Uchaguzi 2020 Kama ni kweli basi Kamati ya Roho Mbaya ya CCM hasa Jimbo la Kigamboni mkimaliza Kumlima Mtu mnione

Uchaguzi 2020 Kama ni kweli basi Kamati ya Roho Mbaya ya CCM hasa Jimbo la Kigamboni mkimaliza Kumlima Mtu mnione

Hii nadharia kwamba mteuaji kamtuma Makonda na baadhi wengine kama Sendeka ili wakaliteke bunge na kurefusha maisha ya Mteuaji Magogoni ninyi mnaweza kuipingaje na kusimamia hiyo ya Nyangumi kumtema samaki ?Hebu mje na upembuzi
Umefikiria mbali mkuu
 
Bashite najuwa atapigwa chini na gambo wake zitakuja sura mpya watu watashangaa sana.
 
Mleta mada jiandae kuaibika Kama ulivyoaibika kwa kumponda Hussein Mwinyi halafu ukajitia kurudi kinafiki kusema ohh nampongeza kwa kuchaguliwa kwa ID yako ile ingine.Makonda atashinda Dua zenu Ni za kuku
Subiri sanduku la kura za wajumbe
 
Subiri sanduku la kura za wajumbe
Atapita usijipe presha Makonda lazima apite wajumbe wanamkubali wanajua akipita watakumbukwa .Makonda mtu wa shukrani.Kila mtu kwenye eneo lake ahakikishe Makonda anapita Kama anataka kukumbukwa .Kura zikienda ndivyo sivyo tusilaumiane mbeleni kuwa ohh Mimi nimesahaulika

Na wapinzani wake wacheza siasa za rafu wajue kwenye siasa Kuna kesho .Ukicheza rafu kesho yako ikiwa Giza usipige yowe
 
Vingine vyote naweza kuwa isipokuwa raisi. Na hili la raisi ni kwa sasa tu. Zilisikika Fikra za mtu mmoja.
 
Uwo ni uwoga c umtaje jina tuu kwamba uyo mtu unae mzungumzia ni Poul Makonda mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM why unafichaficha????

Hivi Tanzania tuna Poul Makonda kama ulivyoandika hapa au tuna aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam aitwae Paul Makonda?
 
siasa zetu za majitaka za wakati huu huwezi kutabiri kiboya boya!!lolote laweza kutokea!!

iwapo Bashite atapita kura za maoni basi tutajua ni mpango ulisukwa iwapo atabwagwa bado kuna mikoa ina wazee atafaa apelekwe akaiinue! huyu jamaa Bashite hana akili but ni mtendaji mzuri mwenye kupenda sifa na nchi hii ni maskini inawahitaji wakina Makonda kujenga nchi!!
 
Kazi kubwa ya Mkuu wa Mkoa ni kusimamia Usalama,Kuhamasisha Wawekezaji/Wadau wa maendeleo kuwekeza au kuchangia shughuli za maendeleo au kusaidia jamii.RC aliyepita Dar amejitahidi kwa hilo,nakumbuka hadi MaRC wengine walikuwa wanasema jamaa kwa vile yupo Mkoa wenye Matajiri ndiyo maana anafanikisha mipango yake.
Kuna shughuli moja alienda Kupokea MagodoroQFL_Dodoma wakati RC wa pale anatumbua tuu macho dogo anatoka na Resource anaenda kuneemesha Mkoa wake.
 
Back
Top Bottom