Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

yani hawa jamaa serikali inabidi ijitahidi kuwadhibiti kwa kuwatungia sheria
kwa mfano mtu ukimuona anashinda na njaa hataki kura inabidi uende ukatoe ripoti polisi kwamba kuna mtu anataku kujiua.

na hata yule wa nigeri aliye taka kutembea juu ya maji kama yesu lakini alikufa kisheria ilibidi akamatwe mapema.
kwasababu haiwezekani mtu mumuone anabeba kamba kwenda kujinyonga mnamuangalia tu. na wakati sheria zipo.
lasi hivyo serikali itakuja kuwapoteza wanachi wake wengi sana kwa hizi dini za kipumbavu.
na ninacho shangaa walio waletea hizo dini walisha chukulia kawaida sana na kunawengine walisha acha kwenda hata makanisani ni baada kugundua mungu hayupo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kama hakuna kinachoweza kujitokeza chenyewe, mungu katokeaje?

Usitake kuweka sheria kwamba hakuna kinachoweza kutokea chenyewe bila hanzo halafu hapo hapo ukaivunja kwa kusema mungu hana chanzo.

Utatupa contradiction.

Na kama tulivyoona hapo juu contradiction inaonesha uongo.
Mungu hana chanzo, ila yeye ndio chanzo cha viumbe vyote vinavyoonekana na visivyoonekana;
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
hawa jamaa mara nyingi huwa wanakufa kipumbavu sana kama wale wanao jilipua usiku kucha na wale wanaokufa kila mwaka kule maka yani wenyewe ikifika msimu wao wa kufa wanakufa kweli kweli kufa watu 3000 wakiwa maka kwao ni kawaida na wao wanakuambia ile kwao ni neema.

lengo letu sisi ni kufanya kila linalowezekana kuwasaidia hawa wajinga wanaondokana na imani za kipumbavu.
na wanasema afrika inamajanga matatu ujinga maradhi pamoja na umaskini .
tukitoa ujinga na maradhi kuutoa unaskini itakuwa ni rahisi sana.

lakini hizi imani za kipumbavu nao ni ujinga mkubwa sana unao turudisha nyuma watu kila siku wanashinda muda wote makanisani na misiktini wakitegemea miujiza wanaacha kufanya kazi.
na wakati huo ukifuatilia duniani hakuna nchi ilipata maendeleo kwa kutegemea miujiza.
 
hawa jamaa mara nyingi huwa wanakufa kipumbavu sana kama wale wanao jilipua usiku kucha na wale wanaokufa kila mwaka kule maka yani wenyewe ikifika msimu wao wa kufa wanakufa kweli kweli kufa watu 3000 wakiwa maka kwao ni kawaida na wao wanakuambia ile kwao ni neema.

lengo letu sisi ni kufanya kila linalowezekana kuwasaidia hawa wajinga wanaondokana na imani za kipumbavu.
na wanasema afrika inamajanga matatu ujinga maradhi pamoja na umaskini .
tukitoa ujinga na maradhi kuutoa unaskini itakuwa ni rahisi sana.

lakini hizi imani za kipumbavu nao ni ujinga mkubwa sana unao turudisha nyuma watu kila siku wanashinda muda wote makanisani na misiktini wakitegemea miujiza wanaacha kufanya kazi.
na wakati huo ukifuatilia duniani hakuna nchi ilipata maendeleo kwa kutegemea miujiza.
Bahati nzuri kizazi kinachokuja sio kama cha sasa.
Wanaozaliwa wanakuja na maswali na wanataka majibu
 
ww unajiona unaamani kwasababu akili zako zote umeshindwa kuzitumia na umezikabidhi makanisani ili wazitumie
wanavyo taka.
ila mm lengo langu lilikuwa ni zuri tu nilikua nataka uikomboe akili yako.
na uludi kwenye maisha yako ya kawaida.
Unaweza kueleza kilichokufanya hadi ukaanza kuamini hakuna mungu?
 
kama kweli serikali inampango wa kupamba na watu ambao hawataki kufanya kazi inabidi ipambane na hawa watu wanaoshinda makanisani muda na miskini muda wote kwasababu hawana utofauti na wale wanaocheza pulu muda wote.
na inatakiwa wapangiwe muda wa kwenda makanisani na misikitini.
kwasababu kwanza kitu wanachofuata kule hakipo.
wanapoteza tu muda.
na serikali inabidi iwe inachukua mapato kwenye sadaka kwasababu ile ni biashara na imewatajirisha watu wengi sana.
bila serikali kuchukua mapato.
 
