Kama Mwendokasi imewashinda wapeni JKT waendeshe!

Kama Mwendokasi imewashinda wapeni JKT waendeshe!

tatizo ni mtaji au maarifa? kama tatizo ni maarifa basi mavyuo yote haya Tanzania tuyafunge maana hayatoi maarifa yanayotakikana kulingana na mahitaji ya dunia ya sasa.

Kama shida ni mtaji mbona watz tunaweza kujichanga tukanunua hisa za kampuni tukaservice manunuzi ya mabasi customized yenye sifa tunazozitaka na pia miundombinu mengine?

Bado sioni umuhimu wa ubia wala uwekezaji wa mgeni ilhali miundombinu ni ya serikali kutokana na mikopo tunayolipa kwa riba.
 
Bandari imeshindikana Hadi mmewapa DP world!

Sasa na mabasi Tena jamani? Haya mabasi ya mwendokasi tu haya yamewashinda serikal? Yaani nchi imeshindwa kusimamia mabasi tu yaani imeshindwa kutafuta hats makondata waaminifu Wadai nauli TU!!?

Sasa hii serikali.inaweza nini?

Wapeni jkt waonyeshe uwezo wao!

Wasimamie mwendokasi tuone wapo siriaz kiasi Gani kuliko kuwapa wageni kusimamia mabasi!!

Tuwe siriaz jamani this is too much aiseh!

Usiku mwema!!
Wana uzoefu wa ku run hizo operation?
 
Bandari imeshindikana Hadi mmewapa DP world!

Sasa na mabasi Tena jamani? Haya mabasi ya mwendokasi tu haya yamewashinda serikal? Yaani nchi imeshindwa kusimamia mabasi tu yaani imeshindwa kutafuta hats makondata waaminifu Wadai nauli TU!!?

Sasa hii serikali.inaweza nini?

Wapeni jkt waonyeshe uwezo wao!

Wasimamie mwendokasi tuone wapo siriaz kiasi Gani kuliko kuwapa wageni kusimamia mabasi!!

Tuwe siriaz jamani this is too much aiseh!

Usiku mwema!!
Hata mambo yanaendeshwa kwa akili sio nguvu.
 
Bandari imeshindikana Hadi mmewapa DP world!

Sasa na mabasi Tena jamani? Haya mabasi ya mwendokasi tu haya yamewashinda serikal? Yaani nchi imeshindwa kusimamia mabasi tu yaani imeshindwa kutafuta hats makondata waaminifu Wadai nauli TU!!?

Sasa hii serikali.inaweza nini?

Wapeni jkt waonyeshe uwezo wao!

Wasimamie mwendokasi tuone wapo siriaz kiasi Gani kuliko kuwapa wageni kusimamia mabasi!!

Tuwe siriaz jamani this is too much aiseh!

Usiku mwema!!
Itakuwa ni muendelezo wa upuuzi,SUMA JKT na mashamba Yao kibao yamewashinda ndio wataweza biashara ya Mabasi?
 
Elimu ndogo ni sumu wakat mwingne
Kwahio jkt Wana elim ndogo si ndio!!?

Mbona mnadharau taasisi!!?

Mi naamini jkt na magereza zinaweza kuwa taasisi za kujivunia kabisa kwenye hili taifa!!

Ile nguvukazi kubwa iliyopo kule Haina msimamizi TU na Imani Toka Kwa watawala!!!hata Bandari zetu hizi wangezisimamia bila magumashi !Cha ajabu tumeenda ingia mkataba na dp world ili tupate fedha za uchaguzi za kulisha chawa wa mama!!!

Aibu kubwa sana!!
 
Bandari imeshindikana Hadi mmewapa DP world!

Sasa na mabasi Tena jamani? Haya mabasi ya mwendokasi tu haya yamewashinda serikal? Yaani nchi imeshindwa kusimamia mabasi tu yaani imeshindwa kutafuta hats makondata waaminifu Wadai nauli TU!!?

Sasa hii serikali.inaweza nini?

Wapeni jkt waonyeshe uwezo wao!

Wasimamie mwendokasi tuone wapo siriaz kiasi Gani kuliko kuwapa wageni kusimamia mabasi!!

Tuwe siriaz jamani this is too much aiseh!

