GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Je, hao Viongozi Waislamu Wanawake hawaheshimu Maandiko na wanakubali kuwa Viongozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona biblia na Qur'an zimekukataza kuzini lakini mbona unazini[emoji41]Je, hao Viongozi Waislamu Wanawake hawaheshimu Maandiko na wanakubali kuwa Viongozi?
mkuu acha upopoma ungetoa na mfano wa hizo nchi tuone je nizakiislamu au sio za kiislamu?Je, hao Viongozi Waislamu Wanawake hawaheshimu Maandiko na wanakubali kuwa Viongozi?
Talented fella charismatic gentamycineJe, hao Viongozi Waislamu Wanawake hawaheshimu Maandiko na wanakubali kuwa Viongozi?
Ulitaka hao Waislam wanao ongozwa na kiongozi mwanamke, wafanye nini?Je, hao Viongozi Waislamu Wanawake hawaheshimu Maandiko na wanakubali kuwa Viongozi?
Ina maana qurani inazihusu nchi za kiisilamu tu, na sio waisilamu? Sasa mbona hawa wa bongo wanajipendekeza kuswali, kufunga, kwenda hija nk?mkuu acha upopoma ungetoa na mfano wa hizo nchi tuone je nizakiislamu au sio za kiislamu?
toamfano wa nchi yakiislamu inayo ongozwa na binti nami nakuonesha mjegejo wangu.
Una akili ndogo sanaaaaIna maana qurani inazihusu nchi za kiisilamu tu, na sio waisilamu? Sasa mbona hawa wa bongo wanajipendekeza kuswali, kufunga, kwenda hija nk?
Wakuzike.Ulitaka hao Waislam wanao ongozwa na kiongozi mwanamke, wafanye nini?
Acha nongwa mdogo wangu.Wakuzike.
HahahaaaaAcha nongwa mdogo wangu.
Chizi huyoMada za kukamatwa na wasio julikana hizi. Mkuu nadhan mwanamke hawi kiongozi akiwa katika jumuiya au taasisi au mkusanyiko wowote wa kiislamu.
Pakistan, ni pure muslim state na Bi BHUTTOHakuna nchi ya Kiislamu inaongozwa na Mwanamke, labda useme nchi ya Kidemokrasia kama ipo.
kuruani haijakataa mwanamke kuwa kiongozi ni uongoJe, hao Viongozi Waislamu Wanawake hawaheshimu Maandiko na wanakubali kuwa Viongozi?