Kama ndoa na kuoa ni jambo zuri mbona mnapanic tuacheni na kauli mbiu yetu ya kukataa ndoa na kuoa

Kama ndoa na kuoa ni jambo zuri mbona mnapanic tuacheni na kauli mbiu yetu ya kukataa ndoa na kuoa

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello mambo!!

Wahenga walisema kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza. Kwa muktadha huo tuishi uhuru wa kifikra, kimaamuzi, iwe haki na huru.

Kama ndoa ni nzuri mbona mnatumia nguvu kubwata na hizo tantalila tantalila zenu.

Dunia ndio hii hii ukioa au ukiolewa pambana na hali yako.

Kataa ndoa haina uhusiano na ushoga au ufilauni ni haki ya kimsingi, tuna mambo mengi ya kufanya kuliko kuwaza ujinga na umaskini wa kuoa na kuyatafuta maradhi ya sonona na ubazazi.

Kataa ndoa ni Kwa afya ya taifa kwa sasa na baadae.

Mnajikutaa 🤣🤣🤣 na vindoa vyenu uchwara Acheni kulia hii ni mwanzo mwisho.

Ligi haina kupoa

Wadiz
 
Hello mambo!!

Wahenga walisema kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza. Kwa muktadha huo tuishi uhuru wa kifikra, kimaamuzi, iwe haki na huru.

Kama ndoa ni nzuri mbona mnatumia nguvu kubwata na hizo tantalila tantalila zenu.

Dunia ndio hii hii ukioa au ukiolewa pambana na hali yako.

Kataa ndoa haina uhusiano na ushoga au ufilauni ni haki ya kimsingi, tuna mambo mengi ya kufanya kuliko kuwaza ujinga na umaskini wa kuoa na kuyatafuta maradhi ya sonona na ubazazi.

Kataa ndoa ni Kwa afya ya taifa kwa sasa na baadae.

Mnajikutaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na vindoa vyenu uchwara Acheni kulia hii ni mwanzo mwisho.

Ligi haina kupoa

Wadiz
Kampaini yenu ingekua zuri kama mgetoa mbadala wa kukataa ndoa.......sawa imekataa ndoa so whats next?
 
Kampaini yenu ingekua zuri kama mgetoa mbadala wa kukataa ndoa.......sawa imekataa ndoa so whats next?
Tubaki na mahusiano na kuishi bila kitu kuoa au ndoa, security ndio inaleta ufala, ukiboa unatolewa ghetto hio haina kulea ujinga, demu anakuja maghetoni anapika, na kuishi na siku kadhaa ila na yeye awe na kwake, nampangishia huko ila hakai mazima na mimi, biashara na mtaji vyote Nampa na namlea vema tu but I need my total freedom.

Tafuteni pesa hamuwezi kuelewa hii kitu akili yake ni ya mbele sana.

Ukifunikwa na ubazazi na ufala wa kuoa au kuolewa huwezi hii ishu buda.

Kataa ndoa kwa maisha bora na uchumi bora wa Taifa
 
Tubaki na mahusiano na kuishi bila kitu kuoa au ndoa, security ndio inaleta ufala, ukiboa unatolewa ghetto hio haina kulea ujinga, demu anakuja maghetoni anapika, na kuishi na siku kadhaa ila na yeye awe na kwake, nampangishia huko ila hakai mazima na mimi, biashara na mtaji vyote Nampa na namlea vema tu but I need my total freedom.

Tafuteni pesa hamuwezi kuelewa hii kitu akili yake ni ya mbele sana.

Ukifunikwa na ubazazi na ufala wa kuoa au kuolewa huwezi hii ishu buda.

Kataa ndoa kwa maisha bora na uchumi bora wa Taifa

Mkuu kwenye kampeni ya KATAA NDOA NIKO PAMOJA NA WEWE. Lakini hapo kwenye solution NAKUPINGA. Hiyo solution yako haina tofauti na alieoa, tena wewe ndo utakuwa umepuyanga vibaya mno.
 
Unapotea kijana ,
Na tamaduni zetu za Africa , ukimwona mtu anapotea lazima umwambie

Kama umeikataa ndoa , kataa pia na sex
 
Mkuu kwenye kampeni ya KATAA NDOA NIKO PAMOJA NA WEWE. Lakini hapo kwenye solution NAKUPINGA. Hiyo solution yako haina tofauti na alieoa, tena wewe ndo utakuwa umepuyanga vibaya mno.
Nawaingiza ghetto wajae siwezi kujibu eti kwanini nisioe na nisipoa inakuwaje hio haiwahusu
 
Hello mambo!!

Wahenga walisema kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza. Kwa muktadha huo tuishi uhuru wa kifikra, kimaamuzi, iwe haki na huru.

Kama ndoa ni nzuri mbona mnatumia nguvu kubwata na hizo tantalila tantalila zenu.

Dunia ndio hii hii ukioa au ukiolewa pambana na hali yako.

Kataa ndoa haina uhusiano na ushoga au ufilauni ni haki ya kimsingi, tuna mambo mengi ya kufanya kuliko kuwaza ujinga na umaskini wa kuoa na kuyatafuta maradhi ya sonona na ubazazi.

Kataa ndoa ni Kwa afya ya taifa kwa sasa na baadae.

Mnajikutaa 🤣🤣🤣 na vindoa vyenu uchwara Acheni kulia hii ni mwanzo mwisho.

Ligi haina kupoa

Wadiz
Ndoa iheshimiwe na watu wote. Ndoa ni baraka
 
Ninapokataa ndoa na kuoa siwajibiki kwa yeyote kutoa mbadala ijulikane sioi na hakuna ndoa. Uhuru ni kuamua na kuamua ni uhuru.
 
Ndoa ni muungano wa HIYARI Kati ya mtu mume na mtu mke kwa makubalino ya kuishi pamoja kwa maisha yao yote.

Ndoa sio lazima,hatupaswi kushawishi watu waingie katika ndoa au wasiingie katika ndoa.

Kila mtu aamue kwa mapenzi yake.Tukumbuke ndoa ni mkataba so moja ya sifa ya mkataba ni "willingness" ya wanaoingia mkataba,isionekane mmoja alilazimishwa.

Nyie mnaobwabwaja kataa ndoa mna uhalali gani wa kuwashawishi wanzenu?

Mmekaa huko na silly agendas zenu mnalipwa na wahuni wenzenu kuja kupotosha jamii.Hebu acheni wehu kila mtu aingie au akatae ndoa kwa hiyari yake sio kwa kushawishiwa na yoyote.
 
Ndoa ni muungano wa HIYARI Kati ya mtu mume na mtu mke kwa makubalino ya kuishi pamoja kwa maisha yao yote.

Ndoa sio lazima,hatupaswi kushawishi watu waingie katika ndoa au wasiingie katika ndoa.

Kila mtu aamue kwa mapenzi yake.Tukumbuke ndoa ni mkataba so moja ya sifa ya mkataba ni "willingness" ya wanaoingia mkataba,isionekane mmoja alilazimishwa.

Nyie mnaobwabwaja kataa ndoa mna uhalali gani wa kuwashawishi wanzenu?

Mmekaa huko na silly agendas zenu mnalipwa na wahuni wenzenu kuja kupotosha jamii.Hebu acheni wehu kila mtu aingie au akatae ndoa kwa hiyari yake sio kwa kushawishiwa na yoyote.
maneno mengi nawaambia tuachane njiapanda
 
Back
Top Bottom