Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Hamis amekalia kuti kavu. Bashite kama anaweza angusha miamba kama Nape. Huyu Kingwa anakalia kusema tu anamfahamu mbaya wake. Si aseme tu Bashite. Ila kashikwa pabaya.
Alijifanya kutumia pesa kuwalipa kina Ebitoke eti wanatangaza utalii. Hivi ni Mtanzania yupi asiyejua kuna mlima Kilimanjaro?
Alijifanyaga kidume kuingilia ile ishu ya idris kumtafutia loya [emoji3]kumbe dab anamvutia kasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kigwangala anakurupuka sana kama mwanamke mjamzito. Juzi kaanza kuongelea maswala ya Dewji na simba, kama hana akili vile. Sasa waziri unaanza kuongelea mambo ya watu binafsi ambayo hayahusu wizara yako kwanini? Mara ajibizane na kina babu tale, debe tupu huyo jamaa. Mi nilimuona hamna kitu awamu ile ya Spika Makinda, akaanza kumnanga mama watu mitandaoni kama punguani. Akikosa ubunge yule ndo kwisha habari yake, mikopo itamuua. Kijana mdogo ameng'ang'ania mambo ya kizee. Ukiwa na mdomo sio lazima uongee. Hamna anaemtuhumu Kigwangala mdomoni, yanini yeye aanze kujibizana na watu na kutafuta ugomvi usio na maana?
Celebrity minister[emoji3]

Nae ni social media socialite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana mabasi kigwangala express, ana ng’ombe kama 700, ana chuo cha afya nzega, hatokufa njaa huyo atulie tu lakini kurudi bungeni sijui maana nchi hii ukipishana na bashite lazima ile kwako


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mabasi ya Kigwangalla Express yapo wapi?
 
wewe hakuna kipanga hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha kilaza anaweza kusoma MD?
Ninavyokumbuka shule nilikotoka O level watu wote walioenda PCB walikuwa vipanga. Na A level nilisoma shule yenye Arts (HGL na HGE) na Sayansi (PCM na PCB). Wale PCB walioenda Muhimbili kusoma MD wote walikuwa vipanga balaa.
Siamini kuna kilaza anaweza soma MD.
Kigwa kama ni MD basi kwa uhakika kabisa ni miongoni mwa vipanga.
 
Unamaanisha kilaza anaweza kusoma MD?
Ninavyokumbuka shule nilikotoka O level watu wote walioenda PCB walikuwa vipanga. Na A level nilisoma shule yenye Arts (HGL na HGE) na Sayansi (PCM na PCB). Wale PCB walioenda Muhimbili kusoma MD wote walikuwa vipanga balaa.
Siamini kuna kilaza anaweza soma MD.
Kigwa kama ni MD basi kwa uhakika kabisa ni miongoni mwa vipanga.
Acha kukariri bwashee!
 
Unamaanisha kilaza anaweza kusoma MD?
Ninavyokumbuka shule nilikotoka O level watu wote walioenda PCB walikuwa vipanga. Na A level nilisoma shule yenye Arts (HGL na HGE) na Sayansi (PCM na PCB). Wale PCB walioenda Muhimbili kusoma MD wote walikuwa vipanga balaa.
Siamini kuna kilaza anaweza soma MD.
Kigwa kama ni MD basi kwa uhakika kabisa ni miongoni mwa vipanga.
Watu wanajaribu Kumshusha ila ukweli utabaki kuwa hakuna mtu aliyesoma Muhimbili asiwe na akili kichwani...

Tena kipindi hicho huwezi ingia Muhimbili bila kuwa na Div 1or 2 ya Mwanzoni tena iwe Pcb ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheo gani kapata kwa haki Bashe? Godfather wake Rostam ndio kampa hilo shavu
Hao walijifanya wanahaki sana ndani ya SISIEM wakakiuka miiko ya uongozi bora sasa watavuna walichopanda acha dawa iwaingie vizuriii....bashe ndio kiongozi bora maana hajikombi kwa jiwe na kapata cheo kwa haki kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamis amekalia kuti kavu. Bashite kama anaweza angusha miamba kama Nape. Huyu Kingwa anakalia kusema tu anamfahamu mbaya wake. Si aseme tu Bashite. Ila kashikwa pabaya.
Alijifanya kutumia pesa kuwalipa kina Ebitoke eti wanatangaza utalii. Hivi ni Mtanzania yupi asiyejua kuna mlima Kilimanjaro?
Waacha wasukuma wasukumane wenyewe kwa wenyewe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom