Kama mzazi utajisikiaje?

Kama mzazi utajisikiaje?

Siumesikia hapo anasema anamsubiri 😃 mtoto wa kisukuma 🔥ila tumbo kama limemwagika ivi itakuwa ameshashusha injini
Kwamba kitumbo cha chini kimekubali 😂😂🙌 watu mnazoom.

Kama BF anamsumbua
Aende kwa Van akamchakaze
Ila maisha yako race sana…
 
Kwamba kitumbo cha chini kimekubali 😂😂🙌 watu mnazoom.

Kama BF anamsumbua
Aende kwa Van akamchakaze
Ila maisha yako race sana…
Mpaka anakata mauno stejini wanazengo sidhani kama watakuwa wamemuacha salama
Nimemchek mara 2 akili zimerudi nimeona ana shape ila kama halina ushirikiano hivi 😄
 
huyu demu mbona bwana wake yupo humu humu JF wakuu 🤣🤣

mkuu popote ulipo njoo huku lile toto lako lililo acha shule na wewe ukauza pikipiki yako kwa ajili yake nimeona anakusema mbovu kisa laki na 20 ya vanny boy

ukichelewa kuja nakutaja najua umefollow
 
huyu demu mbona bwana wake yupo humu humu JF wakuu 🤣🤣

mkuu popote ulipo njoo huku lile toto lako lililo acha shule na wewe ukauza pikipiki yako kwa ajili yake nimeona anakusema mbovu kisa laki na 20 ya vanny boy

ukichelewa kuja nakutaja najua umefollow
Hahahaha
Ila jf kazzz kweli kweli
Ajitokeze mwenyewe alichelewa wewe mtaje tu
 
Hatuwezi kuongelea haya mambo tutaambiwa tuna misimamo mikali.

Ila ukweli ni kwamba mambo mengi ya kishetani Yana jaribu future ya watoto haswa wa kike maana ndo wahanga...Huyo dogo kuanza kuhudhuria matamasha kama hayo ni mapema mno na ni hatari maana starehe Haina mpinzani kabisa .

Ninapoishi yaani kwa mbele Kuna bar wanapiga mziki sana ila siku kama ijumaa na jumamosi -jumapili panakuwa kama na disco ila Kuna watoto wadogo wanakaa hapo ni kucheza uchi tu hamna cha maana .
 
Hatuwezi kuongelea haya mambo tutaambiwa tuna misimamo mikali.

Ila ukweli ni kwamba mambo mengi ya kishetani Yana jaribu future ya watoto haswa wa kike maana ndo wahanga...Huyo dogo kuanza kuhudhuria matamasha kama hayo ni mapema mno na ni hatari maana starehe Haina mpinzani kabisa .

Ninapoishi yaani kwa mbele Kuna bar wanapiga mziki sana ila siku kama ijumaa na jumamosi -jumapili panakuwa kama na disco ila Kuna watoto wadogo wanakaa hapo ni kucheza uchi tu hamna cha maana .
Kipindi wakati nakua nakumbuka mabro ndo walikuwa kama walinzi. Wakikuona tu na kajamaa iwe chocho ama hadharani, utatimuliwa mpaka nyumbani na hapo jamaa anachimbwa mkwala mzito balaa. Ukirudia unapigwa (sister wangu alishapigwa)
Hivi makaka wa hivi waliendaga wapi? Siku hizi wengi wapo kidigitali sana!
 
Back
Top Bottom