Heri ya Siku ya Wanawake Duniani. Una zawadi kwa Wanawake uwapendao? Watumie hata salamu

Heri ya Siku ya Wanawake Duniani. Una zawadi kwa Wanawake uwapendao? Watumie hata salamu

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Wakuu!

1741593755757.png

Heri ya Siku yenu Wanawake wote wa hapa JF, nyie ni wa muhimu sana, tunawapenda❤️❤️❤️

Leo ni siku ya kusherehekea wanawake wote na yale wanayotufanyia kila siku kwa nguvu, upendo, na kujitolea.

Kutoka kwa mama, dada, binti, hadi marafiki wanawake ni nguzo muhimu katika maisha yetu.

Dhima ya Maadhimisho ya Mwaka huu duniani ni "Accelerate Action".
Siku ya Wanawake 2025 ni zaidi ya sherehe, ni hatua ya kuongeza kasi za Ukombozi na kumwezesha Mwanamke

Dhima hii inatufundisha kuwa, sasa ndiyo wakati wa kuongeza nguvu na kuchukua hatua za haraka kuleta mabadiliko. Hatuwezi kubaki nyuma tena, tuwawezeshe Wanawake kupata nafasi za uongozi, biashara, na ajira kwa usawa

Sasa tuwasherehekeaje?
Piga simu za salamu na Pongezi, tuma zawadi (hela ni muhimu🤣) mpostiane jamani na jumbe nzuri za kutiana moyo, msaidiane kupika leo na shughuli za nyumbani na mtoke out.... lunch au dinner (mtaamua wenyewe 😌💁🏾‍♀️)

Leo muwe wapole huko nyumbani🤣 ukali uendelee kesho

Mimi nimemaliza, ongeza njia nyingine ya kusherekea uliyo nayo

Karibuni
 
Salamu zangu zinaenda kwa hawa.

Demi
pole kwa kuteseka na mapenzi!.

ephen_
Tunza kizazi wewe bado mtoto sana mapenzi yanaua!.

Aaliyyah
Nakupenda japo hupendeki!

Evelyn Salt
Uko wapi..?

Miss Natafuta
i love you so much!.

Joanah
Nakupenda, nateseka na penzi lako!

FaizaFixy
Love you baby wangu wanguvu!

Mliobakia heri ya wanawake ujumbe msijibebeshe mizigo na kujilinganisha na sisi wanaume fanyeni kwa nafasi yenu!..😎
 
Salamu zangu zinaenda kwa hawa.

Demi
pole kwa kuteseka na mapenzi!.

ephen_
Tunza kizazi wewe bado mtoto sana mapenzi yanaua!.

Aaliyyah
Nakupenda japo hupendeki!

Evelyn Salt
Uko wapi..?

Miss Natafuta
i love you so much!.

Joanah
Nakupenda, nateseka na penzi lako!

FaizaFixy
Love you baby wangu wanguvu!

Mliobakia heri ya wanawake ujumbe msijibebeshe mizigo na kujilinganisha na sisi wanaume fanyeni kwa nafasi yenu!..😎
Asanteee😍😍
 
Salamu zangu zinaenda kwa hawa.

Demi
pole kwa kuteseka na mapenzi!.

ephen_
Tunza kizazi wewe bado mtoto sana mapenzi yanaua!.

Aaliyyah
Nakupenda japo hupendeki!

Evelyn Salt
Uko wapi..?

Miss Natafuta
i love you so much!.

Joanah
Nakupenda, nateseka na penzi lako!

FaizaFixy
Love you baby wangu wanguvu!

Mliobakia heri ya wanawake ujumbe msijibebeshe mizigo na kujilinganisha na sisi wanaume fanyeni kwa nafasi yenu!..😎
Hakika 🙏
 
Nawatakia wanawake wenzangu heri ya siku ya wanawake duniani. Tuna mengi ya kujivunia sisi kama akina mama, dada, wake, watumishi, wafanyabiashara, wanajamii na nguzo muhimu ya familia.

Binafsi najivunia kuwa mwanamke anayetengeneza kizazi bora kijacho kama mama, najivunia pia kuwa sehemu ndogo ya kuwasogeza wanawake wengine mbele kitaaluma.
  • Heri ya siku hii kwa wanawake wote wanaothubutu kufanya mambo magumu kwenye familia, kazi na biashara zao bila kukata tamaa.

  • Heri pia, kwa wanawake wote wanaotengeneza mijadala kwenye majukwaa inayotufunza na kutufurahisha.
Najivunia wanawake wa nguvu niliowafahamu humu JF ambao wanawakilisha sauti na maoni ya wanawake kwenye mijadala na majukwaa mbalimbali 👇.

nakwede97Aaliyyah * Mallerina
Leejay49Atoto * Demi
Sister AbigailMs R * Cute Wife
realMamyQashy LilithTo yeye
MsweetChujio
cocochanel * Anastasia21
ledadaCarleen
NumbisaMama Mwana * Hornet
SweetyCandyEllerie Bexley
ephen_Donatila * Lamomy
Jackcharty * Kelsea * Braying * Evelyn Salt


Women's day.jpeg
 
Mleta mada nina swali kwako...

Naona umekazia hapo wanawake tuwawezeshe tuwawezeshe...kwani mpaka sasa hivi kuna angle gani ambayo bado hamjawezeshwa?

Au niuulize hivi, mpaka sasa hivi kuni kipi ambacho mtoto wa kiume ana access nacho wakati huo mtoto wa kike ana access nacho?
 
Heri ya siku yenu pendwa nyote mlio na vulvas

Usijidanganye kubeba mimba ya mwanaume ndio atakuoa, maana kuna chama chetu pendwa kataa ndoa.

Mkiwezeshwa mnaweza sasa imefika muda wa kujiwezesha wenyewe miseleleko imetosha.

Mnaua viumbe mkumbuke hakuna marefu yasiyo na ncha, ncha ni kali inakata.

Dedication song:
Zuchu - Napambana

Dedication movie:
BINTI

Cc: Qashy Lilith
I miss you

realMamy
Huu mwaka ni wa kuforce lazima wakuite boss

Your excellence Hon. Mallerina
Ugombee sasa upate hata viti maalum

Mshangazi dot com
Mpwa wako nasemaje naseeemaje nakukubali Jamvi lenu lizidi kusonga lakini kataa ndoa inadunda tu.

Madame B hatimae nimekuona ulikuwa mrembo enzi zako be blessed.
 
Back
Top Bottom