Kama nikiulizwa kuwa nimeridhika na Utawala wa Rais Samia au ninamkumbuka Hayati Magufuli

Watu wa instagram ,facebook n.k.wanamlilia sana JPM na kumkumbuka,ila humu sijui mnakuwa mmetumwa? ...[emoji2][emoji2]
Sasa Facebook si watoto wa kula kulala wanajua nn kule
 
Yap!! Walimu underate sana na kumdharau. Wakaanza kudai vitu ambavyo hawakuthubutu kwa Mwendazake kwa miaka 5
 
Reactions: tyc
Mbowe aliomba katiba mpya leo yuko nyuma ya nondo akiwa na title sawa na Abubakar Al Baghdad na Abubakar Shekau
 
Twitter na JF huwez AMINI kama nao ni watanzania. Huko FB na Ista ktk comment 1000,hazifiki 20 za kumponda Magufuli. Maoni sahihi na ya watanzania wengi huwez yapata Twitter au JF

JF asilimia kubwa yamejazana manyumbu ya Chadema,
JF imekuwa kama tawi la mtandaoni kwa Chadema hvyo kila kitu wao ni kupinga tu, kutwa kucha ni kuliombea Taifa mabaya na kuwaombea mabaya viongozi wa nchi hii

Ila ni ukweli ulio wazi kwamba Watanzania walio wengi hawatumii hii forum na ukitaka upate picha halisi ya maoni yao basi nenda FB, Insta, comments za YouTube clips na kwenye hili nenda katafute video clip yoyote ya Magufuli YouTube alafu soma zile comments utaona namna commentators wanavyomkubali Magufuli
 
Mbona wewe ulikuwa unajipendekeza kwa jiwe
 
Ukiweka tofauti za kibinadamu Magufuli alikua kiongozi Bora kuliko Mama Samia.... Moja ya sifa kuu ya Kiongozi ni kuweza kufanya maamuzi na kuya simamia hata kama wengine hawakuelewi... The late President Magufuli alipinga chanjo hata wakati wa mwisho wa uhai wake japokua Dunia nzima ilimdhihaki.... Sisemi alikua sahihi au laa lakini naonyesha namna gani alivyokua tayari kulipa gharama ya kile anachokiamini kua ni Bora kwa niaba ya watu wake.... Sikua nikimpenda lakini Kuna vitu kafanya he must be credited for
 
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa
 
Tayari amesha haribikiwa
 
Kwangu zote ni awamu mbaya sn hakuna yenye unafuu
 
AAcha wale,hii nchi ukijifanya kiongozi mzalendo utatukanwa na kuuawa,ni bora kuiba na kupiga tu pale unapopata nafasi ,watoto wako na vizazi vyako viishi kwA amani na ukwasi🤣
 
Swadaktaaaa! Jiwe was an animal.
Dah....tatizo mnasahau sana.....mnapotafuta uongozi mnaupata kwa kutumia nguvu za wengi (wapigakura).....sehemu kubwa ya hao wengi ndiyo hao "wanyonge" Sasa Kuna tatizo gani ukiongoza kwa kutetea wanyonge? Kazi kuu ya kiongozi wa umma Ni kulinda rasilimali za nchi na kuhakikisha zinamfaidisha kila mwananchi kwa mgao sahihi. Sasa kwa mfano Mheshimiwa Rais Samia ana uhakika Waziri wa nishati Kuna sehemu amepiga....Kuna tatizo akiwauliza wananchi (umma) kwenye hadhara kama amtumbue au asimtumbue Waziri?
Tusidanganyane.....Rais makini kazi yake kuu ni kutetea wanyonge wasinyanyaswe na wateule wake Wala wafanyabiashara wakubwa..... 🤣🤣🤣🤣🤣🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…