Top for B
JF-Expert Member
- Mar 4, 2023
- 803
- 2,796
Acha kabisaSijui jamaa anajiskiaje huko alipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisaSijui jamaa anajiskiaje huko alipo
Sana acha tuu....watoto tunataka ila ukiwaza malezi unaona bora usilete mtotoKweli kwq dunia ya sasa ya kidigital malezi yamekuwa magumu sana
Ova
Siumesikia hapo anasema anamsubiri 😃 mtoto wa kisukuma 🔥ila tumbo kama limemwagika ivi itakuwa ameshashusha injiniWasanii watamrarua sana
Na hawa binti zetu wakishasikia msanii,k anampa bureee
Ova
Yapo mengi sanaAhh hapana sijawahi pita kwenye page zake
Vp kna mpya boss
Ova
Kwamba kitumbo cha chini kimekubali 😂😂🙌 watu mnazoom.Siumesikia hapo anasema anamsubiri 😃 mtoto wa kisukuma 🔥ila tumbo kama limemwagika ivi itakuwa ameshashusha injini
Mpaka anakata mauno stejini wanazengo sidhani kama watakuwa wamemuacha salamaKwamba kitumbo cha chini kimekubali 😂😂🙌 watu mnazoom.
Kama BF anamsumbua
Aende kwa Van akamchakaze
Ila maisha yako race sana…
Hahahahahuyu demu mbona bwana wake yupo humu humu JF wakuu 🤣🤣
mkuu popote ulipo njoo huku lile toto lako lililo acha shule na wewe ukauza pikipiki yako kwa ajili yake nimeona anakusema mbovu kisa laki na 20 ya vanny boy
ukichelewa kuja nakutaja najua umefollow
hivi kama mzazi yaani baba,mama
Au kaka,ndugu kwa kuona tukio la huyu mtoto utajisiaje??
Any way naona kabinti ana kachura fulani .....
Ova
Mshana Jr
cocastic
King Kong III
Nakadori
anasbo View attachment 2564067
😂😂😂🙌 Raraaa!!!Mpaka anakata mauno stejini wanazengo sidhani kama watakuwa wamemuacha salama
Nimemchek mara 2 akili zimerudi nimeona ana shape ila kama halina ushirikiano hivi 😄
Kinanii kipo ila akisimama upande unaona kinanii kimeumuka nyuma na kitumbo kimechomoka kwa mbele 😄 tatizo hilo kwa sisi wazee wakukagua kagua na kupindua pindua 😁😂😂😂🙌 Raraaa!!!
Mtoto kitaqo kipo… kitumbo kinamvurugia
Ivo yaanNinae lakini tunasumbuana😂😂😂
Kipindi wakati nakua nakumbuka mabro ndo walikuwa kama walinzi. Wakikuona tu na kajamaa iwe chocho ama hadharani, utatimuliwa mpaka nyumbani na hapo jamaa anachimbwa mkwala mzito balaa. Ukirudia unapigwa (sister wangu alishapigwa)Hatuwezi kuongelea haya mambo tutaambiwa tuna misimamo mikali.
Ila ukweli ni kwamba mambo mengi ya kishetani Yana jaribu future ya watoto haswa wa kike maana ndo wahanga...Huyo dogo kuanza kuhudhuria matamasha kama hayo ni mapema mno na ni hatari maana starehe Haina mpinzani kabisa .
Ninapoishi yaani kwa mbele Kuna bar wanapiga mziki sana ila siku kama ijumaa na jumamosi -jumapili panakuwa kama na disco ila Kuna watoto wadogo wanakaa hapo ni kucheza uchi tu hamna cha maana .