SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
K
Kwa hiyo upo uthibitisho kwamba mwanadamu wa mwanzo hakuweza kuhifadhi kumbukumbu?Ulijuaje au ni hisia tu? Kwa hiyo Medula Obulangata haikuwa sehemu ya Ubongo wa mwanadamu wa kizazi unachokiongelea?Kwa hiyo kwa asili changamoto huchagiza mwanadamu kupoteza kumbukumbu au huchangia pia kuhifadhi kumbukumbu?
Tatizo umeupumbaza ubongo wako kwa kupenda kusoma. Kuhusu mwanadamu wa kwanza kuwepo hili swali hakuna anayeweza kujibu. Maana wanadamu wa mwanzo kabisa alikuwa na changamoto kubwa zaidi ya kuhifadhi kumbukumbu. Yaani hakuwa na muda wa kufikiria kuwa yeye ametokea wapi. Mazingira aliyoyakuta yalikua changamoto tosha. Yaan alipambana na wanyama wakali bila silaha, alipigwa na baridi bila nguo, alilala nje pasipo na uzio, alinyeshewa na mvua. Hivyo ni baadhi kati ya changamoto ambazo alikua anapambana nazo. Kwahiyo hakuwa na mawazo ya kutunza kumbukumbu
Kwa hiyo upo uthibitisho kwamba mwanadamu wa mwanzo hakuweza kuhifadhi kumbukumbu?Ulijuaje au ni hisia tu? Kwa hiyo Medula Obulangata haikuwa sehemu ya Ubongo wa mwanadamu wa kizazi unachokiongelea?Kwa hiyo kwa asili changamoto huchagiza mwanadamu kupoteza kumbukumbu au huchangia pia kuhifadhi kumbukumbu?