Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naye ni JASUSI ila yeye kitengo chake kinaitwa--WT (WACHANGANYE TUPITE)Jana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.
Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.
Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.
Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.
Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
Sio kweli mkuu. Ume ongeza chumvi.TISS ni takataka inayokuwezesha wewe kupata usingizi na kuamka salama na kwenda kijiweni kupiga soga bila kuporwa wala tishio la usalama.
Ni taasisi yetu lazima tuienzi na kuisitiri sambamba na kuiboresha penye mapungufu
Kuna mstari kwenye speech yake unataja mwaka 2006 kulifanyika uonevu, je nani alikuwa kinara mwaka huo?Hata usoni anaonesha wazi kuwa anakerwa na utulivu na amani yetu.
TISS imejidhalilisha yenyewe Kwa kukubaliwa kutumiwa na CCM kama Green GuardJana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.
Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.
Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.
Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.
Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
Kama hii iliyopo ndiyo "bora" inavyoonyesha unaamini, basi hiyo nchi yako ni takataka tupu.TISS ni takataka inayokuwezesha wewe kupata usingizi na kuamka salama na kwenda kijiweni kupiga soga bila kuporwa wala tishio la usalama.
Ni taasisi yetu lazima tuienzi na kuisitiri sambamba na kuiboresha penye mapungufu
Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.
Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi.
Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi
Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.
Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
Kwani alichosema ni uongo? Magazeti ya Musiba hayakuchapishwa mitambo ya TISS?Jana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.
Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.
Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.
Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.
Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
TISS ni takataka inayokuwezesha wewe kupata usingizi na kuamka salama na kwenda kijiweni kupiga soga bila kuporwa wala tishio la usalama.
Ni taasisi yetu lazima tuienzi na kuisitiri sambamba na kuiboresha penye mapungufu
Nawr jamaa kimeo sana aise. Zitto siyo asset kwa nini wakati kuna wakati taasisi nyeti zinatumiwa vibaya na wanasiasa na kupelekea kuua baadhi ya watu?Jana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.
Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.
Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.
Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.
Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
Zitto alipata baraka zote toka kwa godfather wake wa mtaa wa 4.Jana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.
Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.
Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.
Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.
Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
Walisema wenye hekima. Utawala unaojifitini utaanguka hakika.Zitto alipata baraka zote toka kwa godfather wake wa mtaa wa 4.
Usichokijua ni kuwa dongo lilikuwa linalenga Idara iliyokuwa ndani ya Idara. Yaani wale jamaa waliopachikwa na Mkuu wa mtaa wa 5.
Upuuzi unakutoka kama sio ushuzi.Unatamani sana uwe Mtanzania ila huna bahati, sasa umebakiwa na chuki.Koo limekubana , na mishipa imekutoka. Utabakia na hilo nyongo lako mpaka utakoma, Tanzania utaiona hiyoooo inapaa. Nyodo tu. Huna lolote mbaguzi mkubwa.Tanzania ina wajinga wengi na wewe ni mmoja wapo.
Kwa hiyo mimi siyo Mtanzania?Upuuzi unakutoka kama sio ushuzi.Unatamani sana uwe Mtanzania ila huna bahati, sasa umebakiwa na chuki.Koo limekubana , na mishipa imekutoka. Utabakia na hilo nyongo lako mpaka utakoma, Tanzania utaiona hiyoooo inapaa. Nyodo tu. Huna lolote mbaguzi mkubwa.
Narudia, Hakuna Mtanzania yeyote yule mwenye zake timamu anayetumia siasa za Kibaguzi na Kufedhehesha wenzake, na Kuwanyanyasa, au kudharau kabila la mwenzake.....hatuna hilo. Kukujibu, ndio.Kwa hiyo mimi siyo Mtanzania?
Vipi ameshakata tamaa au Bado anakata tamaa?Zito anajua anachofanya na anajua mzinga wa nyuki aliochokoza!
Ni dalili ya kukata tamaa kaonyesha wazi kabisa!!