MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Yakhee oa sheikh raha ya maisha ni kusaidiana na huo ni ubinadam we ukiwa busy na mke mdogo kijana mkataa ndoa anakugongea mke mkubwa ukirudi kwa mkubwa boda boda anakugongea mdogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nafikiria watatu sasa.ngoja nioe Tena Kumbe Kuna wengine mumesusa
Kutombewa wake zenuKampaini yenu ingekua zuri kama mgetoa mbadala wa kukataa ndoa.......sawa imekataa ndoa so whats next?
Mtafelwa tu, na hizo pombe zenu.Kutombewa wake zenu
Ndoa inaheshimiwa sana lakini most walio kwenye ndoa hawajiheshimu na wala hawaiheshimu ndoa yenyewe,, huoni kama kuna tatizo hapo.Ndoa iheshimiwe na watu wote. Ndoa ni baraka
sawaa mulevii.wewe unaeogopa kugongewa chonga gogo.mana hata usipo oa lazima utatomb.. tuu.Yakhee oa sheikh raha ya maisha ni kusaidiana na huo ni ubinadam we ukiwa busy na mke mdogo kijana mkataa ndoa anakugongea mke mkubwa ukirudi kwa mkubwa boda boda anakugongea mdogo
Cha mtu uliwa na mtu sheikh chuma tu ndio uliwa na kutu
Mkija kufirwa bila kilainishi, utasema umeonewa ?Mbadala nikula wake zenu tu kuzagamua
Mkuu hata kama Ni wewe unapewa bure utakataa?Mkija kufirwa bila kilainishi, utasema umeonewa ?
Sheria za ndoa zirekebishwe. 50/50 iondolewe. Au?Kampaini yenu ingekua zuri kama mgetoa mbadala wa kukataa ndoa.......sawa imekataa ndoa so whats next?
Uzi uishie hapa.Tubaki na mahusiano na kuishi bila kitu kuoa au ndoa, security ndio inaleta ufala, ukiboa unatolewa ghetto hio haina kulea ujinga, demu anakuja maghetoni anapika, na kuishi na siku kadhaa ila na yeye awe na kwake, nampangishia huko ila hakai mazima na mimi, biashara na mtaji vyote Nampa na namlea vema tu but I need my total freedom.
Tafuteni pesa hamuwezi kuelewa hii kitu akili yake ni ya mbele sana.
Ukifunikwa na ubazazi na ufala wa kuoa au kuolewa huwezi hii ishu buda.
Kataa ndoa kwa maisha bora na uchumi bora wa Taifa
Ongeza sautiiiiHakuna sehem hatarishi kwa Ukimwi kama kwenye ndoa hizi za kisasa ambazo neno MCHEPUKO haliepukiki