Kama ndoa na kuoa ni jambo zuri mbona mnapanic tuacheni na kauli mbiu yetu ya kukataa ndoa na kuoa

Kama ndoa na kuoa ni jambo zuri mbona mnapanic tuacheni na kauli mbiu yetu ya kukataa ndoa na kuoa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nafikiria watatu sasa.ngoja nioe Tena Kumbe Kuna wengine mumesusa
Yakhee oa sheikh raha ya maisha ni kusaidiana na huo ni ubinadam we ukiwa busy na mke mdogo kijana mkataa ndoa anakugongea mke mkubwa ukirudi kwa mkubwa boda boda anakugongea mdogo

Cha mtu uliwa na mtu sheikh chuma tu ndio uliwa na kutu
 
Yakhee oa sheikh raha ya maisha ni kusaidiana na huo ni ubinadam we ukiwa busy na mke mdogo kijana mkataa ndoa anakugongea mke mkubwa ukirudi kwa mkubwa boda boda anakugongea mdogo

Cha mtu uliwa na mtu sheikh chuma tu ndio uliwa na kutu
sawaa mulevii.wewe unaeogopa kugongewa chonga gogo.mana hata usipo oa lazima utatomb.. tuu.
 
Halafu hawa mabazazi mbaya tukienda nao battle bado hawafui dafu,,wanaishia kutukana tu hawa makima.
 
Tubaki na mahusiano na kuishi bila kitu kuoa au ndoa, security ndio inaleta ufala, ukiboa unatolewa ghetto hio haina kulea ujinga, demu anakuja maghetoni anapika, na kuishi na siku kadhaa ila na yeye awe na kwake, nampangishia huko ila hakai mazima na mimi, biashara na mtaji vyote Nampa na namlea vema tu but I need my total freedom.

Tafuteni pesa hamuwezi kuelewa hii kitu akili yake ni ya mbele sana.

Ukifunikwa na ubazazi na ufala wa kuoa au kuolewa huwezi hii ishu buda.

Kataa ndoa kwa maisha bora na uchumi bora wa Taifa
Uzi uishie hapa.
 
Nikiwaz hapa Kuna mke wa mtu kaniganda hadi anataka kujinyonga ksa nmemlia bati sitaki mazoea...naona mtoa mada yuko sahihi sanaa ....nawaza tu ningemgonga Ingekuwaje.....yaan msg zake na calls zishakuwa KERO....nmetia bloc ila anatumia nqmba za watu kunipigia hadi nmeogopa kupokea namba ngen...hapa nawaza kwenda kumkanya mme wake kuwa adeal na mke wake vzur aache kunisumbua
 
Back
Top Bottom