Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Wizara ya maliasili...madini ni Biteko.Huo ndio mshahara wa kujimwambafai. Kingwa amepewa wizara nyeti sana,ilipaswa ajifunze kwa waliopita,hiyo wizara na ya madini haijawahi kumuacha mtu salama. Ilipaswa awe mtu makini sana,hata kama unakula,jifute mdomo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo wizara ya kigwa na madini,huwezi kuacha kukomba mboga,ina vishawishi huwezi kuruka. Shida ya hawa vijana sasa,unapiga mpunga ndio hatukatai. Basi tulia,piga kimya kimya kwa heshima,huku ukijifanya kama boya. Sasa wenyewe wanapiga,na kuji-show sana kwamba wanazo kuliko vijana wengine wa Tz. Zinawalevya mpaka wanajisahau wanajiona kama wameaminiwa kwenye hizo wizara,basi wana akili saaana kuliko wengine. Wanaanza kutaka zaidi,wanaanza kujiona kumbe wanaweza kuwa marais. Wanapiga hesabu mkuu katuamini,hela tunazo,nifanyie nini hizi hela? nianze kutengenezea mtandao wa kuingia ikulu sasa. Uliza mwiguru,alichora mawe nchi nzima,alinunua mpaka timu. (Hapo mheshimiwa mkuu namsapot 100%,ameninyooshea hawa. Mpaka timu wanazikimbia sasa)Kwani yeye alikomba mboga!
Huwa wanamyumbisha ila kumuangusha haijawahi tokea.Aiseee kuna haja ya kumpa umuhimu na kumwangalia kwa jicho la kipekee huyu Bashite.
Naona hajawahi kushindwa vita vya watesi wake wa kisiasa.
Aliedit picha ya Rais akaweka kichwa chake,Bashite akamwambia Iddi ariport police. Hamis akapost akisema atakwenda kumwekea dhamana Iddi.Huyu Idris ana issue gani?!
Biteko ana akili hata kwenye social media hayupo. Hamis mara apost ndama wake kazaa yaani showoff kibao.Wizara ya maliasili...madini ni Biteko.
Sawa mkuu. Najua,ndio maana nimeandika hiyo wizara halafu nikaweka “na ya” kwa maana nimetaja wizara mbili hapo. Nikimaanisha Ya kigwa na ya madini. Soma vizuri tulia,usiiruke hiyo ”na ya“Wizara ya maliasili...madini ni Biteko.
Kigwangala ni mwizi mwenye kiburi. Mjinga sana
Kuna makala moja aliandika Kwenye gazeti la Mwananchi wakati akichambua nani ni nani katika mbio za Urais ...hapo nilianza kumjua Kigwangala kuwa ni intellectual sana .nikaunganisha na matukio yake ya kukashifu tume ya warioba ya katiba mpya ...nilimshusha mazima...ebu angalia waziri kama huyuBiteko ana akili hata kwenye social media hayupo. Hamis mara apost ndama wake kazaa yaani showoff kibao.
Hajielewi,au labda kutaka sifa kumemzidi.Kuna makala moja aliandika Kwenye gazeti la Mwananchi wakati akichambua nani ni nani katika mbio za Urais ...hapo nilianza kumjua Kigwangala kuwa ni intellectual sana .nikaunganisha na matukio yake ya kukashifu tume ya warioba ya katiba mpya ...nilimshusha mazima...ebu angalia waziri kama huyu View attachment 1330754
[emoji115] Sky Sky Sky....!! Unaukumbuka mkwala alioupiga? Haya. [emoji134] [emoji134] [emoji134]Mmh huo u MD wenyewe aliuvulia shati
Biteko ana akili hata kwenye social media hayupo. Hamis mara apost ndama wake kazaa yaani showoff kibao.
Waziri wa Utalii kutwa yupo na kina Ebitoke utafikiri waziri sanaa na utamaduni. Yote hiyo alitaka showoff akisingizia anatangaza utalii wa ndani.Ni limbukeni mwenye madaraka.
Nimekuelewa.Ana mabasi kigwangala express, ana ng’ombe kama 700, ana chuo cha afya nzega, hatokufa njaa huyo atulie tu lakini kurudi bungeni sijui maana nchi hii ukipishana na bashite lazima ile kwako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tayari alishamaliza PhD boss...
kipindi LISU analalamika kutishiwa walikaa kimyaaa!!!, sasa jin limewageukia asitupigie kelele.Huyu Bashite kweli ana nguvu kubwa, awali nilijua nguvu yake ni kubwa kuliko Majaliwa serikalini kumbe hata kwenye chama Bashiru naye anamgwaya?
Hicho anacho kitumia Bashite Ku win hakika ni cha kipekee
Asante kwa taarifa. Ila ubomgo wake haujatanuliwa na PhD yake (if any).Tayari alishamaliza PhD boss...