Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Asante kwa taarifa. Ila ubomgo wake haujatanuliwa na PhD yake (if any).
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwani internship alifanyaga?Kigwa arudie kazi yake ya kusikiliza vifua na mapafu kwa stethoscope
Hajawahi hata kukaa intern zaidi ya gamba la mdAliwahi kuifanya lini hiyo kazi?!
Alijifanyaga kidume kuingilia ile ishu ya idris kumtafutia loya [emoji3]kumbe dab anamvutia kasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hamis amekalia kuti kavu. Bashite kama anaweza angusha miamba kama Nape. Huyu Kingwa anakalia kusema tu anamfahamu mbaya wake. Si aseme tu Bashite. Ila kashikwa pabaya.
Alijifanya kutumia pesa kuwalipa kina Ebitoke eti wanatangaza utalii. Hivi ni Mtanzania yupi asiyejua kuna mlima Kilimanjaro?
Celebrity minister[emoji3]Kigwangala anakurupuka sana kama mwanamke mjamzito. Juzi kaanza kuongelea maswala ya Dewji na simba, kama hana akili vile. Sasa waziri unaanza kuongelea mambo ya watu binafsi ambayo hayahusu wizara yako kwanini? Mara ajibizane na kina babu tale, debe tupu huyo jamaa. Mi nilimuona hamna kitu awamu ile ya Spika Makinda, akaanza kumnanga mama watu mitandaoni kama punguani. Akikosa ubunge yule ndo kwisha habari yake, mikopo itamuua. Kijana mdogo ameng'ang'ania mambo ya kizee. Ukiwa na mdomo sio lazima uongee. Hamna anaemtuhumu Kigwangala mdomoni, yanini yeye aanze kujibizana na watu na kutafuta ugomvi usio na maana?
Hahahaaaa........ Ufipa bure kabisa!We jinga kabisa rushwa na ruzuku kipi ni halali
johnthebaptist
Mabasi ya Kigwangalla Express yapo wapi?Ana mabasi kigwangala express, ana ng’ombe kama 700, ana chuo cha afya nzega, hatokufa njaa huyo atulie tu lakini kurudi bungeni sijui maana nchi hii ukipishana na bashite lazima ile kwako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Eti?
Unamaanisha kilaza anaweza kusoma MD?
Mwamba ana MD na PhD? Kama hivyo anatisha kinoma. Kichwa cha ukweli.Tayari alishamaliza PhD boss...
Acha kukariri bwashee!Unamaanisha kilaza anaweza kusoma MD?
Ninavyokumbuka shule nilikotoka O level watu wote walioenda PCB walikuwa vipanga. Na A level nilisoma shule yenye Arts (HGL na HGE) na Sayansi (PCM na PCB). Wale PCB walioenda Muhimbili kusoma MD wote walikuwa vipanga balaa.
Siamini kuna kilaza anaweza soma MD.
Kigwa kama ni MD basi kwa uhakika kabisa ni miongoni mwa vipanga.
Watu wanajaribu Kumshusha ila ukweli utabaki kuwa hakuna mtu aliyesoma Muhimbili asiwe na akili kichwani...Unamaanisha kilaza anaweza kusoma MD?
Ninavyokumbuka shule nilikotoka O level watu wote walioenda PCB walikuwa vipanga. Na A level nilisoma shule yenye Arts (HGL na HGE) na Sayansi (PCM na PCB). Wale PCB walioenda Muhimbili kusoma MD wote walikuwa vipanga balaa.
Siamini kuna kilaza anaweza soma MD.
Kigwa kama ni MD basi kwa uhakika kabisa ni miongoni mwa vipanga.
Hebu tukaririshe kivingine mzee tofauti na tunavyoelewa wengineAcha kukariri bwashee!
Hao walijifanya wanahaki sana ndani ya SISIEM wakakiuka miiko ya uongozi bora sasa watavuna walichopanda acha dawa iwaingie vizuriii....bashe ndio kiongozi bora maana hajikombi kwa jiwe na kapata cheo kwa haki kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulishindwa kupata division 1 ya PCB?Watu wanajaribu Kumshusha ila ukweli utabaki kuwa hakuna mtu aliyesoma Muhimbili asiwe na akili kichwani...
Tena kipindi hicho huwezi ingia Muhimbili bila kuwa na Div 1or 2 ya Mwanzoni tena iwe Pcb ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vilaza wengi tu nawajua waliosoma hapo Muhimbili!
Waacha wasukuma wasukumane wenyewe kwa wenyeweHamis amekalia kuti kavu. Bashite kama anaweza angusha miamba kama Nape. Huyu Kingwa anakalia kusema tu anamfahamu mbaya wake. Si aseme tu Bashite. Ila kashikwa pabaya.
Alijifanya kutumia pesa kuwalipa kina Ebitoke eti wanatangaza utalii. Hivi ni Mtanzania yupi asiyejua kuna mlima Kilimanjaro?
Ya madini kaishikilia ndugu kwa hiyo hawezi kuondolewa pale mpaka 2025Huo ndio mshahara wa kujimwambafai. Kingwa amepewa wizara nyeti sana,ilipaswa ajifunze kwa waliopita,hiyo wizara na ya madini haijawahi kumuacha mtu salama. Ilipaswa awe mtu makini sana,hata kama unakula,jifute mdomo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigwangala ni msukuma?!