa kuwa hawajawahi tafakari hayo ama hata kuyasikia. Tafakari hayo na wenye maswali uliza zaidi.
 
Kumbe unayachukulia matatizo kama Mungu?
Mr Jiff tunatawaliwa na ujinga na sio mungu.

God created everything, including
human beings. Because you were in
fact created at one specific second,
at a specific minute, of a specific
day, than you know absolutely
nothing that came before that
second you were created. So, your
mind has a conception of the world
around you: "Everything has a
beginning, like I have a beginning."
And, that is a state of mind that
every creature in this world has.
Because they were created they
have difficulty imagining a creature
that doesn't have a "beginning".
In fact, we define our world by
time, start, and finish, beginning,
and end. But, understand that God,
because he is the creator of
everything, also created time. The
very nature we have to begin, or to
end, only exists because God
created the concept. Before God
created it, the concept of
"beginning" never existed. The idea
of a "beginning to everything" is
something that only exists in your
mind because you were created
with a beginning! But, that doesn't
mean that that is the truth of God,
because before he created time
beginnings and endings did not
exist.
So then, you probably would, after
taking that idea in, wonder to
yourself "Than how does he exist if
not within time?". Simply, he
would have to exist in a place, and
in a way, where time is not a factor.
Someplace out of our "universe" in
a way. Because, our universe HAS a
beginning, he created it, therefor
he cannot be living in it because he
would have to be living in his own
way before he created this
universe.
Another possible question you
might ask yourself is "Than, what is
the 'present' time to God." And, to
that I say, remember: he does not
experience time like you do. Time is
something he created for you. You
experience past, present, future. He
does not. He is outside of time as
you know it because he created
time. Now, realize, that doesn't
mean that he can't see YOUR
present. He can see what's
happening everywhere, all the
time, so he can happily look down
upon you in your time-based life
and see what you're doing in the
present with a smile. But, just
because he can look upon your
present does not mean that he is
limited to time the way that you
know it, and feel it. He is something
different from you, in a place
different than where you live, and
simply does not abide by the same
rules that he has birthed you into.
The rules for time, beginnings, and
ends, is your gift. A special universe
that he created for you.
 
Last edited by a moderator:
kuna watu walikua wanaongelea mambo haya haya,walikula vibao na hawakuona siku 3,wote wameongoka sasa hvi

Sie kila siku tunayaongelea haya mambo na tuko sawa kabisa. Hiyo hadithi yako ni sawa na wale wanaoamini ukijisaidia haja ndogo kwenye vitabu flani cha dini unakuwa kichaa wakati sio kweli
 
God created everything, including
human beings. Because you were in
fact created at one specific second,
at a specific minute, of a specific
day, than you know absolutely
nothing that came before that
second you were created. So, your
mind has a conception of the world
around you: "Everything has a
beginning, like I have a beginning."
And, that is a state of mind that
every creature in this world has.
Because they were created they
have difficulty imagining a creature
that doesn't have a "beginning".
In fact, we define our world by
time, start, and finish, beginning,
and end. But, understand that God,
because he is the creator of
everything, also created time. The
very nature we have to begin, or to
end, only exists because God
created the concept. Before God
created it, the concept of
"beginning" never existed. The idea
of a "beginning to everything" is
something that only exists in your
mind because you were created
with a beginning! But, that doesn't
mean that that is the truth of God,
because before he created time
beginnings and endings did not
exist.
So then, you probably would, after
taking that idea in, wonder to
yourself "Than how does he exist if
not within time?". Simply, he
would have to exist in a place, and
in a way, where time is not a factor.
Someplace out of our "universe" in
a way. Because, our universe HAS a
beginning, he created it, therefor
he cannot be living in it because he
would have to be living in his own
way before he created this
universe.
Another possible question you
might ask yourself is "Than, what is
the 'present' time to God." And, to
that I say, remember: he does not
experience time like you do. Time is
something he created for you. You
experience past, present, future. He
does not. He is outside of time as
you know it because he created
time. Now, realize, that doesn't
mean that he can't see YOUR
present. He can see what's
happening everywhere, all the
time, so he can happily look down
upon you in your time-based life
and see what you're doing in the
present with a smile. But, just
because he can look upon your
present does not mean that he is
limited to time the way that you
know it, and feel it. He is something
different from you, in a place
different than where you live, and
simply does not abide by the same
rules that he has birthed you into.
The rules for time, beginnings, and
ends, is your gift. A special universe
that he created for you.

