Kama ni kweli haya yameandikwa kwenye Quran basi ifike point wanadamu tujinasue katika itikadi hizi. Sio mkristo, sio muislam tuamke.

Muongo wewe hizo aya zote ukisoma zinaelezea kitu tofauti kabisa kwa mfano Quoran 65:4 inazungumza kuhusu wanawake walio katika menopause
 
Soma Biblia wakati Joshua anapanga mauaji ya kimbari kiasi cha "Mungu" wao kusimamisha jua mchana uwe mrefu amalize mauaji na huyo "Mungu" wenu akashiriki mauaji hayo. "Mungu" wenu kwenye Biblia anatajwa kushiriki mauaji mengi personally kuanzia Misri, Babylon na kuangamiza 99.9999 kwa mafuriko
Tafakari
 
Soma ni zama zip ? Unaongelea mambo ya karne ya 7 ....Uletewe ushahidi watu walikuwa wanaolewa chini ya miaka 9 ....Zama za zamani na sasa ni tofauti ...
Kwa hiyo unakubali kuna vifungu kwenye quran vimebadilishwa????

Maana nawasikiaga waislam wengi wakisema kitabu cha quran kimejitosheleza hutakiwi kupunguza wala kuongeza

Sasa napata wasiwasi unaposema ya miaka 9 ilikuwa zamani na sasa hivi imebadilika,

Kwa hiyo kumbe kuna Aya kwenye quran zimebadilishwa kulingana na wakati????
 
Ndo maana hawa jamaa wanafanyaga kuua tu bila kukoma, kwao ni maagizo.

Alafu ile ya mabikra 72 mbona haipo au maimam huwa wanatufunga kamba tu ili tutangulie tu ile kwetu
Akili kumkichwa,,Wenzako wanavitafuna vibinti vya madrasa kiulaini wewe unakuna pumbu mihangaikoni ukiamini umemkabidhi Mtoto Kwa Mdogo wake Mungu
 
Kila mtu mwisho wa siku anapambana aione pepo au auone mwisho wake so kama kuna mtu anayaamini yaliyoandikwa humo na anaamini pepo yake ataipata kwa kuyatekeleza hayo basi aachwe apambane na hali yake.

Sasa kwa wale wasioamini hayo na ni walengwa kwa namna moja au nyengine au ndiyo nyenzo zenyewe za wanaoamini hayo kufika peponi ni kazi yao kuomba na kujitahidi wasijikute ktk hatari yoyote na watu hao.
 
Hapa itabidi niache kazi, nifanye kazi, unisamehe mkuu, sina muda na pia sina mood ya kuandika sana..
 
Mbona sioni point yako ? Wayahudi walishindwa kuibadilisha kwa sababu watu wanasoma kweny chanzo halisi ...Qur an ukidanganya watu wanajua tu .

Kama mtoa mada anajidanganya mwenyewe .

Ayah zimebadilishwa kulingana na wakati upi ? Wapi nimesema ayah zimabadilishwa? Elewa Qur an ilishuka wakati gani !?,pia soma mfululizo ndio ufanye kuelewa ....Qur an imeshushwa katika wakati husika mpaka leo bado inatumika ndio ile ile ....Nioneshe wapi wamebadilisha zaidi unaleta stori hazina maana .

Qur an ni moja hakuna agano jipya wala la kale 😀 😀 😀
 
Sasa ndugu yangu umecopy upuuzi wako huko unauleta hapa kwenye JF je umechukua Quran ukaisoma mwenyewe ukaona kuwa hayo yaliyosemwa hapo ni kweli? Chukua Quran uisome mwenyewe kiswahili transalation utaona ukweli. Wewe sio kipofu kwa hivyo usiwape watu nafasi ya kukusomea na kukusumerizia, soma mwenyewe.

Muone huyu Mzungu natuma video yake hapa chini aliamini hayo unayoaminishwa wewe lakini baadae aliposoma mwenyewe Quran akakuta ni tofauti na yanayosambazwa kwenye media. mwisho akasilimu


View: https://youtu.be/dvdR56zxjOk?si=L-RsvFgPoZDSndgd
 
Duh!Hayo yote yakimuingia mtu moyoni ni balaa kubwa sana.
 

Mfano ipi ambayo unataka kusema si sawa ili sasa tuweke ushahidi hapa wa aya yenyewe.
 
watu wanaoongoza kwakuua hapa duniani niwadini gani?

unawajua wamarekani wewe?unawajua warusi?waingereza unawajua?

ushawahi kusikia Saudia au misri wamepeleka siraha zamaangamizi nchifulani?

zinduka nabichwalako kubwa lililojaachuki zakijinga
Ngoja mohamedans waje
 


Quran 4:3 If you fear you might fail to give orphan women their ˹due˺ rights ˹if you were to marry them˺, then marry other women of your choice—two, three, or four. But if you are afraid you will fail to maintain justice, then ˹content yourselves with˺ one or those ˹bondwomen˺ in your possession.
 
Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) …"

Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)."
 
Hivi waafrika hatuwezi kuanzisha "dini" yetu mpya, ijengwe katika mfumo wa kupendana, kusaidiana na kuheshimiana, huku ikizingatia mila, desturi na sheria zetu zinazokubalika kuendana na mazingira yetu?

Au ni lazima tuendelee kung'ang'ana na hizi dini za waarabu na wayahudi ambazo hata hatuelewi zinahusu nini?

Manake naona hizi dini za watu badala ya kutuunganisha, kutufanya kitu kimoja, ndio kwaanza zinatugawa na kutufarakanisha.

Na sisi kama mazombi tunaburuzwa tuu hatuelewi hata tunapelekwa wapi.
 
Tatizo liko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…