Katika jambo ambalo sijafundishwa ni hili la kupinga uwepo wa huyu jamaa anaeitwa Mungu.Mnanichwkeshaga mnavyosema mtu na akili zako unamuamini Mungu!!!!
Kwani wewe ulivyozaliwa automatic tu ulijua Mungu hayupo? Si ulimsoma watu wanaosema hakuna Mungu wakakushawishi na wewe ukawafuata na kuanza imani ya kutomuamini Mungu kama wao?
Au wewe ilikuaje katika hii imani yako ya atheism?
kwamba wewe unataka kukimbilia kusema hii dunia iliumbwa?Naomba uniambia dunia ilitokea wapi lipi chimbuko la dunia?
Nataka kupata uelewa kutoka kwako ili nikuamini unaamini Mungu hayupo sababu ya ideology uliyonayo inayokinzana na uwepo wa Mungu sasa naitaka ideology yako kwenye kipengele cha mwanzo wa uhai ulikuaje?kwamba wewe unataka kukimbilia kusema hii dunia iliumbwa?
Kuamini mungu mnafundishwa kama mnavyofundishwa majira. Yaani sekunde, dakika, saa, siku, wiki nk.Poa ndio jibu kijana? Au kama umeshindwa sema sababu leo ninataka kupangua hoja zenu hapa.
Umekwepa swali langu mkuu!Kila kitu duniani kina changamoto zake challenges zipo kwa wadudu mimea wanyama na ecosystem nzima binadamu pia wanazo changamoto zao hilo likiwemo.
Me ningedhani unasema hizo changamoto za mwanadamu zinatatuliwa kwa ukuu wa Mungu ambapo kibinadamu inashindikana lakini kwa Mungu inawezekana.
Unaweza kueleza hivyo vitabu vimeeleza nini hadi useme kwamba ningetakiwa kujua mungu bila hata kufundishwa? Halafu hakuna niliposema natumia hisia kwa kusema kwangu mungu yupo.kwa jinsi mungu alivyo elezwa ktk hadithi ww ilitakiwa ujue mungu yupo lakini sio hivyo unavyo hisi kwamba mungu yupo.
na kwasababu unahisi mungu yupo na hayupo basi ujue hayupo kwasababu kama angekuwepo ungemjua toka unazaliwa sio hadi walipo anza kukufundisha makanisani.
Kujiongeza ndio nini?Kuamini mungu mnafundishwa kama mnavyofundishwa majira. Yaani sekunde, dakika, saa, siku, wiki nk.
Leo nikikuambia kuwa hakuna kitu kinaitwa sekunde kilichokuwepo, utabisha. Ila haya yote ni matokeo ya challenge za wanadamu walipoona wanashindwa kuweka kumbukumbu. Hivyo basi, kuna usiku na mchana tu.
Hata suala la Mungu nalo ni hivyo hivyo. Watu walipoona wanapata challenge nyingi kwenye suala la kumtawala mwanadamu, waliamua kuandaa mazingira ya mwanadamu kutawaliwa kwa utashi wake. Ndio maana wakaja ma mpango wa elimu. Yaani wanakufundisha kisha wanakutumia kwa ridhaa yako wewe mwenyewe. Sijuj kama utakua umeambulia chochote hapo ambacho kitakupa uwezo wa kujiongeza.
Mm sio mpenzi wa kuandika ila nina mambo mengi yatakayoweza kukusaidia ili ujielewe
Liweke swali lako katika mfumo unaoeleweka hapo sijaona swali bali statement (maelezo)Umekwepa swali langu mkuu!
Nimeuliza uwepo wa matatizo unathibitisha vipi kwamba mungu yupo?Liweke swali lako katika mfumo unaoeleweka hapo sijaona swali bali statement (maelezo)
kama kweli mungu yupo kwanini wakufundishe kumuhisi yupo kuliko kumjua kwasasababu nijuavyo kuamini ni kuhisi na ndio maana watu wengi wamelizwa kwa kuwaamini watu.Unaweza kueleza hivyo vitabu vimeeleza nini hadi useme kwamba ningetakiwa kujua mungu bila hata kufundishwa? Halafu hakuna niliposema natumia hisia kwa kusema kwangu mungu yupo.