Unacopy na kupaste ngonjera hizi hizi tunazozipigia kelele? :what:
 
God created everything, including
human beings. Because you were in
fact created at one specific second,
at a specific minute, of a specific
day, than you know absolutely
nothing that came before that
second you were created. So, your
mind has a conception of the world
around you: "Everything has a
beginning, like I have a beginning."
And, that is a state of mind that
every creature in this world has.
Because they were created they
have difficulty imagining a creature
that doesn't have a "beginning".
In fact, we define our world by
time, start, and finish, beginning,
and end. But, understand that God,
because he is the creator of
everything, also created time. The
very nature we have to begin, or to
end, only exists because God
created the concept. Before God
created it, the concept of
"beginning" never existed. The idea
of a "beginning to everything" is
something that only exists in your
mind because you were created
with a beginning! But, that doesn't
mean that that is the truth of God,
because before he created time
beginnings and endings did not
exist.
So then, you probably would, after
taking that idea in, wonder to
yourself "Than how does he exist if
not within time?". Simply, he
would have to exist in a place, and
in a way, where time is not a factor.
Someplace out of our "universe" in
a way. Because, our universe HAS a
beginning, he created it, therefor
he cannot be living in it because he
would have to be living in his own
way before he created this
universe.
Another possible question you
might ask yourself is "Than, what is
the 'present' time to God." And, to
that I say, remember: he does not
experience time like you do. Time is
something he created for you. You
experience past, present, future. He
does not. He is outside of time as
you know it because he created
time. Now, realize, that doesn't
mean that he can't see YOUR
present. He can see what's
happening everywhere, all the
time, so he can happily look down
upon you in your time-based life
and see what you're doing in the
present with a smile. But, just
because he can look upon your
present does not mean that he is
limited to time the way that you
know it, and feel it. He is something
different from you, in a place
different than where you live, and
simply does not abide by the same
rules that he has birthed you into.
The rules for time, beginnings, and
ends, is your gift. A special universe
that he created for you.


This is what I can call free thinking....this man is not narrow minded, you can see light in every pulses of the verses.
 
Mwanzo 1:1-31,2:1-4. inaeleza juu ya uumbaji
Ndugu zangu kila kitu kina muongozo wake mfano gari linapotengenezwa linakuwa na manual yake pia ulimwengu una manual yake nayo ni Biblia,ukimwomba Roho Mtakatifu kabla ya kusoma neno la Mungu,utapata kufahamu nini makusudi ya kuumbwa wanadamu na ulimwengu kwa ujumla.na pia kuna vitu Mungu ametufumba ili wanadamu tusivujue mfano Yesu alisema mtu asiwadanganye juu ya mwisho wa dunia maana hakuna aijuaye siku hiyo ila baba(Mungu).
 
by
MJARRAB

God,
because he is the creator of
everything, also created time.

This is silly argument of all the time

the central tenet of your ideas is that,"God is timeless",and you have further reinforced it by saying that,since God made everything so he made the time also.

your argument above is completely wrong,we know that time is fourth dimension of our universe.Everythings in the our cosmos exist within space time continuum

infact,time is not some sort of materials to be created by God
time is just periodic interval btn two events,is matter of your perception.

so nothing even your God can create time,because time is immaterials...
 
