Pre GE2025 Kama Nape na Makamba wamewekwa kando, si Mwigulu, Biteko, Tulia, Mwinyi, Makonda wala Majaliwa watamrithi kiti Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unasema nini mkuu? Unafahamu jinsi Samia alivyowajaza ndugu zake ikulu na serikalini na pia jinsi alivyowajaza wazanzibar na wapemba ktk sehemu nyeti hapa Tanganyika? Wewe hili hulioni?
 
Tulia hatoshi kuwa Rais. Sisi tuliopitia jkt tunajua nini faida yake kiusalama na uzalendo. Lakini yeye juzi kaongoza Bunge kusema hicho kigezo kwa vijana wa Kitanzania hakina maana.
 
Deep state ndiyo huamua nani awe rais,rostam na marehem mamvi wanaijua shughuli ya deep state,pesa zako hazitokusaidia wakati ukifika
 
Pambaneni na Ufisadi nda ya ccm na serikali yake.

Swala la Makamba kupaya au kukosa Uwaziri haina Tija kwa Watanzania zaidi ya Chuki binafsi tu na kuendelea kujazana ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…