G - The Apostle
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 599
- 1,125
Waibie wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapeni SGR na ATCL. Usijeshangaa kwenye masharti ya mkataba kuna kipengele kitakachowataka Serikali kukabidhi mradi ukiwa na mabasi mapya kadhaa. Na bila aibu ikafanya hivyo.Kinachohitajika ni management na mtaji mkubwa
Waziri anasema walitaka kununua mabasi.mapya akaletewa gharama zake kwa basi moja kuwa ni milioni 500 wakaona hilo are mwenye mtaji mkubwa afanye
Hao wawekezaji wako tayari kuleta mabai 100.kwa mpigo.Pesa ipo
Lakini mapesa ya kulipa maposho na mamishahara makubwa wanasiasa yapo SI ndio!!?Shida sio nani wa kuongoza ni mtaji .Anatakiwa atakayeleta mtaji mkubwa mpya anunue mabasi mengi na kuweka mifumo ya kisasa ya uendeshaji
Majeshi yote hayana pesa xa kuwekeza pale
Serikali iwekeze mitaji mbona ndege tunanunua !!?Bus tunashindwa nini!!?Shida sio nani wa kuongoza ni mtaji .Anatakiwa atakayeleta mtaji mkubwa mpya anunue mabasi mengi na kuweka mifumo ya kisasa ya uendeshaji
Majeshi yote hayana pesa xa kuwekeza pale
Biashara ya mabasi ngumu weweangepewa hata kampuni kubwa ya mabasi nchini, mfano sumry
Serikali iwekeze pesa huko!wao wasimamie!mbona ma dreamliner tuna nunua !!?Tena tunapata hasara kila siku!!?Jkt wana hayo mapesa kaka ! ?
Kinachohitajika ni management na mtaji mkubwa
Waziri anasema walitaka kununua mabasi.mapya akaletewa gharama zake kwa basi moja kuwa ni milioni 500 wakaona hilo are mwenye mtaji mkubwa afanye
Hao wawekezaji wako tayari kuleta mabai 100.kwa mpigo.Pesa ipo
Hao wataalamu SI wanatafutwa tu!!?wao wabaki kama wasimamizi!!?kwani hakuna graduate was hizo kozi hapa bongo Hadi tuwape waarabu!!?Hii nchi kweli ina mambulula
Yaani JKT iliyojaa darasa la saba ndio iendeshe mradi unaohitaji Engineering, Finance, na Business Managegement skills ?
Zile kampuni za Construction's, Auction, za jkt zinaendeshwa na Darasa la saba?Hii nchi kweli ina mambulula
Yaani JKT iliyojaa darasa la saba ndio iendeshe mradi unaohitaji Engineering, Finance, na Business Managegement skills ?
Wakati samiah kanunua piki piki za kampeni Zina picha yake na madege ya ATCL tumeyanunua na yanatia hasara Kila siku!!Kwamba Sisi pesa ya mtaji hatuna??
Dola sasa hivi hamna .Serikali pesa za kuwekeza pesa nyingi za dola hamnaKwamba Sisi pesa ya mtaji hatuna??
Hebu tuimbe kidogo wazalendo,Wapewe kwani jkt Hawana magari!!?watashindwa kujiendesha!!?hai mnaowapa mnawajua Wapoje!!?
Au ni ufinyu was fikra!!?
Basi wakishindwa wawape magereza tuone uwezo wao pia!!
Hawana
Serikali haijaamua tu kuwekeza hukoDola sasa hivi hamna .Serikali pesa za kuwekeza pesa nyingi za dola hamna
Madola ya kuagizaaa hayo mabasi hayapi
Nenda hata kwenye mabenki sasa hivi unakuta dola hawana
Shida mtaji ndio unagomba DIT wana pesa za kigeni za kuingiza mtaji mpya?Hao wataalamu SI wanatafutwa tu!!?wao wabaki kama wasimamizi!!?kwani hakuna grashidacduate was hizo kozi hapa bongo Hadi tuwape waarabu!!?
Engineering pale DIT hawapo!!?
Asulubiwe pasaka hiiAlaumiwe Mabeyo
🤣🤣🤣 nimeshangaa namimiZile kampuni za Construction's, Auction, za jkt zinaendeshwa na Darasa la saba?
Sasa kama Hali ipo hivyo!kwanini wenye dhamana wasifanye coup d'etat!!?yaani mmeshindwa kuendesha nchi ccm iakrudi.chimwaga makam akawa ndie!!?na yeye amesomea maswala ya fedha!!?Dola sasa hivi hamna .Serikali pesa za kuwekeza pesa nyingi za dola hamna
Madola ya kuagizaaa hayo mabasi hayapi
Nenda hata kwenye mabenki sasa hivi unakuta dola hawana