Kama Ngono sio kipimo cha upendo katika mahusiano, kwanini kuchapiwa kunauma kuzidi kuachana?

Kama Ngono sio kipimo cha upendo katika mahusiano, kwanini kuchapiwa kunauma kuzidi kuachana?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ifahamike kwamba mapenzi ni muunganiko wa watu wawili katika kupendana kwa dhati na sio muungano wa sehemu za siri, hili si la kupuuza maana ndio uhalisia huo.

Kuunganisha sehemu za siri kunawezekana kirahisi sana lakini watu kuunganika kwa kupendana kwa dhati hio ni case nyingine kabisa.

Sasa inapokuja swala la kuchapiwa hali inageuka ghafla na kufanya kipimo cha mapenzi kuwa ngono, mbaya zaidi maumivu yake yanakuwa makali sana kuliko yale ya kuachwa na mpenzi wako.

Dadavua?

1643953817916.png

 
Ifahamike kwamba mapenzi ni muunganiko wa watu wawili katika kupendana kwa dhati na sio muungano wa sehemu za siri, hili si la kupuuza maana ndio uhalisia huo... kuunganisha sehemu za siri kunawezekana kirahisi sana lakini watu kuunganika kwa kupendana kwa dhati hio ni case nyingine
Duh...ngoja waje
 
Kuna watu wanaitwa swingers yaani mke na mume wanakufuata wanakuomba uje na mpenzi wako kisha mnapiga game ya kama orgy ya watu wanne ila mnakua mnabadilishana. Kama umeanza na Amina baadaye unaendelea na Isha.

Halafu kuna cuckoo (Sina uhakika) yaani Mume anakuomba ummege mkewe huku yeye anaangalia. Kwa watu wa hivyo unadhani akichapiwa inamuuma? Hapana. Badala yake hua anaomba ahadithiwe ilivyokua.

Kisha kuna kitu nataka ujue, binadamu ni mnyama na wanyama ni territorial, simba atakuanzishia ugomvi ukiingia kwenye mipaka yake sawa sawa na mjusi au ndege ila sisi kwakua tumekua wastaarabu sisi instincts za 'Hii ni mali yangu' tumepeleka mpaka kwa wenza wetu.

Hivyo kiukweli unapochapiwa unachoona wewe ni mtu kaingilia himaya yako, unahisi dharau, aibu na kuonekana bwege.

La mwisho, ngono siyo kipimo cha upendo ila ni kiimarisha upendo. Angalau wapenzi msex kwa wiki mara mbili kama mnataka kudumisha uhusiano.
 
Kuuumia katika kuchapiwa ni tatizo la saikolojia ambalo wanaume wengi wanalo wakiamini linahusisha kiwango cha uanaume wao.

Kama ngono ingekuwa inaumiza madadapoa yangeongoza kwa kujitundika kwa maumivu.

Mm nikigundua mke wangu ananisaliti nitaumia kwa sababu uwekezaji wangu wote utakuwa kwenye hatari si kwa sababu ya kiungo chake ambacho kimeshanipitishia watoto na kinapatikana kila sehemu.

Ni tatizo la saikolojia kama unavyotembea na malaya mke wa mtu akakuambia kuwa wewe una uwezo kuliko mumewe halafu ukavimba kichwa na kujiona mwanaume haswa.
 
Sijui ni kitu gani kilitokea mpaka ngono ikawa ni kitu muhimu sana kwenye maisha yetu binadamu.

Nikitu kinachotutesa sana,sana! Ukiangalia viumbe wengine wanavyoishi kwa raha katika mazingira yao hawana kipaombele cha ngono, wao kwao ngono ni sehemu ya uzazi, lakini kwetu tumefanya ni sehemu ya starehe muhimu sana, na tumefix na mioyo yetu, yaani ni kitu kinachogusa mwili mpaka roho na nafsi.

Hii imepelekea maumivu makubwa kwetu,imetudumaza kifikra, imetufanya kubwa watumwa,imetufarakanisha,imetusababishia wengine kupoteza maisha na wengine ulemavu na wengine kuwa jela,imetusababishia umaskini na mengine mengi makubwa kuliko faida.