Hili nilishalijibu litafute huko nyuma.Nimeuliza uwepo wa matatizo unathibitisha vipi kwamba mungu yupo?
Maelezo ya kutokea kwa mwanadamu yapo hivi.Kujiongeza ndio nini?
Swali langu hata hujaligusia unaniletea vitu visivyo na kichwa wala mguu nimekutaka unipe michakato ya kutokea kwa mwanadamu huo ndio msingi wa swali nataka maelezo.
Njoo haoa jibu hii hoja acha kukimbia hoja hapa.kama kweli mungu yupo kwanini wakufundishe kumuhisi yupo kuliko kumjua kwasasababu nijuavyo kuamini ni kuhisi na ndio maana watu wengi wamelizwa kwa kuwaamini watu.
Naomba kukuuliza mkuu. Is God alive????Njoo haoa jibu hii hoja acha kukimbia hoja hapa.
Nataka kupata uelewa kutoka kwako ili nikuamini unaamini Mungu hayupo sababu ya ideology uliyonayo inayokinzana na uwepo wa Mungu sasa naitaka ideology yako kwenye kipengele cha mwanzo wa uhai ulikuaje?
Kijana acha kujiaibisha basi kwahiyo binadamu wa kwanza alitokana na nini nipe from the scratch nipe in dots halafu unajua hapa tupo kwenye intelligence forum hakuna msamiati wa "jiongeze"Maelezo ya kutokea kwa mwanadamu yapo hivi.
Kwa uwezo wangu wa kufikiri bila kusoma popote, mm naamini mwanadamu ni zao litokanalo na dunia kwasababu kila ninachokiona sasa ni zao la dunia. Mfano miti, mawe, umeme, magari, ndege, wanyama, wadudu na kila kitu kinachotengenezwa na wanadamu na kisichotengenezwa ni material yatokanayo na hii sayari dunia.
Pili kila kitu kina exist na ku survive kutokana na support ya mazingira. Yaani kama mazingira hayaruhusu, basi kitu cha namna hiyo hakiwezi ku exist. Mfano samaki wa maji baridi huwezi kumkuta kwenye maji ya chumvi. Hata wanyama wa sehemu zenye asili ya baridi kuwezi kuwakuta kwenye joto. Hata mimea pia inayoota na kukua kwenye maji, haiwezi kuishi pakame.
Hayo yote ni kwa uwezo wangu kufikiri. Ila na wewe jiongeze utapata majibu kamili
We won't go nowhere until you do thisNaomba kukuuliza mkuu. Is God alive????
Kwahiyo kuamini kuwa hakuna mungu huwa watu wanazaliwa hivyo?Alafu pia lazima watambue kuwa wao wanaamini Mungu kwakua wanafundishwa. Kama wasingsefundishwa kuwa yupo, basi wasinge amini
Hahahaa kanidharau au kanimimbia??Ndio maana hata Kiranga kakudharau
Hayo mambo mengi umezaliwa nayo au umejifunza? kwa maana ni Maelezo ya watu.Kuamini mungu mnafundishwa kama mnavyofundishwa majira. Yaani sekunde, dakika, saa, siku, wiki nk.
Leo nikikuambia kuwa hakuna kitu kinaitwa sekunde kilichokuwepo, utabisha. Ila haya yote ni matokeo ya challenge za wanadamu walipoona wanashindwa kuweka kumbukumbu. Hivyo basi, kuna usiku na mchana tu.
Hata suala la Mungu nalo ni hivyo hivyo. Watu walipoona wanapata challenge nyingi kwenye suala la kumtawala mwanadamu, waliamua kuandaa mazingira ya mwanadamu kutawaliwa kwa utashi wake. Ndio maana wakaja ma mpango wa elimu. Yaani wanakufundisha kisha wanakutumia kwa ridhaa yako wewe mwenyewe. Sijuj kama utakua umeambulia chochote hapo ambacho kitakupa uwezo wa kujiongeza.
Mm sio mpenzi wa kuandika ila nina mambo mengi yatakayoweza kukusaidia ili ujielewe