Kama ndoa zenyewe ndiyo hii wakuu aisee naungana na watu wa kataa ndoa,ndoa ni utumwa

Kama ndoa zenyewe ndiyo hii wakuu aisee naungana na watu wa kataa ndoa,ndoa ni utumwa

Naona umeshajiingiza mateka, bado hujasema

IMG_20231025_091517.jpg
 
Nilihisi ukiwa kwenye ndoa unapata game muda wowote ule aisee lakini wapi sex yenyewe mpaka mlazimishane tu ujinga mtupu, kupika mpaka tulazimishane kudadeki ujinga mtupu
VIJANA WASIOOA KUNA POINT YA MSINGI HAPA


Huwa tunafikiria tukioa tutapata sex Sana ila sio kweli


Ukweli ni kwamba; ukioa utatumia pesa sana Kuliko mategemeo yako Ila utapata sex kwa kiwango Cha chini kuliko mategemeo yako.
 
Ila siku nyingine naonaga unakuwa mwanamke,Leo tena mwanaume hii kitaalamu tunaiitaje?
 
Marriage is invesly proportional to the peace of mind

SISI TUNAO KATAA NDOA TUTAENDELEA KUFURAHIA JINSI MWANDANI WAKO ANAVYO KUSAGIA KUNGUNI MPAKA USEME YOTE.

Ishi na mwanamke kwa akili katika uchumba sugu kama huwezi kuishi mwenyewe. Ndoa ni anasa, ndoa ni jela kwa mwanaume na hautotoka hata ukwishe kulipia sent ya mwisho

KATAA NDOA , TUNZA KIBUNDA, TUNZA AMANI YA MOYO, KULA NYAPU FOR FREE
 
Back
Top Bottom