GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
We jamaa bana yaani unaji quote mwenyewe na ku reply mwenyewe, unapata faida gani kwa mfano
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu GENTAMYCINE isije ukatafuta jinsi ya kumeza haya uliyoandika. Mimi huwa siamini matamshi ya wanasiasa hata siku moja. Yaani wanageuka kama lorry la Bedford. Ila ikiwa kweli ni safi sana sanaili akajifunze adabu na nidhamu.
Atapita usijipe presha Makonda lazima apite wajumbe wanamkubali wanajua akipita watakumbukwa .Makonda mtu wa shukrani.Kila mtu kwenye eneo lake ahakikishe Makonda anapita Kama anataka kukumbukwa .Kura zikienda ndivyo sivyo tusilaumiane mbeleni kuwa ohh Mimi nimesahaulika
Na wapinzani wake wacheza siasa za rafu wajue kwenye siasa Kuna kesho .Ukicheza rafu kesho yako ikiwa Giza usipige yowe
Nami mwishoni nimesema kama ni kweli nitafurahi. Au hujanielewa?Hivi ni kwanini Watanzania ( Waswahili ) ni Wagumu Kuelewa Jambo? Hivi nimesema nina uhakika nalo au nimesema kama ni kweli? Mnanikera!!!!
Na huu ndio ukweli mchungu na msema kweli siku zote ni mpenzi wa mungu!Mie simuamini kbs jiwe, Bashite mwanakujipendekeza hawezi kutia nia Kigamboni bila kumshirikisha God Father!.
kifupi wanatuchezea shere, lao ni moja!.
itoshe tu kusema Bashite ni Mbunge MTEULE wa kigamboni!!!.
Hii kaliFigisu za uchaguzi ndani ya chama mbaya sana nadhani mnakumbuka kilichomkuta mzee sumaye ndani ya CHADEMA aliamini asilimia 100 anashinda ila kilichotokea hakuamini ndio kinaenda mtokea makonda
Askari tumepewa maelekezo maana maboss wake wanamjua ni kiburi kajawa na dharau kwaiyo akiona kura azitoshi ataanza vurugu kwaiyo tumeambiwa akileta vurugu tupige mpaka tumvunje miguu
Kaka duwa za kuku hazimpati Mwewe. Mlezi wa Wcb haepukiki tutake tusitake tupende tusipende lazima aingie bungeni. Ikitokea amechujwa njoo pm nikupe vocha ya bukuSasa ni rasmi kuwa ' Hesabu ' za nyingi kwa ' Mpuuzi ' Mmoja ' Kumalizwa ' kabisa na Umaarufu wake unaenda ' Kuzimika ' ghafla ndani ya nchi ya Tanzania na kubakia Mtu wa Kawaida sana tena pengine hata Mimi ' Popoma ' GENTAMYCINE nitamzidi Umaarufu kwani ukiwa ' Maarufu ' tu JamiiForums hapa jua umeshakuwa ' Nguli ' ndani ya Mioyo ya Watanzania hata Milioni 30 hapo.
Unaambiwa ' Mkakati ' ulianzia mbali sana na Siku nyingi mno baada ya Mtu huyo ambaye namuita Mpuuzi kuweza ' Kuchokwa ' si tu na Taasisi ' Nyeti ' ambazo zimekuwa zikimsaidia Kazi ' Mteule ' waka bali hata ' Mteule ' wake nae alikuwa si tu ' ameshamchoka ' bali ' amekinaiwa ' nae na alibakiza tu ' Kumtapika ' ili apumzike kama alivyofanya hivi Majuzi.
Alitafutwa Mtu ( tena Rafiki yake wa karibu ) na Mpuuzi ili ampe ' Bichwa ' kuwa ' anakubalika ' huko ' alikojitosa ' kwenye Fukwe zenye ' Ustaarabu ' mwingi Dar es Salaam nzima ili tu ' Mteuwaji ' wake apate sababu ya ' Kimsingi ' kabisa ya ' Kumtapika ' mazima mazima kama alivyofanya na unaambiwa hakuna Wiki ambayo Mteuwaji ' amepumua ' na ana ' furaha ' kama hii.
Ili ' Kummaliza ' kabisa Mpuuzi huyo Kinachoenda Kufanyika Kwake huko ' Ufukweni ' alikokimbilia ni kwamba ile Kamati ya ' Roho Mbaya ' ndani ya Chama chake imeshapewa ' Maagizo ' makubwa kuwa wahakikishe ' Wanamlima ' Mtu mapema kabisa ambapo tayari kuna Mtu ameshaandaliwa huko japo Mpuuzi ' anajiaminisha ' kuwa atapita tu kwakuwa na ' Pesa ' nyingi za Dhuluma.
Ama hakika sasa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE naamini rasmi kuwa Wahenga hawakukosea waliposema LENYE MWANZO LINA MWISHO.
Huwezi ukatenganisha tv na remote hizo Ni sarakasi.Chai bila sukari si chai tena.
Mie simuamini kbs jiwe, Bashite mwanakujipendekeza hawezi kutia nia Kigamboni bila kumshirikisha God Father!.
kifupi wanatuchezea shere, lao ni moja!.
itoshe tu kusema Bashite ni Mbunge MTEULE wa kigamboni!!!.
Anasubiri viti maalumWakudadavuwa umeshachukua fomu ya kugombea?
Kama mtu anapewa uongozi wa mkoa tuu anakuwa na kauli za aina hii nawe bado ukampenda, basi tatizo sio yeye ila utakuwa wewe ambaye huchukizwi na ujinga, majivuno na kebehi.Hivi kwa Nini mnamchukia hivi Makonda? Huku mikoani mbona tunasikia anavyopambana kwa maslahi ya taifa? Au ndio mafisadi na wauza madawa ya kulevya Nini? Gentamicin please declare your interest in this! Otherwise atashinda Kigamboni mbakie na vidondatumbo! Watu wa Dar mbona walalamishi hivyo.. wanaume Kama majike!
Basi atakuwa wa hovyo sana. Haijapata kutokea kiongozi asiyesimamia maneno yake kama huyo. Siamini kuwa anaweza kuwa wa hovyo kiasi hichoHata asipokuwa wa kwanza, bado rais anaweza kuwakata waliomtangulia akamchagua yeye. Hapo ndipo utajua siasa si hasa.