Kama ni kweli kataa ndoa wana point tatu

Kama ni kweli kataa ndoa wana point tatu

Aisee kinachoniumq. X kuwa ndani ya nyu.mba niliojenga aiseee achatu.....

M kuna kipindi nilikuwa na mke mshenzi nkabadili viwanja 3 kwenda kwa mama

Hiwezi amini siku tukomahakaman anasema tumenunua viwanja na alinikuta navyo nkamwambia pole yake m nilijenga kwa mama akaitwa akaonyshwa hati na kimoja tulipitia serkl zamitaa alintumia matusi mwaka mzima nkasema ajanidhuru nkablock mwisho nkabadili line nikawa huru

Hawa chuchu akilizao wanazijua wao hata unaesoma huyo ulienae ishi nae kwa akili sana

Mungu atupe mwisho mwema yaan talaka inatkka kawe mwanamke analia anasema bado ananipendaa hataki tuachane akambjwa we si ndoo umrkuja mahakaan kuomba takaka na tumewapa miezi 3 mwelewane ukaja kusema hatuwezi unalilia talaka unataka kutuambja mara zote mlizokuja tulikuwa tunapoteza mda hapa..biasjara ikaisha woi

Nimekaa na zile hati hata huyu nkr nioirnae sasa r anaupendo lakni nikikumbuka weweee
wanajua kaka zangu tu na ndugu mmoja mwingine
The fact kwamba ulikuwa na mwanamke kama huyo inaonesha wewe nawe una matatizo.
 
Nimekumbuka mara ya kwanza namuona tyrese ni alipofanya tangazo la coca cola...hapo ndipo ulimwengu ukamtambua
Tukirudi kwenye mada sasa hizi sheria za ndoa ni za kipuz sana

Ova
Halafu hizo sheria aliyezitunga ni mwanaume
 
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭

Credit FACEBOOK

PIA SOMA
- Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)
Ulaya hakuna waganga?
 
Ki ukweli mpaka sasa mimi binafsi sina sababu ya msingi ya kuoa, nikihudhuria harusi mbali mbali huwa nashindwa kuelewa imekuaje mpaka maharusi wakaamua kuoana
Hizi fikra zako kama zangu huwa najiuliza hivi kama wewe, sema mimi naonaga kama wanapoteza muda tu, maana nimeudhuria harusi kama sita hivi ila tatu zimeshakufa alafu za wana kabisa,
 
Kwa
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭

Credit FACEBOOK

PIA SOMA
- Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)
Kwao wanaruhusiwa kumiliki siraha, si ndioo?
Kama anasubiri vita ndo atumie siraha yake kazi kwake
 
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭

Credit FACEBOOK

PIA SOMA
- Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)
Picha za mjengo tafadhali
 
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭

Credit FACEBOOK

PIA SOMA
- Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)
Hujui chochote inamana lugha ndo inakuchemsha hivyo
 
Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka
Sijui umetoa wapi ingawaje ni ya zamani kidogo ila kuna vitu umeongeza ama kwa kujua au kutokujua. Tuletee source.

Woman regrets divorcing millionaire after settlement​


“If I had different people in my ear at that time, I would not have made that decision, and that’s the truth.”

The Divorce Decree​

In a decision that aligned with Tyrese’s wishes


 
Miaka ya karibuni wana saini "Prenuptial agreement" hii inatumika kumprotect mtu mwenye mali zake ikitokea divorce au kifo. Lakini kwa huyu msanii sijafatilia deep ila anasema alisaini huo mkataba ila mambo yakaja kuenda hovyo vilevile



View: https://youtube.com/shorts/298hCLpnXrY?si=1ho0HXNblPdjlxIl

Prenuptial agreements haikupi security ya 100% ya Mali zako wakati wa taraka.

Huwa Kuna namna inaangaliwa ambayo inaweza ikapelekea prenup ikapuuzwa, kwa mfano mwanamke anaweza akasema wakati unamsainisha hiyo prenuptial agreements alikuwa kwenye Hali mbaya sana ya kiafya kiasi Cha kutokujua nini alikuwa anakifanya(nafikiri unakumbuka hata kwenye kesi ya mjane(Kyline) wa Marehemu Mengi watoto wake walisema ile will inayoelezea 60% ya Mali za Mengi akabidhiwe Kyline mzee wao aliisainishwa akiwa hajielewi).... Hivyo hivyo kwenye prenuptial agreements mwanamke anaweza akatoa maelezo kama hayo Tena akiambatanisha na vithibitisho kutoka kwa daktari na mahakama ikaamua kutupilia mbali hiyo prenuptial agreement, hivyo basi kesi ikaamuliwa kwa formalities za kawaida tu.

Mbali na hivyo pia mwanamke huyo huyo anaweza akasema kwamba ulimlazimisha kusaini hiyo prenuptial agreement katika mazingira ya vitisho na kama kuna viashiria vyovyote vile mahakama itamuamini na hatimae kutupilia mbali hiyo prenuptial agreement..!!

Kwa hiyo yawezekana bwana Tyrese hiyo prenup ilishindwa kumsaidia katika mazingira kaka haya.... Au yawezekana labda mwanasheria wake aliyemtumia kwenye divorce court alikuwa ni kilaza sana kiasi Cha kushindwa kumsaidia.

Pamoja na hayo yote wamerakani na nchi nyingi zilizoendelea mifumo yao ya sheria ni ya ovyo sana na inatesa sana wanaume na ndio maana male suicidal inaongezeka Kila leo.
 
Back
Top Bottom