JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,114
- 3,541
- Thread starter
-
- #41
Kama aliondoka bila kuagwa na viongozi wa chama chake na amerudi bila kupokelewa na kiongozi hata mmoja wa chama chake basi amepuuzwa ! Ndio nimeamini Duniani tenda wema uende zako! Kawatengenezea njia wamemwacha anajiuguza peke yake.Alivyoondoka kwenda kwenye matibabu ukimuona? Au ulipewa taarifa tu?
Wakati anaondoka, alikuwepo nani airport kumuaga? Hao waandishi uchwara wenyewe taarifa za Komredi kwenda kutibiwa waliambiwa na Rais Magufuli na kurudi kwake wameambiwa na Mwenezi Polepole. Shida nini?Habari wanajamvi!
Sijaamini maneno ya msemaji wa chama cha Mapinduzi labda nitaaminishwa baadae. Kwa maneno yake Katibu mweneze anasema ni kweli mwanasiasa nguli na Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi comrade Alhajji Abdulrahman Kinana alikuwa anaumwa, na alipelekwa nje ya Nchi kwaajili ya matibabu,lakini kwa sasa amerudi yupo Nchini anapumzika nyumbani kwake! Hajafafanua kama ni Dar es salaam au Arusha. Nikajiuliza maswali yafuatayo;
. Hivi inawezekana kweli Katibu Mkuu wa chama arudi kutoka kwenye matibabu halafu asipokelewe na
Mtu yeyote pale Airport? Hata ndugu zake hawakwenda kumlaki? Yaani asionekane na mwandishi wa
habari hata mmoja?
. Tuseme yupo nyumbani kweli anaendelea kupumzika baada ya matibabu na huenda ana ED za miezi
miwili au mitatu, lakini hakuna hata mtu mmoja alie kwenda kumpa pole? Yaani hata katibu mwenezi
Naibu katibu mkuu hawajaenda kumpa pole!
. Yaani hata viongozi wote wanao julikana kwa uungwana wao wa asili kama Mbowe, Maalimu Seif, n.k
Hawajaenda kumjulia hali? Nini kimetokea?
Ndio maana nikaishia kusema kama ni kweli kuwa Comrade Alhajji Abdulrahmani Kinana amerudi yuko nyumbani na hakuna mtu hasa wanao penda kuonekana kwenye vyombo vya habari, basi ni dhahiri ndugu yetu amedharauliwa na kupuuzwa.
Binafsi naomba wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari kampeni pole kwa niaba yangu.
Ndio tatizo lipo hapo! Kama ungekuwa umesoma saikolojia ungejua kuwa Polepole amedanganya. Akiwa ana sema kitu cha kweli kutoka moyoni mwake lile siyo pozi lake kabisa.Wakati anaondoka, alikuwepo nani airport kumuaga? Hao waandishi uchwara wenyewe taarifa za Komredi kwenda kutibiwa waliambiwa na Rais Magufuli na kurudi kwake wameambiwa na Mwenezi Polepole. Shida nini?
Kweli huko ulikokuwa kumebana!Alikuaga wakati anaondoka?
Alikuwa anakutaarifu yanayojiri huko alipokuwepo?
Katibu mkuu wa CHADEMA huwa anakuaga wakati akisafiri na huwa anakutaarifu anaporejea?
Kama Kinana alikuwa huko alikokuwa kama mtu binafsi na si kama katibu mkuu wa chama wewe inakuhusu nini kujua kama karejea au la?
Yaani mnatafuta kila aina ya vijisababu tu ili mumseme rais Magufuli.....
Btw, mpiga picha Woody hajatoa tu tweet ingine?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo ndio ukweli!Hujasoma kwenye page ya Mange? Inasemakana alikua under home arrest chini ya TISS... May b kuna kaukweli hapo tusubiri wajuvi wa mambo waje
Labda kama huko nako ni kubana matumizi!"..Tunabana matumizi"
Kweli huko ulikokuwa kumebana!
Tangu lini wewe ukawa pro CCM?
Kweli Magufuli kasomesha watu namba!
Alikuaga wakati anaondoka?
Alikuwa anakutaarifu yanayojiri huko alipokuwepo?
Katibu mkuu wa CHADEMA huwa anakuaga wakati akisafiri na huwa anakutaarifu anaporejea?
Kama Kinana alikuwa huko alikokuwa kama mtu binafsi na si kama katibu mkuu wa chama wewe inakuhusu nini kujua kama karejea au la?
Yaani mnatafuta kila aina ya vijisababu tu ili mumseme rais Magufuli.....
Btw, mpiga picha Woody hajatoa tu tweet ingine?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha kutuzuga bwana hivi karibuni tu tumemuona mwenyekiti wa NCCR mzee Mbatia katoka kutibiwa kila siku tulikuwa tunaona picha zake humu watu wakienda kumsalimia pamoja na kuwa na wanachama wachache itakuwa Katibu wa CCM chama tawala na wanaoongoza kwa kupenda publicit na sifa ? Kama katelekezwa nakubali.Alikuaga wakati anaondoka?
Alikuwa anakutaarifu yanayojiri huko alipokuwepo?
Katibu mkuu wa CHADEMA huwa anakuaga wakati akisafiri na huwa anakutaarifu anaporejea?
Kama Kinana alikuwa huko alikokuwa kama mtu binafsi na si kama katibu mkuu wa chama wewe inakuhusu nini kujua kama karejea au la?
Yaani mnatafuta kila aina ya vijisababu tu ili mumseme rais Magufuli.....
Btw, mpiga picha Woody hajatoa tu tweet ingine?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Muhimu jibu hoja, hii post haina uhusiano wowote na post yoyote ya siku za nyuma. Najiuliza hivi inawezekana Mheshimiwa Kinana atoke kwenye Matibabu halafu Jakaya asiende kumjulia hali? Lazima kuna kitu tofauti.
Jibu hoja ni kawaida kwa kiongozi wa ngazi ya juu kama KATIBU MKUU wa chama kurudi kimyakimya? Imeanza lini? Au nako ni kubana matumizi?