Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,259
- 2,483
[emoji23][emoji23][emoji23] hatutaruhusu hili litokeeUtoke uende wapi?
Huendi popote nakwambia...
Ukiweza kumuacha huyo mkeo natembea uchi from mwenge to kibaha.
" Kataa ndoa,ndoa ni utumwa na ndoa ni ujinga" hodi wazee wa kataa ndoa"
Kabisa..tuteseke wote kwanini aondoke kwenye chama kizembe hivyo?[emoji23][emoji23][emoji23] hatutaruhusu hili litokee
VIJANA WASIOOA KUNA POINT YA MSINGI HAPANilihisi ukiwa kwenye ndoa unapata game muda wowote ule aisee lakini wapi sex yenyewe mpaka mlazimishane tu ujinga mtupu, kupika mpaka tulazimishane kudadeki ujinga mtupu