Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefikiria mbali mkuuHii nadharia kwamba mteuaji kamtuma Makonda na baadhi wengine kama Sendeka ili wakaliteke bunge na kurefusha maisha ya Mteuaji Magogoni ninyi mnaweza kuipingaje na kusimamia hiyo ya Nyangumi kumtema samaki ?Hebu mje na upembuzi
AhahahAfadhari umelitambua hili
Subiri sanduku la kura za wajumbeMleta mada jiandae kuaibika Kama ulivyoaibika kwa kumponda Hussein Mwinyi halafu ukajitia kurudi kinafiki kusema ohh nampongeza kwa kuchaguliwa kwa ID yako ile ingine.Makonda atashinda Dua zenu Ni za kuku
Atapita usijipe presha Makonda lazima apite wajumbe wanamkubali wanajua akipita watakumbukwa .Makonda mtu wa shukrani.Kila mtu kwenye eneo lake ahakikishe Makonda anapita Kama anataka kukumbukwa .Kura zikienda ndivyo sivyo tusilaumiane mbeleni kuwa ohh Mimi nimesahaulikaSubiri sanduku la kura za wajumbe
Octoba chagua unayemtaka!Mteuaji kaonyesha udhaifu mkubwa wa kushindwa kumuwajibisha, na yeye pia hafai na hatumtaki kwani kwa tabia wanafanana kwa asilimia 100.
Vipi wewe umeshachukua huko kwenye Saccos!Wakudadavuwa umeshachukua fomu ya kugombea?
Uwo ni uwoga c umtaje jina tuu kwamba uyo mtu unae mzungumzia ni Poul Makonda mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM why unafichaficha????
Hujawahi kuniangusha..!
Sio rahisi kumkata.
Makonda hajastaafu kama Mzee Sukima ndaniUwo ni uwoga c umtaje jina tuu kwamba uyo mtu unae mzungumzia ni Poul Makonda mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM why unafichaficha????