Faida moja kubwa ya ngono ni uzazi tu lakini mengi yatokanayo nayo ni yenye hasara, ikizingatiwa fanya ufanyavyo ngono ni kitu kisichozidi saa moja, sasa starehe ya chini ya saa moja ndio itaigharimu hivyo?
 
fanya ufanyavyo ngono ni kitu kisichozidi saa moja, sasa starehe ya chini ya saa moja ndio itaigharimu hivyo?

Hebu mkuu tengua hii kauli yako,
Usigeneneralize watu wote hapa,
Ebu jisemee wewe mwenyewe kwa nafsi yako na kutokana uwezo wako unakoishia[emoji4][emoji115]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama ni uwezo wangu lakini hakuna asiyejua muda wa kufanya ngono kama starehe ni mfupi haswa, hata wewe mwenyewe unajua ila basi tu!
Ha ha ha ..
MDA wa starehe Ni mfupi au mrefu kutokana na uwezo wako unakoishia, ufanyaji wako na Aina ya uyo mwenza wako.

Kwaiyo ili uwe fair, Usiweke vipimo exactly kwa watu waote.mfano: Eti lisaa

Huenda
Wee Pendael24 kwako ilo lisaa ndo unakua umetosheka fully[emoji4]

Wengine MAPAROKO ilo lisaa Ni ndoto kabisa, wanaona kama ni mazingaombwe. Ni dkk 2 mpk dkk 5. Hizo dkk 10 nyingi Sana hoi bin taaban[emoji4]

Wengine MAFISI ilo lisaa ndo Kwanza gari imewaka iko silencer hata oil haijachanganya vizur. [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ..
MDA wa starehe Ni mfupi au mrefu kutokana na uwezo wako unakoishia, ufanyaji wako na Aina ya uyo mwenza wako.

Kwaiyo ili uwe fair, Usiweke vipimo exactly kwa watu waote.mfano: Eti lisaa

Huenda
Wee Pendael24 kwako ilo lisaa ndo unakua umetosheka fully[emoji4]

Wengine MAPAROKO ilo lisaa Ni ndoto kabisa, wanaona kama ni mazingaombwe. Ni dkk 2 mpk dkk 5. Hizo dkk 10 nyingi Sana hoi bin taaban[emoji4]

Wengine MAFISI ilo lisaa ndo Kwanza gari imewaka iko silencer hata oil haijachanganya vizur. [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watakao weza kwenda zaidi ya saa pande zote mbili ni unusual na watu kama hao hawakosekani ulimwenguni katika mambo yote.

Lakini wengi wetu ni chini ya saa moja haijalishi sekunde moja au dakika moja lakini chini ya saa, ila wengi wetu!
 
Kuna watu wanaitwa swingers yaani mke na mume wanakufuata wanakuomba uje na mpenzi wako kisha mnapiga game ya kama orgy ya watu wanne ila mnakua mnabadilishana. Kama umeanza na Amina baadaye unaendelea na Isha.

Halafu kuna cuckoo (Sina uhakika) yaani Mume anakuomba ummege mkewe huku yeye anaangalia. Kwa watu wa hivyo unadhani akichapiwa inamuuma? Hapana. Badala yake hua anaomba ahadithiwe ilivyokua.

Kisha kuna kitu nataka ujue, binadamu ni mnyama na wanyama ni territorial, simba atakuanzishia ugomvi ukiingia kwenye mipaka yake sawa sawa na mjusi au ndege ila sisi kwakua tumekua wastaarabu sisi instincts za 'Hii ni mali yangu' tumepeleka mpaka kwa wenza wetu.

Hivyo kiukweli unapochapiwa unachoona wewe ni mtu kaingilia himaya yako, unahisi dharau, aibu na kuonekana bwege.