Usiku mwema!!
Serikali ya CCM inaendesha shughuli zake kwa mazoea tu, na tena kwa kuendekeza kugawana vyeo kwa vigezo vya ukada na ukaribu wa mtu na familia za watawala ama kikundi cha watu wachache wenye ushawishi. Wanapingana na ukweli kuhusu "merits" za mpewa dhamana ya uongozi kwa kuzingatia historia yake kupitia ujumla wa mambo muhimu kama vile uzoefu, utaalamu, ujuzi, stadi, elimu, uadilifu, na hata maadili mema.

Watu sahihi na wenye sifa za kuweza kuyaendesha mashirika haya kwa ufanisi wapo, lakini mchakato wa kuwapata na hatimaye kuweza kuwakabidhi majukumu ndipo lilipo tatizo kubwa. Ndiyo maana kila siku utasikia majina ni yale yale ya mtu kuamishwa kutoka nafasi moja kwenda nyingine, hata kama katika nafasi nyingine alizowahi kupewa hapo awali mtu huyo aliboronga.

Mamlaka za uteuzi zina tatizo kubwa sana katika kufanya "vetting" ili kupata watu sahihi. Jinamizi baya linalowaandama wenye mamlaka ni uwepo wa vigezo vibovu na dhaifu vyenye kuendekeza ukaribu wa mteuliwa na familia za watawala ama watu wenye ushawishi kwa watawala, ushirikina, udini, ukabila, ukanda, undugu, itikadi za chama, na jinsia.
 
Itakuwa ni muendelezo wa upuuzi,SUMA JKT na mashamba Yao kibao yamewashinda ndio wataweza biashara ya Mabasi?
Hatupo siriaz tu,kama serikali.imewatelekeza na haiwaungi mkono kivitendo au Haina maono kuhusu kilimo Cha kisasa unafikiri watafanyaje!!?

Kinachohitajika ni mtaji,viwanda vya ku feed raw.materials zao na soko la nje na ndani Ili kuleta mzunguko!!!

Tunalikosea Sana jeshi letu!!
 
Kwanza hao JKT
Watupe taarifa za kifedha za mashirika yao ya Ulinzi,Ujenzi na Supermakets.
-Licha ya kupewa upendeleo wa tenda, ila mbona hayakui...?
 
Hatupo siriaz tu,kama serikali.imewatelekeza na haiwaungi mkono kivitendo au Haina maono kuhusu kilimo Cha kisasa unafikiri watafanyaje!!?

Kinachohitajika ni mtaji,viwanda vya ku feed raw.materials zao na soko la nje na ndani Ili kuleta mzunguko!!!

Tunalikosea Sana jeshi letu!!
Wao ndio wanatakiwa Kuzalisha kibiashara wapeleke pesa Serikalini.Hao Suma JKT wakipewa Mkopo wa mabilioni ya Matrekta inayua matreka Yako wapi? Yameoza stoo walinunua ya hovyo.

Masisitiza Mtanzania Kwa Asili hawezi fanya biashara ya Umma ikastawi na sababu zipo nyingi ila mojawapo ni mentality za kijamaa zimezidi.

Mara kadhaa Serikali imesema iyaache Mashirika yawe huru kabisa kujiamulia mambo Yao,wanaojiita Watoto wa maskini wakaanza ooh Ajira zitakuwa za upendeleo and such upuuzi,Sasa unategemea Kuna biashara hapo?
 
Wao ndio wanatakiwa Kuzalisha kibiashara wapeleke pesa Serikalini.Hao Suma JKT wakipewa Mkopo wa mabilioni ya Matrekta inayua matreka Yako wapi? Yameoza stoo walinunua ya hovyo.

Masisitiza Mtanzania Kwa Asili hawezi fanya biashara ya Umma ikastawi na sababu zipo nyingi ila mojawapo ni mentality za kijamaa zimezidi.

Mara kadhaa Serikali imesema iyaache Mashirika yawe huru kabisa kujiamulia mambo Yao,wanaojiita Watoto wa maskini wakaanza ooh Ajira zitakuwa za upendeleo and such upuuzi,Sasa unategemea Kuna biashara hapo?
Tukiwa siriaz mbivu na mbichi zitajulikana tu!!

Mbona kwenye uchawa tupo siriaz!!?

Mi nishike hatamu halafu nitoe fedha za matrekta halafu washindwe kuendesha halafu niwachukulie poa kwannini!!?

Wanachlima hakuna viwanda vya ku feed raw materials!!?kwanini visiwepo!!?

Leo Kuna uhaba was sukari hao Suma jkt wameshindwa kulima miwa,alizeti tukazalisha mafuta na sukari ya kutosha Hadi tunaagiza Brazil sukari!!?

Kuwa siriaz mkuu!!
 
Back
Top Bottom