MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Yakhee oa sheikh raha ya maisha ni kusaidiana na huo ni ubinadam we ukiwa busy na mke mdogo kijana mkataa ndoa anakugongea mke mkubwa ukirudi kwa mkubwa boda boda anakugongea mdogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nafikiria watatu sasa.ngoja nioe Tena Kumbe Kuna wengine mumesusa
Cha mtu uliwa na mtu sheikh chuma tu ndio uliwa na kutu