Kama ndoa zenyewe ndiyo hii wakuu aisee naungana na watu wa kataa ndoa,ndoa ni utumwa

VIJANA WASIOOA KUNA POINT YA MSINGI HAPA


Huwa tunafikiria tukioa tutapata sex Sana ila sio kweli


Ukweli ni kwamba; ukioa utatumia pesa sana Kuliko mategemeo yako Ila utapata sex kwa kiwango Cha chini kuliko mategemeo yako.
 
Ila siku nyingine naonaga unakuwa mwanamke,Leo tena mwanaume hii kitaalamu tunaiitaje?
 
Marriage is invesly proportional to the peace of mind

SISI TUNAO KATAA NDOA TUTAENDELEA KUFURAHIA JINSI MWANDANI WAKO ANAVYO KUSAGIA KUNGUNI MPAKA USEME YOTE.

Ishi na mwanamke kwa akili katika uchumba sugu kama huwezi kuishi mwenyewe. Ndoa ni anasa, ndoa ni jela kwa mwanaume na hautotoka hata ukwishe kulipia sent ya mwisho

KATAA NDOA , TUNZA KIBUNDA, TUNZA AMANI YA MOYO, KULA NYAPU FOR FREE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…