This is silly argument of all the time

the central tenet of your ideas is that,"God is timeless",and you have further reinforced it by saying that,since God made everything so he made the time also.

your argument above is completely wrong,we know that time is fourth dimension of our universe.Everythings in the our cosmos exist within space time continuum

infact,time is not some sort of materials to be created by God
time is just periodic interval btn two events,is matter of your perception.

so nothing even your God can create time,because time is immaterials...

Teh teh teh ....Einstein, your good in reasoning, but in a narrow paspective, soma ulichocoment hapo juuu 😆😆😆
 
kila kitu kilicho umbwa kina aliye kiumba,mungu ni muumbaji hana sifa ya kuumbwa!hii ni sawa sawa na mtu akuulize aliyejifungua ni mwanamume au mwanamke.bila shaka swali hilo litakuwa halina maana kwa sababu wote tunajua kwamba mwamamume hana sifa ya kuzaa!hivyo mungu ni muumbaji hata sifa ya kuumbwa!

Hapo naona unachanganya kidogo. Wewe egemea zaidi kwenye imani yako na kusema tu Mungu ni muumba wa kila kitu.

Kuhusu mwanaume kutojifungua siyo mfano mzuri sana kwani kila mtu anajua hayo. Haijatokea vinginevyo mpaka sasa. Lakini kuhusu Mungu vilevile hakuna aliyewahi kumwona akiumba dunia.
 
Hapo naona unachanganya kidogo. Wewe egemea zaidi kwenye imani yako na kusema tu Mungu ni muumba wa kila kitu.

Kuhusu mwanaume kutojifungua siyo mfano mzuri sana kwani kila mtu anajua hayo. Haijatokea vinginevyo mpaka sasa. Lakini kuhusu Mungu vilevile hakuna aliyewahi kumwona akiumba dunia.

kama haikutokea mwanaume kujifungua,vile vile haikutoke mungu kuumbwa!kuhusu imani hata hao wano amini kuwa hakuna Mungu,kule kuamini kwao hivyo nayo pia ni imani!hakuna aliyo ona tukio la Big Bang!lakini wanaamini lilitokea,wakati wao imani yao imeazia hapo katika tukio la Big Bang!imania yangu mimi inaanza kabla ya tukio hilo.

ﺃَﻭَﻟَﻢْ ﻳَﺮَ ﺍﻟَّﺬِﻳﻦَ ﻛَﻔَﺮُﻭﺍ ﺃَﻥَّ ﺍﻟﺴَّﻤَﺎﻭَﺍﺕِ ﻭَﺍﻷَﺭْﺽَ
ﻛَﺎﻧَﺘَﺎ ﺭَﺗْﻘﺎً ﻓَﻔَﺘَﻘْﻨَﺎﻫُﻤَﺎ ﻭَﺟَﻌَﻠْﻨَﺎ ﻣِﻦَ ﺍﻟْﻤَﺎﺀ ﻛُﻞَّ
ﺷَﻲْﺀٍ ﺣَﻲٍّ ﺃَﻓَﻼ ﻳُﺆْﻣِﻨُﻮﻥَ )ﺍﻷﻧﺒﻴﺎﺀ 30 :21 ، (.
Have not those who disbelieve
seen (known) that the heavens and
the Earth were of one connected
entity, then We separated them
(from each other), and We made
every living thing out of water?
Will they not then believe? (Al-
Anbiya', 21: 30).
The first part of Verse 30: 21 tells us
that the beginning of creation was
by a great explosion that resulted
in the separation of parts from the
original single entity, or what
cosmologists describe as the big
bang.
The second part of the Verse is
about the relationship between life
and water. It basically points to the
fact that life depends on the
availability of water, which has
become a scientific given.
For decades, space programs have
had a major goal of investigating
whether there is water on other
planets or not, in order to begin the
exploration of whether there is life
on those planets or not. Several
verses of the Holy Quran have
stated clearly that every living
being has been created from water.
Water covers about seventy
percent of the surface of the Earth,
which has provided it with the
essential requirement of life.
 
Back
Top Bottom