hakomana sekemesekeme
JF-Expert Member
- Oct 15, 2023
- 646
- 1,568
watu wanaoongoza kwakuua hapa duniani niwadini gani?Ndo maana hawa jamaa wanafanyaga kuua tu bila kukoma, kwao ni maagizo.
Alafu ile ya mabikra 72 mbona haipo au maimam huwa wanatufunga kamba tu ili tutangulie tu ile kwetu
Mkuu acha kueneza uongo huo,yawezekana unafanya kwa kujua au kutokujua,,Qur'an ukiifatilia hamna aya hizo ulizooridhesha hapo juu,, Mambo kama hayo ndo husababisha chuki na na Vita kwenye jamii,,,Allah akuongoze katika ukweliView attachment 3067658
Amkeni wanangu, tunachofanya ni kufaidisha kwa kuenzi misingi ya watu waliokuwa nayo kutokana na imani na mtazamo waliokuwa nao.
Uko wapi mtazamo wako, ni kipi unachoamini?
Yani chuki za mtu binafsi ndio uzienzi na wewe hadi hii leo karne ya 21.
Mfia dini au mfia duni.
Unaweza ukawekewa aya na bado using'amue.. Aya moja haoa ina muendelezo au jibu kwenye sura nyingine kabisa unapata aya yenye jibu ama maelekezo yake.Mwenye kujua hiyo Quran aweke Aya nzima tusome wenyewe. 🙏
Mkuu hivi binti wa miaka 12 mashine inapita kweliQur an
''Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ''
Quran 4:34 in Kiswahili Kiswahili | an-Nisa' 34
Quran 4:34 in Kiswahili Kiswahili | an-Nisa' 34
Kwa hiyo akifanya mtu ndio uislamu ? Ndio mnaposhindwa kujua mshambulie wapi , mnaangalia mtu mmoja mmoja ..Wale viongozi wa dini wanaofanya miujuzi , kufanya mambo ya ovyo bado huwezi kuichafua dini husika ni mtu binafsi .
Unapoteza point tunaongea hili unaleta hili 😀 😀 😀
Inawezekana ikawa mila zao , nje ya uislamu jamii hizo zilikuwa na utaratibu wake ...Au nikupe mada watu walikuwa wanao kwa miaka mingapi ? Baaddhi ya jamii zina mila zao.
Kasome jamii hizo kipind cha mediavl ,. je, mtume alipofika alikuta wao taratibu za watu wa pale walikuwa wanaoana kwa umri wa miaka mingapi..
SOma ndio uje la sivyo utakuwa mtu wa kuleta meme na taarifa ambazo hazina madhara.
Aise waislamu sijui wanajitetea vipi kwa ushetani huu katika maandiko yaoView attachment 3067658
Amkeni wanangu, tunachofanya ni kufaidisha kwa kuenzi misingi ya watu waliokuwa nayo kutokana na imani na mtazamo waliokuwa nao.
Uko wapi mtazamo wako, ni kipi unachoamini?
Yani chuki za mtu binafsi ndio uzienzi na wewe hadi hii leo karne ya 21.
Mfia dini au mfia duni.
Eti, mashine inapita kweliHahahahah
kaswali kisha jilipue ukapewe mabikra 72Watu wengine wanatafutaga ugomvi tu....😠😡
Hapa najitahid kuzuia jazba ila nashindwa 🚶🚶
Au bas ngoja nikaswali kuepusha balaah
Msihukumu msije mkahukumiwaView attachment 3067658
Amkeni wanangu, tunachofanya ni kufaidisha kwa kuenzi misingi ya watu waliokuwa nayo kutokana na imani na mtazamo waliokuwa nao.
Uko wapi mtazamo wako, ni kipi unachoamini?
Yani chuki za mtu binafsi ndio uzienzi na wewe hadi hii leo karne ya 21.
Mfia dini au mfia duni.
Pitia hivyo vifungu mkuu , ukishindwa kuelewa tafuta maana zake wamechambua hakuna ukweli wowote hapoDuuh naona maagizo ya kuua tu.
Quran 5:51 inasema haya hapa, ni karibu sawa na ilivyo kwenye screenshot ya meta madaNajua umeweka kishabiki ila kama ni hukumu hujui ufanyalo , jaribu kusoma sio rahisi maana hizo ayah zipo miaka kibao wanaosambaza kama wewe ila hamna kitu kwa sababu ni urongo na kukosa maarifa .
