Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

Mnanichwkeshaga mnavyosema mtu na akili zako unamuamini Mungu!!!!

Kwani wewe ulivyozaliwa automatic tu ulijua Mungu hayupo? Si ulimsoma watu wanaosema hakuna Mungu wakakushawishi na wewe ukawafuata na kuanza imani ya kutomuamini Mungu kama wao?

Au wewe ilikuaje katika hii imani yako ya atheism?
Katika jambo ambalo sijafundishwa ni hili la kupinga uwepo wa huyu jamaa anaeitwa Mungu.
 
kwamba wewe unataka kukimbilia kusema hii dunia iliumbwa?
Nataka kupata uelewa kutoka kwako ili nikuamini unaamini Mungu hayupo sababu ya ideology uliyonayo inayokinzana na uwepo wa Mungu sasa naitaka ideology yako kwenye kipengele cha mwanzo wa uhai ulikuaje?
 
Poa ndio jibu kijana? Au kama umeshindwa sema sababu leo ninataka kupangua hoja zenu hapa.
Kuamini mungu mnafundishwa kama mnavyofundishwa majira. Yaani sekunde, dakika, saa, siku, wiki nk.
Leo nikikuambia kuwa hakuna kitu kinaitwa sekunde kilichokuwepo, utabisha. Ila haya yote ni matokeo ya challenge za wanadamu walipoona wanashindwa kuweka kumbukumbu. Hivyo basi, kuna usiku na mchana tu.
Hata suala la Mungu nalo ni hivyo hivyo. Watu walipoona wanapata challenge nyingi kwenye suala la kumtawala mwanadamu, waliamua kuandaa mazingira ya mwanadamu kutawaliwa kwa utashi wake. Ndio maana wakaja ma mpango wa elimu. Yaani wanakufundisha kisha wanakutumia kwa ridhaa yako wewe mwenyewe. Sijuj kama utakua umeambulia chochote hapo ambacho kitakupa uwezo wa kujiongeza.
Mm sio mpenzi wa kuandika ila nina mambo mengi yatakayoweza kukusaidia ili ujielewe
 
Kila kitu duniani kina changamoto zake challenges zipo kwa wadudu mimea wanyama na ecosystem nzima binadamu pia wanazo changamoto zao hilo likiwemo.

Me ningedhani unasema hizo changamoto za mwanadamu zinatatuliwa kwa ukuu wa Mungu ambapo kibinadamu inashindikana lakini kwa Mungu inawezekana.
Umekwepa swali langu mkuu!
 
kwa jinsi mungu alivyo elezwa ktk hadithi ww ilitakiwa ujue mungu yupo lakini sio hivyo unavyo hisi kwamba mungu yupo.
na kwasababu unahisi mungu yupo na hayupo basi ujue hayupo kwasababu kama angekuwepo ungemjua toka unazaliwa sio hadi walipo anza kukufundisha makanisani.
Unaweza kueleza hivyo vitabu vimeeleza nini hadi useme kwamba ningetakiwa kujua mungu bila hata kufundishwa? Halafu hakuna niliposema natumia hisia kwa kusema kwangu mungu yupo.
 
Kuamini mungu mnafundishwa kama mnavyofundishwa majira. Yaani sekunde, dakika, saa, siku, wiki nk.
Leo nikikuambia kuwa hakuna kitu kinaitwa sekunde kilichokuwepo, utabisha. Ila haya yote ni matokeo ya challenge za wanadamu walipoona wanashindwa kuweka kumbukumbu. Hivyo basi, kuna usiku na mchana tu.
Hata suala la Mungu nalo ni hivyo hivyo. Watu walipoona wanapata challenge nyingi kwenye suala la kumtawala mwanadamu, waliamua kuandaa mazingira ya mwanadamu kutawaliwa kwa utashi wake. Ndio maana wakaja ma mpango wa elimu. Yaani wanakufundisha kisha wanakutumia kwa ridhaa yako wewe mwenyewe. Sijuj kama utakua umeambulia chochote hapo ambacho kitakupa uwezo wa kujiongeza.
Mm sio mpenzi wa kuandika ila nina mambo mengi yatakayoweza kukusaidia ili ujielewe
Kujiongeza ndio nini?
Swali langu hata hujaligusia unaniletea vitu visivyo na kichwa wala mguu nimekutaka unipe michakato ya kutokea kwa mwanadamu huo ndio msingi wa swali nataka maelezo.
 
Unaweza kueleza hivyo vitabu vimeeleza nini hadi useme kwamba ningetakiwa kujua mungu bila hata kufundishwa? Halafu hakuna niliposema natumia hisia kwa kusema kwangu mungu yupo.
kama kweli mungu yupo kwanini wakufundishe kumuhisi yupo kuliko kumjua kwasasababu nijuavyo kuamini ni kuhisi na ndio maana watu wengi wamelizwa kwa kuwaamini watu.
 
Kujiongeza ndio nini?
Swali langu hata hujaligusia unaniletea vitu visivyo na kichwa wala mguu nimekutaka unipe michakato ya kutokea kwa mwanadamu huo ndio msingi wa swali nataka maelezo.
Maelezo ya kutokea kwa mwanadamu yapo hivi.
Kwa uwezo wangu wa kufikiri bila kusoma popote, mm naamini mwanadamu ni zao litokanalo na dunia kwasababu kila ninachokiona sasa ni zao la dunia. Mfano miti, mawe, umeme, magari, ndege, wanyama, wadudu na kila kitu kinachotengenezwa na wanadamu na kisichotengenezwa ni material yatokanayo na hii sayari dunia.

