Kama ni kweli kataa ndoa wana point tatu

Kama ni kweli kataa ndoa wana point tatu

Prenuptial agreements haikupi security ya 100% ya Mali zako wakati wa taraka.

Huwa Kuna namna inaangaliwa ambayo inaweza ikapelekea prenup ikapuuzwa, kwa mfano mwanamke anaweza akasema wakati unamsainisha hiyo prenuptial agreements alikuwa kwenye Hali mbaya sana ya kiafya kiasi Cha kutokujua nini alikuwa anakifanya(nafikiri unakumbuka hata kwenye kesi ya mjane(Kyline) wa Marehemu Mengi watoto wake walisema ile will inayoelezea 60% ya Mali za Mengi akabidhiwe Kyline mzee wao aliisainishwa akiwa hajielewi).... Hivyo hivyo kwenye prenuptial agreements mwanamke anaweza akatoa maelezo kama hayo Tena akiambatanisha na vithibitisho kutoka kwa daktari na mahakama ikaamua kutupilia mbali hiyo prenuptial agreement, hivyo basi kesi ikaamuliwa kwa formalities za kawaida tu.

Mbali na hivyo pia mwanamke huyo huyo anaweza akasema kwamba ulimlazimisha kusaini hiyo prenuptial agreement katika mazingira ya vitisho na kama kuna viashiria vyovyote vile mahakama itamuamini na hatimae kutupilia mbali hiyo prenuptial agreement..!!

Kwa hiyo yawezekana bwana Tyrese hiyo prenup ilishindwa kumsaidia katika mazingira kaka haya.... Au yawezekana labda mwanasheria wake aliyemtumia kwenye divorce court alikuwa ni kilaza sana kiasi Cha kushindwa kumsaidia.

Pamoja na hayo yote wamerakani na nchi nyingi zilizoendelea mifumo yao ya sheria ni ya ovyo sana na inatesa sana wanaume na ndio maana male suicidal inaongezeka Kila leo.
Hii ndo inaweka kua imekuta, hizi sheria ni utapeli mtupu
 
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭

Credit FACEBOOK

PIA SOMA
- Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)
Pole kwake
 
Ki ukweli mpaka sasa mimi binafsi sina sababu ya msingi ya kuoa, nikihudhuria harusi mbali mbali huwa nashindwa kuelewa imekuaje mpaka maharusi wakaamua kuoana
Huku unakula ndizi mchesho na mamboga mboga na kuku.... Huku unawachora
 
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭

Credit FACEBOOK

PIA SOMA
- Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

View: https://www.facebook.com/reel/555961030549742
 
Back
Top Bottom