Kama ni kweli, basi comrade Kinana amepuuzwa!

Kama ni kweli, basi comrade Kinana amepuuzwa!

Mbona sioni tatizo lolote....

Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana....

Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀
Tatizo lipo Nyani...mleta mada kalisema tatizo.
Kwanza karudi lini?
Alikuwa anaumwa nini?
India hospitali gani?
 
We mtoa mada ungetoka hospital hujarecover completely ungetaka makamera kwako?. Msipende kudandiadandia mambo bhana. Au basi mtumeni Woody akapige picha kwa juu pale kwa comrade

Nin kurecover?

Sembuse mwakyembe katokea kwenye matibabu na huku ngozi imebabuka kama kenge stil makamera yakawepo kummulika pale airport inashindikana nin kwa kinana kumulikwa?

Janeth mke wa Juma Poor Manager angali kalazwa muhimbili stil kamera zikammulika cha ajabu nin kwa mtu mkubwa km katibu mkuu?

Kuna kitu hapo kinafukuta
 
Kwwni alipoondoka kwenda huko alikokwenda kulikuwapo waandishi wa habari na shamra shamra airport? Aliondoka kimya kimya na atarudi kimya kimya. Tena inawezekana akwa alisharudi zamani. Maana huko India situliambitu atakaa siku 12 tu. Si kila kitu ni siasa. Yaani hata ugonjwa nao imekuwa siasa. Ugonjwa unahusu yeye na watu wake wa karibu.
Utetezi wa kitoto hautakisaidia chama chenu. Ni sawa una kidonda badala ya kukitibu unakifunika na kinaendelea kuoza.
Kinana alipotumwa kutibiwa India aliondoka kwa ungo? Na kurudi alitumia ungo? Toka lini kiongozi wa nchi hii akaugua na kutibiwa kwa siri nje ya nchi kwa fedha za umma au chama?
Jambo la siri ni aina ya ugonjwa lakini sio kuugua. Semeni mlichomfanya AK LA sivyo watumishi waandamizi wataingiwa woga na madhara yake mtayaona
 
Katweka uyo. Sasa waandishi wa habari wataendaje kwake? Kma unabisha nenda wewe ukamuone
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sasa kulikon unaongea kwa kubana pua kama shoga?

Hayo mambo ya madela yametokea wapi tena..kama ni nguo zako hiyo ni juu yako na bakia nazo mwenyewe

Hoja hapa kama kweli karudi mbona si kawaida?

Iweje kimya kimya na hakuna hata kiongoz wa chin yake kwenda pale airport kumpokea kama protocol yao ya chama ilivyo siku zote?

Ok tuseme hali ilikua mbaya sana hakutaka kujionasha

Pole pole anaposema yupo nyumban kapumzika na hali yake ni njema why sasa wasiende watu kumjulia hali kama ilivyo desturi ya siku zote?

Sasa wewe watu wanahoji vitu vya msingi wewe unakuja na matusi na vihela vyako vichenji chenji vya kubadilishia mboga kama shoga..!

Lione kwanza
Huu ni umbea husiyokuwa na maana. Wewe unajuaje hakuna mtu aliyeenda kumwona au kila siku upo nyuma ya matako yake unawaangalia wanaokuja kumwona. Kama wewe ni mwanaume basi huna tofauti na shoga wale wambea na kama wewe ni Ke basi ni haki yako najua hapo umevaaa dera umbea kwa kwanda mbelee. Hizi ndo akili zetu watanzania tumebaki kuandika umbea na uchonganishi full stop.
 
Hizo habari kwamba yuko in house arrest tunaweza tukaziamin sasa
Kabisa! Haingii akilini Katibu Mkuu ametoka kwenye matibabu halafu ajiuguze peke yake kama yatima?mimi nawajua waunguana wengi ndani ya CCM wangekuwa wameshaenda kumjulia hali. Wote wasiende sawa, na mama mpenda watu Samia Suluhu Hassan asiende? Na Ever smiling JK asinde kumjulia hali rafiki yake wa miaka mingi? Basi CCM wameasisi utamaduni mpya kabisa Duniani.
 
Mbona sioni tatizo lolote....

Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana....

Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀
Naona siku hizi umeamua kuweka akili yako mfuko wa kushoto,
Kama mtu anahoji issue sensitive halafu unacomment pumba, may be kuna wa lumumba anatumia account yako
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Naona siku hizi umeamua kuweka akili yako mfuko wa kushoto,
Kama mtu anahoji issue sensitive halafu unacomment pumba, may be kuna wa lumumba anatumia account yako
Absolutely! Hawezi kuwa yeye! Labda kama na yeye anatoka kabila pendwa maana wengi wamesilimu au kubatizwa kwa muda ili wapate mkate wao wa kila siku.
 
ALLAH ni mjuzi....huyajuwa yaliyo mbele yetu na yaliyo nyuma yetu.
Kwa uwezo wake ALLAH anaweza tupiga upofu tukajichanganya nak kuharibu mambo huku tukidhani tuko sahihi.
Tumuombe ALLAH atusamehe makosa yetu.
 
ALLAH ni mjuzi....huyajuwa yaliyo mbele yetu na yaliyo nyuma yetu.
Kwa uwezo wake ALLAH anaweza tupiga upofu tukajichanganya nak kuharibu mambo huku tukidhani tuko sahihi.
Tumuombe ALLAH atusamehe makosa yetu.
Hicho ndicho kinacho tokea sasa! Kumbe ukamilifu unakwenda kutokea.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Alikuaga wakati anaondoka?

Alikuwa anakutaarifu yanayojiri huko alipokuwepo?

Katibu mkuu wa CHADEMA huwa anakuaga wakati akisafiri na huwa anakutaarifu anaporejea?

Kama Kinana alikuwa huko alikokuwa kama mtu binafsi na si kama katibu mkuu wa chama wewe inakuhusu nini kujua kama karejea au la?

Yaani mnatafuta kila aina ya vijisababu tu ili mumseme rais Magufuli.....


Btw, mpiga picha Woody hajatoa tu tweet ingine?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
we jama hunaga akili bandera fuata upepo
 
UFALME ni wakwake tu na adhabu zake ni kali kwa wale wanaomdhihaki.Tumuogope yeye muumba wa nchi na mbingu na tumuombe atutangulie.
Kuna kila dalili kuwa Mungu ametusikia! Yanayo fanyika bado kidogo kila mtu yatamchosha.
 
Back
Top Bottom