Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mange kawashika Hawa watu akili hadi hurumaMbona sioni tatizo lolote....
Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana....
Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀
Hivi katibu mkuu wa CDM ni nani?Jibu hoja ni kawaida kwa kiongozi wa ngazi ya juu kama KATIBU MKUU wa chama kurudi kimyakimya? Imeanza lini? Au nako ni kubana matumizi?
Usilete maswali ya kitoto jibu hoja.hii post haina uhusiano wowote na CHADEMA.Hivi katibu mkuu wa CDM ni nani?
Kwani aliye kwambia Duniani tutakaa milele nani? Kwanza tumewaona wangapi wakisaidiwa? Alisaidiwa Nyerere, Kawawa na bado hatukushangaa? Je, kwenda kumjulia hali nako kuna tatizo gani? Au nako ataonekana anasaidiwa kufunikwa shuka. Kama kuna kitu kita julikana tu ! It is a matter of time.Upinzani unaojadili maisha binafsi ya wengine, kupenda kufanya maonyesho na matangazo kwa magonjwa ya wengine, badala ya hoja ni wa ovyo. Mlitaka kumwona mh Kinana akisaidiwa kushuka ngazi za ndege,au akitembelea mkongojo au mlitaka ni ni?
This time kuna kitu CCM Wamejifunza kitu kuwa mnapo fanya mchakato wa kumpata mtu atakae gombea Urais you do not just pick any! Historical background is very important.Umbea tu
Msianze uzushi kama ilivyokuwa kwa mkuu wa majeshi aliyepita. Mlianza hivi hivi! Hivi Hanna kazi za kufanya? Huu ni umbea wa mchana kweupee!!.Habari wanajamvi!
Sijaamini maneno ya msemaji wa chama cha Mapinduzi labda nitaaminishwa baadae. Kwa maneno yake Katibu mweneze anasema ni kweli mwanasiasa nguli na Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi comrade Alhajji Abdulrahman Kinana alikuwa anaumwa, na alipelekwa nje ya Nchi kwaajili ya matibabu,lakini kwa sasa amerudi yupo Nchini anapumzika nyumbani kwake! Hajafafanua kama ni Dar es salaam au Arusha. Nikajiuliza maswali yafuatayo;
. Hivi inawezekana kweli Katibu Mkuu wa chama arudi kutoka kwenye matibabu halafu asipokelewe na
Mtu yeyote pale Airport? Hata ndugu zake hawakwenda kumlaki? Yaani asionekane na mwandishi wa
habari hata mmoja?
. Tuseme yupo nyumbani kweli anaendelea kupumzika baada ya matibabu na huenda ana ED za miezi
miwili au mitatu, lakini hakuna hata mtu mmoja alie kwenda kumpa pole? Yaani hata katibu mwenezi
Naibu katibu mkuu hawajaenda kumpa pole!
. Yaani hata viongozi wote wanao julikana kwa uungwana wao wa asili kama Mbowe, Maalimu Seif, n.k
Hawajaenda kumjulia hali? Nini kimetokea?
Ndio maana nikaishia kusema kama ni kweli kuwa Comrade Alhajji Abdulrahmani Kinana amerudi yuko nyumbani na hakuna mtu hasa wanao penda kuonekana kwenye vyombo vya habari, basi ni dhahiri ndugu yetu amedharauliwa na kupuuzwa.
Binafsi naomba wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari kampeni pole kwa niaba yangu.
Muhimu jibu hoja, hii post haina uhusiano wowote na post yoyote ya siku za nyuma. Najiuliza hivi inawezekana Mheshimiwa Kinana atoke kwenye Matibabu halafu Jakaya asiende kumjulia hali? Lazima kuna kitu tofauti.Msianze uzushi kama ilivyokuwa kwa mkuu wa majeshi aliyepita. Mlianza hivi hivi! Hivi Hanna kazi za kufanya? Huu ni umbea wa mchana kweupee!!.
Alivyoondoka kwenda kwenye matibabu ukimuona? Au ulipewa taarifa tu?Jibu hoja ni kawaida kwa kiongozi wa ngazi ya juu kama KATIBU MKUU wa chama kurudi kimyakimya? Imeanza lini? Au nako ni kubana matumizi?
I used to think that you were probably prudent and brilliant enough, I didn't know if you're such a stupid, who honors his daftness to the extent that you sit outside the devilish Lumumba doors to eat the crumbs given to you by your masters, who hired you for social networks propaganda, if you failed to labor in the US for your daily and your toddlers, how will you look after your family by being fed by the condemned bread from dirty hands?Alikuaga wakati anaondoka?
Alikuwa anakutaarifu yanayojiri huko alipokuwepo?
Katibu mkuu wa CHADEMA huwa anakuaga wakati akisafiri na huwa anakutaarifu anaporejea?
Kama Kinana alikuwa huko alikokuwa kama mtu binafsi na si kama katibu mkuu wa chama wewe inakuhusu nini kujua kama karejea au la?
Yaani mnatafuta kila aina ya vijisababu tu ili mumseme rais Magufuli.....
Btw, mpiga picha Woody hajatoa tu tweet ingine?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyani katika ubora wakeMbona sioni tatizo lolote....
Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana....
Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀
So clichéd!I used to think that you were probably prudent and brilliant enough, I didn't know if you're such a stupid, who honors his daftness to the extent that you sit outside the devilish Lumumba doors to eat the crumbs given to you by your masters, who hired you for social networks propaganda, if you failed to labor in the US for your daily and your toddlers, how will you look after your family by being fed by the condemned bread from dirty hands?