La mwisho, ngono siyo kipimo cha upendo ila ni kiimarisha upendo. Angalau wapenzi msex kwa wiki mara mbili kama mnataka kudumisha uhusiano.
Kha! Hii ya kuangalia demu wako anafanya mapenzi ni hatari, siii unaweza mtwanga ngumi jamaa🤣🤣🤣🤣
 
Kuuumia katika kuchapiwa ni tatizo la saikolojia ambalo wanaume wengi wanalo wakiamini linahusisha kiwango cha uanaume wao.

Kama ngono ingekuwa inaumiza madadapoa yangeongoza kwa kujitundika kwa maumivu.

Mm nikigundua mke wangu ananisaliti nitaumia kwa sababu uwekezaji wangu wote utakuwa kwenye hatari si kwa sababu ya kiungo chake ambacho kimeshanipitishia watoto na kinapatikana kila sehemu.

Ni tatizo la saikolojia kama unavyotembea na malaya mke wa mtu akakuambia kuwa wewe una uwezo kuliko mumewe halafu ukavimba kichwa na kujiona mwanaume haswa.
Tatizo uwekezaji....wee umesema ukweli kabisa.
 
Sijui ni kitu gani kilitokea mpaka ngono ikawa ni kitu muhimu sana kwenye maisha yetu binadamu.

Nikitu kinachotutesa sana,sana! Ukiangalia viumbe wengine wanavyoishi kwa raha katika mazingira yao hawana kipaombele cha ngono, wao kwao
Sex ni njia ya kuzaliana fullstop. Hayo mambo yakusema eti ni starehe ni mind ya mtu tu afu ukizunguka upande wa pili wa shillingi ngono ina mengi sana ya ovyo
 
Hao watakao weza kwenda zaidi ya saa pande zote mbili ni unusual na watu kama hao hawakosekani ulimwenguni katika mambo yote.
Lakini wengi wetu ni chini ya saa moja haijalishi sekunde moja au dakika moja lakini chini ya saa, ila wengi wetu!
Ondoa ilo neno "wengi wetu",
Kwanza huo utafiti umeufanyia wapi mzee[emoji848]

Usikute wee na watu wako wa karibu ndo mna mko hivyo, Sasa mnataka kuhalalisha icho kilema chenu kionekane kama ndo fasheni ya binadamu asilimia kubwa hapa duniani[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuuumia katika kuchapiwa ni tatizo la saikolojia ambalo wanaume wengi wanalo wakiamini linahusisha kiwango cha uanaume wao.

Kama ngono ingekuwa inaumiza madadapoa yangeongoza kwa kujitundika kwa maumivu.

Mm nikigundua mke wangu ananisaliti nitaumia kwa sababu uwekezaji wangu wote utakuwa kwenye hatari si kwa sababu ya kiungo chake ambacho kimeshanipitishia watoto na kinapatikana kila sehemu.

Ni tatizo la saikolojia kama unavyotembea na malaya mke wa mtu akakuambia kuwa wewe una uwezo kuliko mumewe halafu ukavimba kichwa na kujiona mwanaume haswa.
Basi nipe Namba ya mkeo.
 
Ha ha ha ..
MDA wa starehe Ni mfupi au mrefu kutokana na uwezo wako unakoishia, ufanyaji wako na Aina ya uyo mwenza wako.

Kwaiyo ili uwe fair, Usiweke vipimo exactly kwa watu waote.mfano: Eti lisaa

Huenda
Wee Pendael24 kwako ilo lisaa ndo unakua umetosheka fully[emoji4]

Wengine MAPAROKO ilo lisaa Ni ndoto kabisa, wanaona kama ni mazingaombwe. Ni dkk 2 mpk dkk 5. Hizo dkk 10 nyingi Sana hoi bin taaban[emoji4]

Wengine MAFISI ilo lisaa ndo Kwanza gari imewaka iko silencer hata oil haijachanganya vizur. [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Master mapenzi Katika ubora wakoooo[emoji12][emoji12]! Ukimuona cocastic msalimie Sana mwambie nimemmisi kinomanoma!
 
Back
Top Bottom