Pili kila kitu kina exist na ku survive kutokana na support ya mazingira. Yaani kama mazingira hayaruhusu, basi kitu cha namna hiyo hakiwezi ku exist. Mfano samaki wa maji baridi huwezi kumkuta kwenye maji ya chumvi. Hata wanyama wa sehemu zenye asili ya baridi kuwezi kuwakuta kwenye joto. Hata mimea pia inayoota na kukua kwenye maji, haiwezi kuishi pakame.

Hayo yote ni kwa uwezo wangu kufikiri. Ila na wewe jiongeze utapata majibu kamili
 
kama kweli mungu yupo kwanini wakufundishe kumuhisi yupo kuliko kumjua kwasasababu nijuavyo kuamini ni kuhisi na ndio maana watu wengi wamelizwa kwa kuwaamini watu.
Njoo haoa jibu hii hoja acha kukimbia hoja hapa.


Nataka kupata uelewa kutoka kwako ili nikuamini unaamini Mungu hayupo sababu ya ideology uliyonayo inayokinzana na uwepo wa Mungu sasa naitaka ideology yako kwenye kipengele cha mwanzo wa uhai ulikuaje?
 
Njoo haoa jibu hii hoja acha kukimbia hoja hapa.


Nataka kupata uelewa kutoka kwako ili nikuamini unaamini Mungu hayupo sababu ya ideology uliyonayo inayokinzana na uwepo wa Mungu sasa naitaka ideology yako kwenye kipengele cha mwanzo wa uhai ulikuaje?
Naomba kukuuliza mkuu. Is God alive????
 
Maelezo ya kutokea kwa mwanadamu yapo hivi.
Kwa uwezo wangu wa kufikiri bila kusoma popote, mm naamini mwanadamu ni zao litokanalo na dunia kwasababu kila ninachokiona sasa ni zao la dunia. Mfano miti, mawe, umeme, magari, ndege, wanyama, wadudu na kila kitu kinachotengenezwa na wanadamu na kisichotengenezwa ni material yatokanayo na hii sayari dunia.

Pili kila kitu kina exist na ku survive kutokana na support ya mazingira. Yaani kama mazingira hayaruhusu, basi kitu cha namna hiyo hakiwezi ku exist. Mfano samaki wa maji baridi huwezi kumkuta kwenye maji ya chumvi. Hata wanyama wa sehemu zenye asili ya baridi kuwezi kuwakuta kwenye joto. Hata mimea pia inayoota na kukua kwenye maji, haiwezi kuishi pakame.

Hayo yote ni kwa uwezo wangu kufikiri. Ila na wewe jiongeze utapata majibu kamili
Kijana acha kujiaibisha basi kwahiyo binadamu wa kwanza alitokana na nini nipe from the scratch nipe in dots halafu unajua hapa tupo kwenye intelligence forum hakuna msamiati wa "jiongeze"

Nataka unipe mchakato wa kutokea kwa uhai what were the influences i want the cradle of life from the nucleus.
 
Naomba kukuuliza mkuu. Is God alive????
We won't go nowhere until you do this

Kijana acha kujiaibisha basi kwahiyo binadamu wa kwanza alitokana na nini nipe from the scratch nipe in dots halafu unajua hapa tupo kwenye intelligence forum hakuna msamiati wa "jiongeze"

Nataka unipe mchakato wa kutokea kwa uhai what were the influences i want the cradle of life from the nucleus.
 
Alafu pia lazima watambue kuwa wao wanaamini Mungu kwakua wanafundishwa. Kama wasingsefundishwa kuwa yupo, basi wasinge amini
Kwahiyo kuamini kuwa hakuna mungu huwa watu wanazaliwa hivyo?
 
Ndio maana hata Kiranga kakudharau
Hahahaa kanidharau au kanimimbia??
Kwani nataka kugombea uwaziri wa nithamu hapa nawanyoosha tu wasaidie wenzako huko naona wanajing'atang'ata tu hamna hoja mmejiingiza kwenye hard debate na shallow minds hata mnachojinasibu nacho hamkijui mnamuaibusha baba yenu kiranga.
 
Kuamini mungu mnafundishwa kama mnavyofundishwa majira. Yaani sekunde, dakika, saa, siku, wiki nk.
Leo nikikuambia kuwa hakuna kitu kinaitwa sekunde kilichokuwepo, utabisha. Ila haya yote ni matokeo ya challenge za wanadamu walipoona wanashindwa kuweka kumbukumbu. Hivyo basi, kuna usiku na mchana tu.
Hata suala la Mungu nalo ni hivyo hivyo. Watu walipoona wanapata challenge nyingi kwenye suala la kumtawala mwanadamu, waliamua kuandaa mazingira ya mwanadamu kutawaliwa kwa utashi wake. Ndio maana wakaja ma mpango wa elimu. Yaani wanakufundisha kisha wanakutumia kwa ridhaa yako wewe mwenyewe. Sijuj kama utakua umeambulia chochote hapo ambacho kitakupa uwezo wa kujiongeza.
Mm sio mpenzi wa kuandika ila nina mambo mengi yatakayoweza kukusaidia ili ujielewe
Hayo mambo mengi umezaliwa nayo au umejifunza? kwa maana ni Maelezo ya watu.
 
Back
Top Bottom