Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lakini mimi naitetea hoja yangu ya mwanzo ngono sio kipaombele cha kuumbwa kwetu, ni basi.Najua Ni Jambo la faragha, ndo maana nmesistiza ujizungumzie wewe Kama wewe.
Sio uwazungumzie wengine maana huijui faragha yao.[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
CV yangu ina sifa moja tu kwamba nilihudhuria training ya mwaka 2001 katika usafishaji ambayo iliendeshwa na MVIA HQ Kigogo Mburahati hamna kingine boss wangu.Wasilisha CV yako kamati kuu tukujadili haraka iwezekanavyo [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu!Zimekua nyingi kwa sababu mentality yetu kufanya sex kuwa jambo la maana sana!
Biblia inasema 'Uliniumba nikuabudu' hivyo deep down tupo hapa ili kuabudu so hata mitandaoni tulitakiwa tusiwemo but here we are.Sawa lakini mimi naitetea hoja yangu ya mwanzo ngono sio kipaombele cha kuumbwa kwetu, ni basi.
Viumbe gani hao unawaongelea chief??? Mnyama yoyote nyapu is to die for, shukuru wewe mwanadamu zipo hadi za kununua.Sijui ni kitu gani kilitokea mpaka ngono ikawa ni kitu muhimu sana kwenye maisha yetu binadamu.
Nikitu kinachotutesa sana,sana! Ukiangalia viumbe wengine wanavyoishi kwa raha katika mazingira yao hawana kipaombele cha ngono, wao kwao ngono ni sehemu ya uzazi, lakini kwetu tumefanya ni sehemu ya starehe muhimu sana, na tumefix na mioyo yetu, yaani ni kitu kinachogusa mwili mpaka roho na nafsi.
Hii imepelekea maumivu makubwa kwetu,imetudumaza kifikra, imetufanya kubwa watumwa,imetufarakanisha,imetusababishia wengine kupoteza maisha na wengine ulemavu na wengine kuwa jela,imetusababishia umaskini na mengine mengi makubwa kuliko faida.
Faida moja kubwa ya ngono ni uzazi tu lakini mengi yatokanayo nayo ni yenye hasara, ikizingatiwa fanya ufanyavyo ngono ni kitu kisichozidi saa moja, sasa starehe ya chini ya saa moja ndio itaigharimu hivyo?
Hao watakao weza kwenda zaidi ya saa pande zote mbili ni unusual na watu kama hao hawakosekani ulimwenguni katika mambo yote.
Lakini wengi wetu ni chini ya saa moja haijalishi sekunde moja au dakika moja lakini chini ya saa, ila wengi wetu!
[emoji23][emoji23][emoji23], Kwamba ananizidi umri?.Sasa yule hata nikikupa ukimuona hivi na umri wake na heshima yake kwenye jamii utafanya nn?.
Halafu kwann nimkosee heshima kumtafutia mtoto wa kumpanda? Tafutaneni tu wenyewe.
Wanasema age is number, ni nyie tu mkutane muelewane hata kama alishiriki kuusherekea uhuru.[emoji23][emoji23][emoji23], Kwamba ananizidi umri?.
NakaziaKuuma au kutokuuma Inategemea na lengo lililokupeleka kwenye ayo mahusiano[emoji4]