Kama Ngono sio kipimo cha upendo katika mahusiano, kwanini kuchapiwa kunauma kuzidi kuachana?

Kama Ngono sio kipimo cha upendo katika mahusiano, kwanini kuchapiwa kunauma kuzidi kuachana?

Fikiria kidume mwenzio anakuchapia unafikiria huyu demu kanizarau kiasi gani ni kwamba sina mashine
🫁🫁 au pumzi kisoda, hupati jibu yaani.
 
Fikiria kidume mwenzio anakuchapia unafikiria huyu demu kanizarau kiasi gani ni kwamba sina mashine au ni kibamia
🫁🫁 au pumzi kisoda .hupati jibu yaan
Mbona umesahau kuweka sababu ya kwamba mwanamke nae anapenda kuonja ladha tofauti kama sie wanaume tunavyopenda wanawake mbali mbali
 
Ifahamike kwamba mapenzi ni muunganiko wa watu wawili katika kupendana kwa dhati na sio muungano wa sehemu za siri, hili si la kupuuza maana ndio uhalisia huo... kuunganisha sehemu za siri kunawezekana kirahisi sana lakini watu kuunganika kwa kupendana kwa dhati hio ni case nyingine kabisa.

Sasa inapokuja swala la kuchapiwa hali inageuka ghafla na kufanya kipimo cha mapenzi kuwa ngono, mbaya zaidi maumivu yake yanakuwa makali sana kuliko yale ya kuachwa na mpenzi wako.

Dadavua?

wababe walifuta thread yangu wala haikuwa na mawaa yoyote utopolo mwingi sana hii forum iko kama cartel ya wachache fulani hivi
 
Mbona umesahau kuweka sababu ya kwamba mwanamke nae anapenda kuonja mboo tofauti kama sie wanaume tunavyopenda mbususu mbali mbali.

3048559_20211218_143636.jpg
 
Kila siku nasema, yule cocastic Ni mtoto wa parokiani, AtaNISUMBUA mno[emoji4].
Wee unabisha TU.

Ungemuona pale alivovaa, ungefurahi na roho yako. Kajitinda ushungi mwili mzima afu hataki kabisa makuu na mtu[emoji4]

Wee mahondaw
Mi napendaga nikute Njia ishasafishwa tayar, yaan nkifika ni full kuteleza tu. HAMNA MDA WA KUPOTEZA.

Sasa hii tabu ya kuanza kupeana injili za "Yesu hapendi" usumbufu huo nani anataka[emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Si unaisafisha mwenyewe banaa safisha kisha teleza kama kawaidaa.. Tena ukiisafisha wewe ndio hawezi kukusahau kabisa huyo akikuona tu analoa mwenyewe wewe unateleza kilainiii😜😜
 
Si unaisafisha mwenyewe banaa safisha kisha teleza kama kawaidaa.. Tena ukiisafisha wewe ndio hawezi kukusahau kabisa huyo akikuona tu analoa mwenyewe wewe unateleza kilainiii[emoji12][emoji12]
Niitie msafishaji mzoefu nimpe iyo kazi, NTAMLIPA[emoji4]

Mi mda huo wa kukimbizana Ovyo kitandani na virgin mbona Sina, naihitaji nienjoy haraka iwezekanavyo maana maisha yenyewe skuhz mafupi mno rafki yangu mahondaw [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niitie msafishaji mzoefu nimpe iyo kazi, NTAMLIPA[emoji4]

Mi mda huo wa kukimbizana Ovyo kitandani na virgin mbona Sina, naihitaji nienjoy haraka iwezekanavyo maana maisha yenyewe skuhz mafupi mno rafki yangu mahondaw [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki match zako ni more than next level... Yanii zinahitaji wale wanawake makonki masta kweli kweli!!! Shikamoo 🙌🙌🙌🙌
 
Niitie msafishaji mzoefu nimpe iyo kazi, NTAMLIPA[emoji4]

Mi mda huo wa kukimbizana Ovyo kitandani na virgin mbona Sina, naihitaji nienjoy haraka iwezekanavyo maana maisha yenyewe skuhz mafupi mno rafki yangu mahondaw [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kitengo cha Mandatory Virgin Inspection Agency waweza niconsult ili kukusaidia kusafisha njia.

Gharama ni elfu 20 tu na utalipa 60% au yote kabla kazi haijaanza. Hii elfu 20 ni kwa ajili ya service charge na chakula cha siku ya usafishaji.

Ikiwa una maelekezo maalumu ya unachotaka kisafishwe utaongeza elfu 2.
 
Nipo kitengo cha Mandatory Virgin Inspection Agency waweza niconsult ili kukusaidia kusafisha njia.

Gharama ni elfu 20 tu na utalipa 60% au yote kabla kazi haijaanza. Hii elfu 20 ni kwa ajili ya service charge na chakula cha siku ya usafishaji.

Ikiwa una maelekezo maalumu ya unachotaka kisafishwe utaongeza elfu 2.
Hahahahahah!
 
Rafiki match zako ni more than next level... Yanii zinahitaji wale makonki masta kweli kweli!!! Shikamoo [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kingine virgins wengi (almost wote) wanakuaga wanabanana banana sana uko chini, Iyo inaniturn off, Hivyo kwenye marathon ntajikuta TUnaSUMBUANA sana

Aisee
Mi Sipendi kabisa kubanana uko ndani,
napenda niwe free niteleze vizur ili niweze kutembeza mkong'oto ipasavyo[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo kitengo cha Mandatory Virgin Inspection Agency waweza niconsult ili kukusaidia kusafisha njia.

Gharama ni elfu 20 tu na utalipa 60% au yote kabla kazi haijaanza. Hii elfu 20 ni kwa ajili ya service charge na chakula cha siku ya usafishaji.

Ikiwa una maelekezo maalumu ya unachotaka kisafishwe utaongeza elfu 2.
Wasilisha CV yako kamati kuu tukujadili haraka iwezekanavyo [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ondoa ilo neno "wengi wetu",
Kwanza huo utafiti umeufanyia wapi mzee[emoji848]

Usikute wee na watu wako wa karibu ndo mna mko hivyo, Sasa mnataka kuhalalisha icho kilema chenu kionekane kama ndo fasheni ya binadamu asilimia kubwa hapa duniani[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe mkuu unapata wapi nguvu ya kutetea hoja yako maana ni jambo la faragha?
 
Kuuumia katika kuchapiwa ni tatizo la saikolojia ambalo wanaume wengi wanalo wakiamini linahusisha kiwango cha uanaume wao.

Kama ngono ingekuwa inaumiza madadapoa yangeongoza kwa kujitundika kwa maumivu.

Mm nikigundua mke wangu ananisaliti nitaumia kwa sababu uwekezaji wangu wote utakuwa kwenye hatari si kwa sababu ya kiungo chake ambacho kimeshanipitishia watoto na kinapatikana kila sehemu.

Ni tatizo la saikolojia kama unavyotembea na malaya mke wa mtu akakuambia kuwa wewe una uwezo kuliko mumewe halafu ukavimba kichwa na kujiona mwanaume haswa.


Kwani haiwezi kutokea mchepuko Mwanaume kuwa na uwezo kuliko mume wa ndoa ?
 
Back
Top Bottom