Wanavikosa kivipi? Au una maanisha kufa! Kila chenye uhai lazima kiwe na uwezo wa kufa. Huo ni udhibitisho tosha kuwa Mungu yupo.
Usipotoke ndugu yangu. Uhai ni mfano wa seli hai. Lengo kuu la seli ni kujigawanya yaani kujugawanya kuwa nyingi. Kuna njia nyingi za kugawanyika kwa seli. Moja ya njia hizo ni hizi za kuzaliana. Seli inapofikia mwisho wa kugawanyika huchoka na kuacha yale mazao yake yakiendelea kugawanyika. Mwisho wa seli hizo ni kupotea. Suala la uhai lisikutishe sana. Maana hata huyo mnayeamini yupo maana yake yupo hai. Kama yupo hai maana yake huo uhai alipewa kwa imani zenu kuwa kila chenye uhai kinakuwa kimewekewa na kingine.
Swali langu kwako ni je, nini lengo la huyo mungu wenu kuumba vitu ambavyo vipo hai na mwisho wake vinakufa tena vitaenda kuishi kwa mara nyingine?
 
Hivyo wewe unajua hata kwanini watu bado wanaamini mungu toka enzi hizo na makundi yote wenye elimu na hata wasiokuwa na elimu? Hivyo we unajua kuwa kusema hakuna mungu kunahitaji imani? We unafikiri kusema hakuna mungu ndiyo kuna kupa majibu ya mambo yaliyokuwa yanakutatiza ulipokuwa unaamini mungu?
 
Unaweza kueleza kilichokufanya hadi ukaanza kuamini hakuna mungu?
mm toka nazaliwa najua mungu hayupo ila wewe unanilazimisha niamini kwamba mungu yupo inamaana ww ndio mungu.
kwasababu maswali mengi ninayo uuliza na ilitakiwa ayajibu mungu lakini unayajibu wewe.
 
Chochote unachokiamini uko sawa ndani ya nafsi yako.Siamini kama bado kuna mtu analazimishwa aamini uwepo wa Mungu lakini pia hakuna sababu ya kumkashifu anayeamini au kutoamini kile unachokiamini wewe as long as hakuna sheria iliyovunjwa katika nchi ambazo hazina dini....Binafsi naamini Mungu yupo.
 
kama yeye ndio chanzo kabla hajawa chanzo alikuwa anaishi wapi?
Kwa mfano kama wewe ukiwa ni chanzo cha jambo Fulani, utakuwa unaishi wapi? Kwani Mungu kuwa chanzo cha viumbe vyote kuna husiana nini alipokuwa anaishi/kaa??
 
Usipotoke ndugu yangu. Uhai ni mfano wa seli hai. Lengo kuu la seli ni kujigawanya yaani kujugawanya kuwa nyingi. Kuna njia nyingi za kugawanyika kwa seli. Moja ya njia hizo ni hizi za kuzaliana. Seli inapofikia mwisho wa kugawanyika huchoka na kuacha yale mazao yake yakiendelea kugawanyika. Mwisho wa seli hizo ni kupotea. Suala la uhai lisikutishe sana. Maana hata huyo mnayeamini yupo maana yake yupo hai. Kama yupo hai maana yake huo uhai alipewa kwa imani zenu kuwa kila chenye uhai kinakuwa kimewekewa na kingine.
Swali langu kwako ni je, nini lengo la huyo mungu wenu kuumba vitu ambavyo vipo hai na mwisho wake vinakufa tena vitaenda kuishi kwa mara nyingine?
"Uhai ni mfano wa seli hai" jee, hiyo seli ilitokea wapi? Ilipataje uwezo wa kuwa hai?

Nini lengo la Mungu wetu kuumba vitu hai halafu mwishowe hufa?! Kama wewe huamini uwepo wa Mungu, kwa nini vitu viwe hai halafu vife? Uwezo wa kuwa hai na kufa umetokea wapi? Halafu hapo hapo unaamini kuwa vinaenda kuishi tena, una uhakika gani?
 
Back
Top Bottom