Kama mzazi angekua anaitwa kila unapozingua kazini mzazi wako angekuwa ameshaitwa mara ngapi mpaka sasa?

Kama mzazi angekua anaitwa kila unapozingua kazini mzazi wako angekuwa ameshaitwa mara ngapi mpaka sasa?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Nimekumbuka kipindi tuko shule, ukifanya kosa au kuwa mtundu shuleni mzazi wako anakuwa hakauki shuleni.

Sasa usiombe ukadakwa kwenye skendo kubwa kama kudakwa na boifrendi/gelifrend hapo ndio unapelekwa asembo kabisaaa, unachapwa mbele za watu na suspenshen juu!😂😂

Ila waalimu walikuwa wanajua kuaibisha wanafunzi, imagine unatakiwa kuja kuendelea kusoma hapo hapo mtu anaweza kujiua hivi hivi.

Sasa fikiria mzazi angekuwa anaitwa kila ukizingua, mzazi wako angekua ameshitwa mara ngapi? Ungekuwa ushapewa suspension ngapi hadi sasa? Au ungekuwa ushaingizwa kwenye black book kabisa?:BearLaugh::BearLaugh:
 
Mpaka sasa. Asigeitwa
Hata mimi sijawahi fanya kosa la kupelekwa staff kupigwa au kutangazwa asembo, I was a good kid i think🤔🤔, labda angekuwa anaitwa kila ninapo fanya tukio la kujiabisha😆😆 hapo angekuja mara nyingi ila kwa primary secondary nikawa makini yakapungua matukio ya kujiabisha
 
Hata mimi sijawahi fanya kosa la kupelekwa staff kupigwa au kutangazwa asembo, I was a good kid i think🤔🤔, labda angekuwa anaitwa kila ninapo fanya tukio la kujiabisha😆😆 hapo angekuja mara nyingi ila kwa primary secondary nikawa makini yakapungua matukio ya kujiabisha
Honger sana kwako
 
Back
Top Bottom