Kama Mwalimu anaweza safiri mpaka mkoa mwingine kwenda kuipigia kura CCM, tutegemee nini kwa wananchi wengine?

Kama Mwalimu anaweza safiri mpaka mkoa mwingine kwenda kuipigia kura CCM, tutegemee nini kwa wananchi wengine?

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari Jf ,Ni aibu kuona nchi kama Tanzania baada ya miaka 60 ya Uhuru bado ina changamoto nyingi sana ambazo hazitakiwa kuwepo ,kibaya zaidi bado CCM inaendelea tu kuwepo madarakani.

Kwa kifupi CCM haitakiwi kuendelea kuongoza hii nchi kutokana na muda iliopata lakini haifanikiwa kuondoa changamoto za kawaida kabisa.

Swali linakuja walimu wanelewa mambo mengi sana kuanzia historia ya nchi Mpaka Maliasili tulizo nazo ambazo zingeweza kututoa kwenye umasikini wa kutupwa tulio nao chini ya CCM anaweza safiri nje ya Mkoa wake kwenda kuipigia Kura CCM je raia wa kawaida itakuwaje?

Tusilaumu sana kuibiwa Kura ,hivi kwenye kituo cha watu 25000 CCM akipata Kura 1000 itakuwa rahisi kuiba?​
 
CCM Ni chama pekee kinacho stahili kupigiwa Kura,vyama vingine wamevifanya Kama mradi binafs wa mtu. Vinaongozwa kwa matakwa ya mtu syo umma, imagine watu wameshagawana majimbo ya kugombea mpaka Sasa, wajumbe wawapi waliowapitisha?
KURA NI KWA CCM
 
CCM Ni chama pekee kinacho stahili kupigiwa Kura,vyama vingine wamevifanya Kama mradi binafs wa mtu. Vinaongozwa kwa matakwa ya mtu syo umma, imagine watu wameshagawana majimbo ya kugombea mpaka Sasa, wajumbe wawapi waliowapitisha?
KURA NI KWA CCM
Daaaa hatari
 
Kwahiyo lengo lako wewe unataka hao walimu wawapigie kura hawa wachumia tumbo?

Mbona hata na hawa wameshindwa kutatua changamoto zao wenyewe za kichama, sasa za nchi ndo wataziweza?

Mtu mzima anajitokeza kukipa Chadema M100 kwa ajili ya kukisaidia chama hicho kiwe angalau na ofisi yake. Afu wenye chama wanachukua hela hizo na kwenda zao Dubai kula bata huku wakiacha ofisi haina hata choo cha kukaa. Je, wakipewa nchi hali itakuaje?

Huyu mzee bora hata hela zake angeenda kusaidia watoto yatima huenda Mungu angemuongezea maradufu, kuliko kuwapa watu wakalewee na vimada wao huko Dubai.

Fly to Kia baby
 

Attachments

  • Screenshot_20220912-125326.jpg
    Screenshot_20220912-125326.jpg
    62.8 KB · Views: 2
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    28.5 KB · Views: 1
Kwahiyo lengo lako wewe unataka hao walimu wawapigie kura hawa wachumia tumbo?

Mbona hata na hawa wameshindwa kutatua changamoto zao wenyewe za kichama, sasa za nchi ndo wataziweza?

Mtu mzima anajitokeza kukipa Chadema M100 kwa ajili ya kukisaidia chama hicho kiwe angalau na ofisi yake. Afu wenye chama wanachukua hela hizo na kwenda zao Dubai kula bata huku wakiacha ofisi haina hata choo cha kukaa.
Je wakipewa nchi hali itakuaje?

Huyu mzee bora hata hela zake angeenda kusaidia watoto yatima huenda Mungu angemuongezea maradufu, kuliko kuwapa watu wakalewee na vimada wao huko Dubai.

Fly to Kia baby
MKUU kuna NCCR mageuzi
 
Back
Top Bottom