Mabeyo ataangalia Tanganyika inakwapuliwaWazanzibari mliwadharau na Kuwanyanyasa sana tu sasa kwa Tanzania Bara na Visiwani huu ni wakati wao Kutamba, Kubebana na Kuinuana Kimaisha. Watu wa Bara sasa tutulie tu na tutawakoma!
Nyie mataga mbona hamlalamiki wakurugenzi 160 nchi nzima kununua magari ya 300 mpaka 450 .milioni !!?? Mwacheni mama kazi iendeleeKulingana na hali halisi ya nchi yetu ya umasikini ningeshauri kuliko kumpa Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi Benzi ya milioni 300 ambayo nasikia hata hivyo ameikataa bora tungempa zawadi ya gari aina ya IST au Fun cargo ambazo ni za chini zaidi kwa urefu na bei ni nafuu. Ni ushauri wangu tu.
View attachment 1778776View attachment 1778777
Rais wa Uruguay mstaafu Jose Mujica enzi ya urais wake (2010 - 2015) alikuwa anatembelea Voxwagen.
View attachment 1778844
Aliopostaafu alipewa zawadi ya tractor.
View attachment 1778855
Kulingana na hali halisi ya nchi yetu ya umasikini ningeshauri kuliko kumpa Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi Benzi ya milioni 300 ambayo nasikia hata hivyo ameikataa bora tungempa zawadi ya gari aina ya IST au Fun cargo ambazo ni za chini zaidi kwa urefu na bei ni nafuu. Ni ushauri wangu tu.
View attachment 1778776View attachment 1778777
Rais wa Uruguay mstaafu Jose Mujica enzi ya urais wake (2010 - 2015) alikuwa anatembelea Voxwagen.
View attachment 1778844
Aliopostaafu alipewa zawadi ya tract
Sasa tutahudumia nyumba ngapi za serikali? Ikulu ipo kila mkoa ndio nyumba ya Ria's akiwa madarakani na ikulu kuu ipo Tena sasa tunazo ikulu kuu mbili...nyumba zinapaswa kuwa mali ya SERIKALI.
..magari pia yanapaswa kuwa mali ya SERIKALI.
..sheria ilikosea kutamka kuwa wastaafu watajengewa nyumba ziwe mali zao BINAFSI.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige
sina cha kuongeza, umemaliza kila kitu. yule mzee issue ya january alionesha mapungufu makubwaKiukweli wengi wetu leo, hatukuwa tunajitambua wakati wa utawala wa Mwinyi.
Mzee Mwinyi anaonekana ni mtu asiyejali kuhusu wananchi wengine, as long as yeye kapata.
Huyu Mzee haheshimu wala haoni umuhimu wowote kuhusu sheria wala katiba ilimradi ziko upande wake.
Kina Warioba ingawa hawajazeeka sana lakini at least wanaweza kusimamia wanachosema.
1- Wakati wa utawala wa Magu alishawishi zaidi ya mara mbili kuhusu katiba ivunjwe ili Magu aendelee na madaraka.
Binafsi nilidhani ni kwasababu ya uzee, ila baada kuandika kwenye kitabu chake kujutia kuliachis uhuru bunge kuhusu kundi la G55 nimegundua ni hulka yake
2- Mzee Mwinyi rafiki yake ni yule mwenye nacho, mwenye uwezo wa kumpa anachotaka.
Hapa naweza kusema hana tofauti na Sheikh wa Mkoa wa Dar. Mwinyi alimkana kabisa January Makamba baada ya January na familia yake kukosana na Jiwe.
Kwa mantiki hii, sioni ni kwa namna gani tungesalimika kama Mwinyi angekuwa na maamuzi enzi hizo. Maana anaonekana siyo mzee mwenye kuridhika kabisa.
Tusaidie mkuu, mm sikuwepo kiukweli. Lkn naambiwa mzee Mwinyi ndiye rais pekee ambaye hakuwa mwenyekiti wa chama. (Sikubishii mkuu kama naeleza nilichosimuliwa).Bwashee umezaliwa mwaka gani?
Nyerere alimnyima Mwinyi uenyekiti?!!!
Mmoja tu mwenye hasira ya kukosa mbunye anaitupa mbalihahha kanuni ni gari iliozidi tani tatu jamani. hizo ist furncargo si ni kg 2000 tu. wanaume 8 wananyanyua
Nyerere alikaa madarakani 26 yrs nadhani unakosea kumlinganisha na president wa Uruguay.Hakuwa na tamaa hata Nyerere walitaka kumjengea nyumba kubwa ya ghorofa Butiama akawaambi yeye sio tembo.
JK,..nyumba zinapaswa kuwa mali ya SERIKALI.
..magari pia yanapaswa kuwa mali ya SERIKALI.
..sheria ilikosea kutamka kuwa wastaafu watajengewa nyumba ziwe mali zao BINAFSI.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige