Kama nchi tunajipangaje na huu uwezekano mkubwa wa WW3 ambao utakuwa na athari kubwa duniani?

kuna watu wanajifanya wababe sana wengine wanajifanya wateule wa Mungu kumbe mashoga tu...wacha kipigwe ili tuheshimiane siku za mbeleni huko
 
Mathayo24:3-14
Omba kwa ajili yako na kwa ajili ya Kanisa la Mungu ulimwenguni.
 
Wazungu wakuda sana,Vita zinazowahusu wao hua lazima wazibatize jina la 'Vita ya dunia'.

Wapigane tu.
Wako sahihi.uko kwao ndo dunia ilipo.uku kwetu ni uvunguni mwa dunia.Kama afrika ata nuclea moja hakuna watasemaje sasa.Vita vyetu bado nivyafimbo.Wao wakiparurana impact inafika hadi uku uvunguni.
 
Hi vita ndio itakuwa mbaya kwetu sidhani kama tuna akiba ya mafuta ya kutosha
 
Kama una pesa nsssf,psssf bank kachukue Mapema utakuja kunishukuru serikali hua Inazuia pesa zote ikitokea ww3 .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…