JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,114
- 3,541
- Thread starter
- #61
Ndio maana Mungu alituumba na akili ili tuzitumie katika mambo madogomadogo ya kila siku. Hivi unategemea kumjulia hali mgonjwa ielekezwe kwenye KATIBA? Kumpokea mgeni atuelekeze Mungu? Au huwa huwaoni watu wamejipanga kumpookea Magufuli hata kama ametoka Dodoma tu? Au hilo limeandikwa kwenye KATIBA?lini ashawahi kupokewa? weka picha za nyuma kama hizo, halafu kanuni zao zinasamaje? ibara gani?
ukijibu haya unakuwa umeondoa dhana ya umbea