Kama ni kweli haya yanayosemwa Le Mutuz badilika haraka sana


Hahahaha......
Nimecheka sana aisee.
 
nimependa ulivyo jibu.
 
Kwelii, hana shida kbsa lemutuz; ni mpambanaji
 

Wacha we le supa secretary mupyaaa...mtetee bosi ..
 
Wacha we le supa secretary mupyaaa...mtetee bosi ..

Kumbe ndo secretary wakee!!haa,amekuja kasi kama kisulisuli anajaribu kudeki bahari,kamfungulia uzi babu anasema babu anachukiwa bure!Ndo maana babu kauchuna kampa nafasi secretary ajitutumue..
 
Kumbe ndo secretary wakee!!haa,amekuja kasi kama kisulisuli anajaribu kudeki bahari,kamfungulia uzi babu anasema babu anachukiwa bure!Ndo maana babu kauchuna kampa nafasi secretary ajitutumue..

Atakuwa secretary mpya tu huyu....halafu ujue babu anapenda kuzungumziwa, yani hapa akikuta tunamzungumzia roho inamsuuzikaaa....
Le super babuuu....babu yake Sitti Mtemvuu...
 
Atakuwa secretary mpya tu huyu....halafu ujue babu anapenda kuzungumziwa, yani hapa akikuta tunamzungumzia roho inamsuuzikaaa....
Le super babuuu....babu yake Sitti Mtemvuu...

Anaweza kuja mwenyewe hapa na akampaka huyo sekritari wake na mwishowe akaumbuka kabisa na akajuta kwanini alimtetea.
 
Anafanya kazi wapi huyo Babu?au anaishi kwakutia mali za Baaaa!!
 
Tatizo
Unachukulia kila jambo serious! Watu wana enjoy tuu hapa na uknw Lenutuz anapo ongelewa ndio anaingiza hela hahahahaha gardem madebe matupu! Hahahaha!
 
Hahahaaaa hivi kuna mrembo ambaye hajapiga picha na Le Mutuz kweli?basi asijihesabie nae ni mrembo....

Hahahaha uknw warembo wana mgombea kupiga nae picha sababu yeye ni king of all bongo social media na ana degree tatu uknw ....super gardem madebe matupu hawamsumbui hahahahah!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…