Jobless unakuwa kwenye chama cha wasoma comments🌚🌚Kazini wapi tena mkuu wengine ni majobless kama raisi Intelligent businessman
Sawa sawaJobless unakuwa kwenye chama cha wasoma comments🌚🌚
Hata mimi sijawahi fanya kosa la kupelekwa staff kupigwa au kutangazwa asembo, I was a good kid i think🤔🤔, labda angekuwa anaitwa kila ninapo fanya tukio la kujiabisha😆😆 hapo angekuja mara nyingi ila kwa primary secondary nikawa makini yakapungua matukio ya kujiabishaMpaka sasa. Asigeitwa
Honger sana kwakoHata mimi sijawahi fanya kosa la kupelekwa staff kupigwa au kutangazwa asembo, I was a good kid i think🤔🤔, labda angekuwa anaitwa kila ninapo fanya tukio la kujiabisha😆😆 hapo angekuja mara nyingi ila kwa primary secondary nikawa makini yakapungua matukio ya kujiabisha