Naochokuambia leo usipate tabu , ingia kweny mfumo wa AI kama chagpt au google Gemini , halafu uliza hayo maswali .
Usikurupuke waislamu wanasoma kila kitu kweny Qur an kwamba wakubali ayah zeny chuki kiasi hico!? 😀
Aiseee hatari mnooQuran 5:51 inasema haya hapa, ni karibu sawa na ilivyo kwenye screenshot ya meta mada
Quran 5:51
"O you who have believed, do not take the Jews and the Christians as allies. They are [in fact] allies of one another. And whoever is an ally to them among you—then indeed, he is [one] of them. Indeed, Allah guides not the wrongdoing people."
Kwani huoni mnavyoshabikia kuuliwa kwa watoto , nyie mnawaona wayahudi marafiki then japo wanawatemea mate ....Huo ndio ukweli mchungu 😀 😀Quran 5:51 inasema haya hapa, ni karibu sawa na ilivyo kwenye screenshot ya meta mada
Quran 5:51
"O you who have believed, do not take the Jews and the Christians as allies. They are [in fact] allies of one another. And whoever is an ally to them among you—then indeed, he is [one] of them. Indeed, Allah guides not the wrongdoing people."
Soma ni zama zip ? Unaongelea mambo ya karne ya 7 ....Uletewe ushahidi watu walikuwa wanaolewa chini ya miaka 9 ....Zama za zamani na sasa ni tofauti ...Mkuu hivi binti wa miaka 12 mashine inapita kweli
Mimi siamini katika hizi hekaya za kuruwani na bibiliaView attachment 3067658
Amkeni wanangu, tunachofanya ni kufaidisha kwa kuenzi misingi ya watu waliokuwa nayo kutokana na imani na mtazamo waliokuwa nao.
Uko wapi mtazamo wako, ni kipi unachoamini?
Yani chuki za mtu binafsi ndio uzienzi na wewe hadi hii leo karne ya 21.
Mfia dini au mfia duni.
Hizo nchi ulizozitaja asilimia kubwa raia wake hawana diniwatu wanaoongoza kwakuua hapa duniani niwadini gani?
unawajua wamarekani wewe?unawajua warusi?waingereza unawajua?
ushawahi kusikia Saudia au misri wamepeleka siraha zamaangamizi nchifulani?
zinduka nabichwalako kubwa lililojaachuki zakijinga
Hapa Mimi ndipo ninapopata wasiwasi na uwezo wa Allah/ Mungu, inakuwaje anamwambia mtu wake akimbie maadui wakati yupo pale kutangaza ufalme wake Allah????Unaweza ukawekewa aya na bado using'amue.. Aya moja haoa ina muendelezo au jibu kwenye sura nyingine kabisa unapata aya yenye jibu ama maelekezo yake.
Quraan aya zake zilikuwa zinashushwa kwa wakati fulani, hivyo inakuwa inalenga muda, aina ya watu na tukio.
Mfano mtume kuishi kwake makkah, akateswa na kunyanyasika, mola akamuamuru ahame, akahamia madina, kule madhalimu hawakumuacha, wakawa wanavamia misafara yao ya biashara, wanapora, wanaua.. Mwenyezi mungu akamuamuru apigane sasa, ukiisoma aya hiyo bila kufundishwa na mjuaji lazima ubadilike uwe na akili za ki ISIS, maana aya ikaja ikiwaamuru sasa wapigane nao, wapambane kuokoa nafsi na mali zao, aya inaonesha wapigane nao, kwa vipi ama kwa sababu gani inabidi usome aya kadhaa nyuma yake, ama upate elimu kwa wajuzi.
Sijui hizo tafsiri kszitoa wapiQur an 65:4
''Na wale walio sita hedhi miongoni mwa wanawake wenu, ikiwa mnayo shaka, basi muda wa eda yao ni miezi mitatu, pamoja na ambao hawapati hedhi. Na wenye mimba eda yao mpaka watakapo zaa. Na anaye mcha Mwenyezi Mungu, Yeye atamwezesha urahisi''
Wapi imeamrishwa kubaka ?