Kama Mwendokasi imewashinda wapeni JKT waendeshe!

Kama Mwendokasi imewashinda wapeni JKT waendeshe!

Baada ya kufanya h9yo shughuli husika muda mrefu .Mfano JKT wana uzoefu kwenye kilimo wana uzoefu zaidi ya miaka 60 hilo la juendesha mabasi wana uzoefu gani?
Huo uzoefu wao kilimo Kama jeshi la kujenga taifa umesaidia nini wakulimo na sekta ya kilimo Kama mpaka Leo zana za kilimo zinaagizwa nje
 
Jkt ndo wasomi zaidiii? au wanaakili sanaaa? au wamesomea magariiii? ama wanahistoria ya kufanikiwa kibiasharaaaa? ama...
Viongozi wetu wanaakili kama hizi zako na ndomana hatuendeleiii
 
Back
Top Bottom