Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You love to stress yourself right? Unadhani kuwa na mawazo mengi ndio utu uzima eti eeh?Mwanaume(Man) sio issue ya jinsia tu,.......wewe ni mvulana(boy),endelea kubalehe
Si kila mwanaume ana akili kama zako. Mwanaume halisi ana priority, ana malengo, kutwa yupo field anapambana kwa ajili yake na kizazi chakeMwanaume alie kamilika lazima apokee meseji inayo sema " mamb" walau mara 4 kwa Siku kutoka kwa watoto wa kike.
Mimi kwa Siku napokea zaidi ya mara 7 kutoka kwa wasichana 7 tofauti. Na wewe sema " NAPOKEA" !!!
Haya pokea.
# Nisipopokea msg kama hiyo naweza kuumwa walahi.
Kuna umri na kikomo cha kuandikiwa sms hizo.Sansana mimi huwa naandikiwa "pitia maziwa ya unga na mchele.Huku hatuna chochote".Na hawajui kama sina hela wala nini.Nawapelekea.Mwanaume alie kamilika lazima apokee meseji inayo sema " mamb" walau mara 4 kwa Siku kutoka kwa watoto wa kike.
Mimi kwa Siku napokea zaidi ya mara 7 kutoka kwa wasichana 7 tofauti. Na wewe sema " NAPOKEA" !!!
Haya pokea.
# Nisipopokea msg kama hiyo naweza kuumwa walahi.
You love to stress yourself right? Unadhani kuwa na mawazo mengi ndio utu uzima eti eeh? Haya umevumbua kitu gani mkuu?Si kila mwanaume ana akili kama zako. Mwanaume halisi ana priority, ana malengo, kutwa yupo field anapambana kwa ajili yake na kizazi chake
Huyo wmanaume anaeo ngoja message za mademu hana kazi ya kufanya
Kwa sababu unapenda kujistress your self ndio maana una andikiwa meseji za ajabu ajabu kama hizo..Kuna umri na kikomo cha kuandikiwa sms hizo.Sansana mimi huwa naandikiwa "pitia maziwa ya unga na mchele.Huku hatuna chochote".Na hawajui kama sina hela wala nini.Nawapelekea.
Yaani hata crdb washindwe kukusalimiaMwanaume alie kamilika lazima apokee meseji inayo sema " mamb" walau mara 4 kwa Siku kutoka kwa watoto wa
Mimi kwa Siku napokea zaidi ya mara 7 kutoka kwa wasichana 7 tofauti. Na wewe sema " NAPOKEA" !!!
Haya pokea.
# Nisipopokea msg kama hiyo naweza kuumwa walahi.
Hakika Mkuu; Na vile anaongelea watoto wakike; nadhani wanawake unaowasema wewe sio wa level yake.Hao watoto wakike wanaoandika "mamb" ni wa uswahilini wasio na elimu wala mishe yoyote. Mwanamke mwenye kipato na elimu yake anaandika sms inayoeleweka.
Kuna ukweli hapa.Hao watoto wakike wanaoandika "mamb" ni wa uswahilini wasio na elimu wala mishe yoyote. Mwanamke mwenye kipato na elimu yake anaandika sms inayoeleweka.
Si wengine msg za vizinga tu mwanzo mwishoMwanaume alie kamilika lazima apokee meseji inayo sema " mamb" walau mara 4 kwa Siku kutoka kwa watoto wa kike.
Mimi kwa Siku napokea zaidi ya mara 7 kutoka kwa wasichana 7 tofauti. Na wewe sema " NAPOKEA" !!!
Haya pokea.
# Nisipopokea msg kama hiyo naweza kuumwa walahi.