Kama 'Quran' inakataa Mwanamke kuwa Kiongozi kwanini Waislamu wa nchi zingine wanaongozwa na Mwanamke?

Kama 'Quran' inakataa Mwanamke kuwa Kiongozi kwanini Waislamu wa nchi zingine wanaongozwa na Mwanamke?

Haya maandiko yapo tu sio yote yanatekelezwa , hatuwez kutumia kila mifumo ya maisha ya miaka ya 1600 iliyopita ,katika dunia hiii ya sayansi na teknolojia ,maisha ya sasa ni bora zaid kuliko hayo ya nyuma ,matumizi ya akili ni makubwa kuliko mabavu ya mwili , maandiko mengi watu wanayafuata kama unafki tu. Jiulize bwabwa moja apo zanzabar limefanya ujinga lipo tu , ila pita na nguruwe wa Mungu asie na hatia unaweza kuuliwa kabsa .
 
Kwenye uzi mmoja watu wamepaniki sana wanataka kuchinja mtu kisa Sharia mpya huko Saudia, sasa ngoja waje upambane nao.

Najifunza akili ya mwanadamu kila siku.

Walioleta hizi imani wamefanikiwa sana, yaani unapoona mtu anakaribia kuuua mwenzake ambaye hayupo karibu naye ila majibu yake mtandaoni ni ishara tosha ujue walifanikiwa!.
 
kuna meli ilikuwa ina beba wanakamata unatiwa kwenye kiroba unafungwa na jiwe alafu unatoswa baharini alafu watu wakawa wanaokotwa fukwe za brazir meli hio ilikusanya watu toka mafia mob lile kundi la ngoja nitafute wakili maana nikianza funguka nina hakika hata mod wataniuza
 
mkuu acha upopoma ungetoa na mfano wa hizo nchi tuone je nizakiislamu au sio za kiislamu?
toamfano wa nchi yakiislamu inayo ongozwa na binti nami nakuonesha mjegejo wangu.
Ina maana qurani inazihusu nchi za kiisilamu tu, na sio waisilamu? Sasa mbona hawa wa bongo wanajipendekeza kuswali, kufunga, kwenda hija nk?
 
Back
Top Bottom